8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

Watanzania wenzangu baada ya dongo la macho na mwanasiasa JK nashangaa kwa nini Sullivan haijapewa coverage Tanzania .Katika mahijiano kwamba Jesse Jackson kukosekana katika kumpongeza Obama US walisema the guy was absent kwamba safarini na wala hawakutaja kwamba yuko Tanzania.Je huu mkutano kweli ulikuwa wa aina gani ?
 
Nakandamiza Kibara,
Mkuju walisema yuko Tanzania isipokuwa jina la mji ndio walikosea...
 
..pia binti yake wa kwanza anna aliolewa na kuzaa na MMAREKANI MWEUZI ALIYEAMIA HAPA KUITIKIA MWITO WA MWALIMU...na waliukuwa wakiishi na yule binti pale arusha ..sema kilichomuudhi mwalimu...ni binti yake anna kuanza kufuata imani ya ki rasta ya yule bwana...nasikia baadaye ndoa yao haikuendelea ..lakini wanao watoto ...na hata yule mmarekani alibadili jina na kujiunga na ukoo wa nyerere na hadi leo ni mwanaukoo!!

Huyo Mmerekani alizaa mtoto mmoja na huyo mtoto wa Mwalimu.Baadae alikuja kufanya kazi MNF ndani ya mkataba wa Oxfam.Wale MNF,especially Butiku,walim frustrate sana kwa sababu yeye ndio alikuwa anasimamia masuala ya fedha zinazoingia,na pia ku source pesa kutoka kwa wafadhili.Aliachana nao na kurudi zake Marekani...nasikia anafundisha huko.

MNF haipati pesa toka serikalini kwa sababu ya Butiku.alitakiwa kustaafu toka mwaka jana,laikini kila mtu anashangaa mpaka leo yupo pale.Na yeye sasa hivi anaona kama vile he has nothing to loose amekuwa domokaya.Wametia aibu kwa kuanzisha hio lottery aliyoichezesha Sabodo.Wamekula sana hizo pesa,na kutapeli watu walioahidiwa malori mapya.Sasa pale SAS ni lazima aendelee kuwepo kwa sababu yeye ni kweli ana interest at heart ku-achieve what Mwalimu stood for.
 
angalao labda wauzaji wa rejareja, watoa huduma, hoteli wamefaidika na utalii. lakini hata mimi nimeona ni wachovu tu. hakuna mpango. wa kumfanya raisi ajishirikishe.
anyway, it was a big holiay to them.
I would like to see the budget.

Tatizo watanzania tunadhani wenye hela wananembo kama kina ROSTAM. Kwa mtu aliyeishi miji kama London ama New York anaweza kujua kuwa unaweza ukawa umedandia subway na bilionea ukadhani muosha vyo mwenzio. Na huku kukosa confidence kwetu hata kuongea nao ili kuwajua ikawa vigumu halafu tunakuja kujudge kuwa hakukuwepo serious investors.Kuna yeyeto aliyejaribu kuwasiliana na GOODWORKS ama foreign affars kujua profile za wageni hawa? Si kweli kuwa wote walikuwa wachovu....tatizo ni jinsi gani tumetumia chance hiyo. Ama mlitaka JK awatongozee?

Hata wenye nembo ina maana hamkumuona Lord GIRE wa Houston? Mbona alikuwepo anatamba huku akiwa ana nembo zote za kiuwekezaji/kiuchukuaji...

Kwa wale wachache sana waliokuwa serious wameweza kuestablish connections na deal za muhimu. Tatizo linakuja pale tunapoanza kutakiwa kutekeleza majukumu yetu kibiashara ndipo longolongo litakapoanza...

Tanzanianjema
 
..naamini wengi kwa nilivyoongea nao wangependa kuchangia MWALIMU NYERERE FOUNDATION....lakini shangaa taasisi yake wala haikutuma MSHIRIKI ..sembuse kuwa hata na banda pale..hii ni weakness ya kina membe au butiku...?...mwalimu aliongelewa sana pale ..lakini taasisi ya kusimamia anayoyaamini..labda haikualikwa au hawakuja!


Unfortunately hawakualikwa.....sijui nini kilitokea...kusahau ama siasa zetu za kawaida....

Tanzanianjema
 
MNF is another NGO just like HAKI ELIMU, TGNP etc, kwanini itengewe fedha bungeni? If i was a foundation established by the act of parliment I would have understood. Or is it another GONGO?-GOverntment NGO?

Asha

Acha ukada pofu wa kibwanyeye (CHADEMA). MNF sio another NGO isipokuwa upunguani wa kisiasa za kitanzania ndio unapelekea muwe na muono huo. MNF ni mali ya watanzania kwani MWALIMU NYERERE ni nguzo pekee ya utanzania wetu tuliyobaki nayo na ni jukumu la watanzania kuiwezesha kupitia kodi wanazolipa.

Tanzanianjema
 
MNF is another NGO just like HAKI ELIMU, TGNP etc, kwanini itