8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

I am sorry to differ lakini huyu Sullivan atatu cost tuuu maana mkutano wake wa mwisho wa Nigeria hawakufaidika na chochote, halikadhalika ile mikutano iliyopita iliyofanyika Ghana na Senegal nayo hakuna chochote kilichoendelea afterwards

Dont get me wrong its good to see a black consesus kama hii ikikutana lakini lets be ready kumuona bwana KWAME KILPATRIC akija kuwafundisha mameya wetu namna ya kujirusha(I am sure watu wa Detroit wanalielewa hili) of course bila kumsahau tapeli mwingine bwana Andrew Young akija na mchungaji Stith ambaye alitaka kuujenga Ubalozi wao ofisi za Usalama wa Taifa Dar, mwishowe hata hiyo drive inn tuliyobaki nayo wakaivunja kuwaridhisha huku wakiwaachia raia pale pembeni msasani miserable life na wakati huo huo huo lile shamba walilopewa kibaha mpaka leo limeendelea kuwa pori.

Nothing new here, TTB wakitaka wabadilishe Marketing strategies na concentrate na watu wenye pesa na siyo hawa vishuka na maneno mengi

I have respect about your comments GM, but on this one i total disagree. The generel consesus has impact on Tanzania economy. We can forcus on several sectors which received instantly impacts due to this meeting.

Kwanza, nadhani sector ya utalii itakuwa imepata boost kubwa sana kutokana na mkutano huu. I don't believe on the agenda of mkutano, but i have a believe concern the impacts of the meetings for Tazanian.

Sector ya hospitality (hotels, rental cars, airplane nk) zote hizi zimepata boost kutokana na huu mkutano.

We both has difference concern different issues, but i think when it come to something which has positive implications for our country then we need to salute it.
 
Leo ni siku ya pili, tunasubiri Maraisi 6 waingie asubuhi, hii na sio 40 kama ilivyolezwa siku za nyuma. Naenda Simba hall, nitawapa za hapo kwa hapo shortly
 
mi naona JK labda angeongea leo,maana jana Rev Jackson alifunga kazi,hata balozi wa US hapa pia aliongea vizuri sana.And somebody should give our prez a lesson,that it is "THOUsand" and not "sauTHEND"
 
Did you hear her?

My father ... my father ... is she called lost Hope or Last Hope?
 
Huuu Mkutano wa sullivan ni walokole tu hawa sio chochote si lolote ukweli ni watu wenye kutumiwa na weupe wa Marekani ........amkeni jamani wao wanajiita diaspoara????????? ni watu wanaotumiwa dhidi ya waafrika na blacks wamerekani. hawana INFLUENCE yoyote kwa blacks wa usa isipokua wanandugu tu . wameleta ndugu hapa kutudanganya lengo likiwa ku pora maliasili zetu basi hili ndio lengo. kama wao wana shawishi blacks kujaribu kuwekeza Africa basi tunawajua blacks ambao wanauwezo lakini hawataki utapeli wa hawa jamaaa na policy ya usa ni tabu sana kuwekeza nje ya USA. Kama wao ni wakweli wengekuja na kina Tiger Wood, Mohamed Ali , 50 cents, michael jacksons,will smiths,d.washington,hawa wanapesa tena hawajui wa invest nini wanaishia kutapeliwa tu. tagert ingekuwa hawa lakini hakuna campaing yoyote kuwashawishi kwamba motherland yao Africa inahitaji investment zao na return ipo.
so hawa ni walokole wa Bush WANAKAZI MAALUM YA KUZUGA KWA WASOTAKA KUFIKIRI
 
Nafikiri info nilizopata JF on the Sullivan Summit.........zipo sahihi. Huu mkutano umekuzwa mno. Hakuna cha maana sisi tuliokuwa tunaangalia live ..hamna kitu maneno maneno tu. Apart from Jesse Jackson,Obsanjo..Ninakubaliana ni family affair. Hawana achievement yoyote...hadithi tu. Hakuna plan yoyote..largest african american gathering in Africa ehe halafu.Nafikiri mwisho wa wiki hii tutajua baada ya Sullivan kifuatacho nini?
Ila nasikitikia nchi yangu kama hatuwezi kupiga hesabu ya faida na hasara kabla ya kujirusha kwenye jambo. Tumeliwa.

AICC-jamani speakers podium inakaa mlangoni??? Nyuma ya speaker watu waingia na kutoka.Very irritating...mara mdada antengeneza nywele etc.
Otherwise naona watalii ni wengi tu...na hiyo ndio Sullivan summit
 
Huuu Mkutano wa sullivan ni walokole tu hawa sio chochote si lolote ukweli ni watu wenye kutumiwa na weupe wa Marekani ........amkeni jamani wao wanajiita diaspoara????????? ni watu wanaotumiwa dhidi ya waafrika na blacks wamerekani. hawana INFLUENCE yoyote kwa blacks wa usa isipokua wanandugu tu . wameleta ndugu hapa kutudanganya lengo likiwa ku pora maliasili zetu basi hili ndio lengo. kama wao wana shawishi blacks kujaribu kuwekeza Africa basi tunawajua blacks ambao wanauwezo lakini hawataki utapeli wa hawa jamaaa na policy ya usa ni tabu sana kuwekeza nje ya USA. Kama wao ni wakweli wengekuja na kina Tiger Wood, Mohamed Ali , 50 cents, michael jacksons,will smiths,d.washington,hawa wanapesa tena hawajui wa invest nini wanaishia kutapeliwa tu. tagert ingekuwa hawa lakini hakuna campaing yoyote kuwashawishi kwamba motherland yao Africa inahitaji investment zao na return ipo.
so hawa ni walokole wa Bush WANAKAZI MAALUM YA KUZUGA KWA WASOTAKA KUFIKIRI



Maccos karibu aboard.Ila Kindly rekebisha mwandiko tuweze kusoma maana hii unayotumia inafisha macho
 
Huuu Mkutano wa sullivan ni walokole tu hawa sio chochote si lolote ukweli ni watu wenye kutumiwa na weupe wa Marekani ........amkeni jamani wao wanajiita diaspoara????????? ni watu wanaotumiwa dhidi ya waafrika na blacks wamerekani. hawana INFLUENCE yoyote kwa blacks wa usa isipokua wanandugu tu . wameleta ndugu hapa kutudanganya lengo likiwa ku pora maliasili zetu basi hili ndio lengo. kama wao wana shawishi blacks kujaribu kuwekeza Africa basi tunawajua blacks ambao wanauwezo lakini hawataki utapeli wa hawa jamaaa na policy ya usa ni tabu sana kuwekeza nje ya USA. Kama wao ni wakweli wengekuja na kina Tiger Wood, Mohamed Ali , 50 cents, michael jacksons,will smiths,d.washington, hawa wanapesa tena hawajui wa invest nini wanaishia kutapeliwa tu. tagert ingekuwa hawa lakini hakuna campaing yoyote kuwashawishi kwamba motherland yao Africa inahitaji investment zao na return ipo.
so hawa ni walokole wa Bush WANAKAZI MAALUM YA KUZUGA KWA WASOTAKA KUFIKIRI


Good point man kuhusu uwakilishi wao!


.
 
hawa jamaa wamekuja kutalii.. mimi nawahakikishia kama kweli tunataka kujikwamua kiuchumi.. hatutaangalia nje, tutaangalia ndani maana wanaweza kuja wamarekani weusi wote, wazungu wote n.k na tukabakia masikini vile vile..
 
hawa jamaa wamekuja kutalii.. mimi nawahakikishia kama kweli tunataka kujikwamua kiuchumi.. hatutaangalia nje, tutaangalia ndani maana wanaweza kuja wamarekani weusi wote, wazungu wote n.k na tukabakia masikini vile vile..

Sidhani kama Watanzania wana imani kwamba kutokana na ujio wa Sullivan basi matatizo yetu ya kiuchumi na kijamii yatakwisha. Bali swala hili lina chachu katika graund economy ya mkoa wa Arusha. Huu mkutano umeleta impact kwa muda mfupi ndani ya sector ya utalii, sector ambayo ni source ya kazi nyingi sana pale Arusha.

Ni kweli kwamba mambo mengi yanaitaji kufanyika ili Tanzania ijikomboe kiuchumi na kijamii, na nikweli ujio wa Sullivan hauwezi badili Tanzania, lakini atleast ujio huuu umeweza kuwaongezea kipato baadhi ya wakazi wa Arusha. Japokuwa ni asilimia ndogo, lakini atleasr wakazi wa Arusha wameweza kufaidika na this meeting.

We can't isolate ourself na nchi nyingine for the sake of boost our social and economic status.We need to associate with other countries and at the same time set a winning stategic plan on economy and social issues.
 
Serikali inatumia 30m dollars kwenye huu mkutano,inawapa complimentary kwenda mbugani,wao wanaongelea baba zao,Martin Luther King...Then mkutano ukiisha,wanafanyiwa party kubwa Zanzibar(Kempinski),huku Wazanzibari wenyewe wako kwenye giza.Mimi mpaka sasa hivi sijaelewa huu mkutano unatusaidia kivipi.Ingekuwa ni mara ya kwanza unafanyika Africa,ningesema labda.Sasa wale wanyamwezi kila anayehojiwa anasema he/she happy to come back home.Mbongo anajikusanya kwenda kutafuta mwekezaji....
I have been a big fan of Bush toka alivyokuja hapa.Kaja na pesa zake,katumia sana,na kuacha nyingine nyingi tu,na zitaendelea kuja.Kaja na waandishi habari wengi sana,habari za yeye kuwa huku i'm sure zilionyeshwa kwenye channel nyingi sana huko US.Mpaka taa za barabarani hapa waliamriwa waweke maeneo waliyotaka na wao walilipia.
Sullivan wamekuja kuweka daraja kati ya wamarekani weusi na waafrika...hilo daraja kwa nini halijaonyesha mafanikio yeyote west Africa walikofanya hii mikutano kabla,tufanikiwe sisi?
 
Hivi mnaweza kuamini sasa hivi wakitambulisha nchi zilizoshiriki katika mkutano huu katika kikao cha marais Membe amataja...United Republic of Tanzania na bila kusahau Zanzibar! I though ingekuwa Tanganyika na Zanzibar if that is the case.... Yaani yupo hapo anachemsha ile mbaya! Hawajui hata marais waliopo na alisahau kuwatambulisha!
 
hawa wanugu hawana lolote. kwanza hakuna investor hata mmoja aliyekuja na hii entourage yao. hawa jamaa wamekuja kutalii for free on our tax payers money on the directions of our esteemed vasco da gama. jamani kweli bongo sasa tumekuwa tabara bovu.
 
Hivi mnaweza kuamini sasa hivi wakitambulisha nchi zilizoshiriki katika mkutano huu katika kikao cha marais Membe amataja...United Republic of Tanzania na bila kusahau Zanzibar! I though ingekuwa Tanganyika na Zanzibar if that is the case.... Yaani yupo hapo anachemsha ile mbaya! Hawajui hata marais waliopo na alisahau kuwatambulisha!

"Zanzibar sio nchi." Jaji A. Ramadhani, 2003. Mahakama ya Rufaa, Akitafsiri Katiba.
 
siamini kama tunatakiwa kutegemea chochote kutoka kwa hawa watu wa marekani. siamini, na sijaona hata mtu mmoja anaeweza kuwa investor hapa kwa wale waliokuja. nafikiri uwezo wao kifedha ni sawa tu na wakwetu. jana walichanga michango ya kuchangia shule ya msingi, huwezi amini, hata milion 60 hazikufika. wakati mafisadi ya kibongo yakianza kuchangisha wakati wa kampeni za ccm, huwa haipungui milion 300 kwa fundraising moja. sasa hawana cha ziada, pamoja na kwamba wanaweza wakasaidia kidogo kama wanaweza lakini, kututangazia utalii huko wanakoenda. hata hivyo siamini kama wanaweza, siamini kama wanaweza wakagaramikia kututangazia sisi utalii huko kwao, kwa hela gani waliyokuwa nayo? Chris turker mwenyewe walimtangaza kuwa ni tajiri, amechangia dola elfu tano. nimeshuhudia wengi wakichangia hadi dola mia tano, ambazo kama tukiamua wabongo kuanza kuchangisha(kama tulivyochanga wakati wa hawa wakina mama madaktari wanaotibu kansa ya matiti),yaani mewata, tunaweza tukafanya vyema kuliko wao.tusifikiri kuwa kuja kwa watuwa nje ndo mafanikio, pamoja na kwamba ni vizuri kama wanakuja.

hoja yangu moja ni hii, hata hawa watalii wakija sana, kama wakitangaza, siamini kama zile tourist companies za wahindi na wabongo wachache kule Arusha wanalipa kodi ya kutosha kwenye selikali ili tunufaike watz wote. kiufupi, mimi naona huu mkutano hauna manufaa sana. na hawa jamaa wamekuja kutalii zaidi. asante.
 
Serikali inatumia 30m dollars kwenye huu mkutano,inawapa complimentary kwenda mbugani,wao wanaongelea baba zao,Martin Luther King...Then mkutano ukiisha,wanafanyiwa party kubwa Zanzibar(Kempinski),huku Wazanzibari wenyewe wako kwenye giza.Mimi mpaka sasa hivi sijaelewa huu mkutano unatusaidia kivipi.Ingekuwa ni mara ya kwanza unafanyika Africa,ningesema labda.Sasa wale wanyamwezi kila anayehojiwa anasema he/she happy to come back home.Mbongo anajikusanya kwenda kutafuta mwekezaji....
I have been a big fan of Bush toka alivyokuja hapa.Kaja na pesa zake,katumia sana,na kuacha nyingine nyingi tu,na zitaendelea kuja.Kaja na waandishi habari wengi sana,habari za yeye kuwa huku i'm sure zilionyeshwa kwenye channel nyingi sana huko US.Mpaka taa za barabarani hapa waliamriwa waweke maeneo waliyotaka na wao walilipia.
Sullivan wamekuja kuweka daraja kati ya wamarekani weusi na waafrika...hilo daraja kwa nini halijaonyesha mafanikio yeyote west Africa walikofanya hii mikutano kabla,tufanikiwe sisi?


Mkutano huu ulikuwa wa JK na PR na hauna lolote la maana .hakuna cha uchumi wala unafuu wala wawekezaji sana sana kuwapa mafisadi kutuibia then waseme ni manufaa ya Sullivan.Hivi ni Nchi gani huu mkutano ulifanyika na wakawa wazuri katika uchumi ? Nauliza hamnipi majibu .
 
hawa jamaa wamekuja kutalii.. mimi nawahakikishia kama kweli tunataka kujikwamua kiuchumi.. hatutaangalia nje, tutaangalia ndani maana wanaweza kuja wamarekani weusi wote, wazungu wote n.k na tukabakia masikini vile vile..

La maana kwenye huo mkutano labda ni ile speach ya General Obasanjo, Yaliyobakia yote ni madudu hadi ile speech ya muungwana eti amewataka deligated wa huo mkutano waje wawekeze kwenye miundo mbinu na kwenye nishati ya umeme! hivi nyie wana JF pale kwenye ule mkutano ni nani investor pale?? Jasse Jackson?Andrew Young?Au yule mchekeshaji wa Rush hour movies? Hivi huyu JK lini ataacha kuwadhihaki mamilioni ya watanzania wanaolala njaa?maelfu ya zanzibar wanao lala giza?Maelfu ya kina mama wanaopata matatizo wakati wa kujifungua?

Huyu jamaa ni msanii hii summit imefanyika kisiasa tu ameshindwa kutuletea Real Madrid kuja kutalii ametuletea hawa black Americans! Eti waafrika wenzetu wanasema wanaona faraja kuja TZ kwani huku ndio nyumbani! eti nini? hamjasoma hotuba ya Obama alioitua baada ya kushinda kwenye kura za kupitishwa ugombea?"Because we may call ourselves Democrats and Republicans, but we are Americans first. We are always Americans first"
Kwahiyo hao suvillians deligates hata kama ni weusi wao ni waamerika na kwao american intrest will always come first before anything nadhani hili wale wenye macho na masikio ya mrengo wa CCM watalipinga pia! anyway tuwawache kwani ndio walivyo wamezoea propaganda na kuwadhikahi wananchi wanao wachagua kwa kishindo!
Alamsiki
 
Back
Top Bottom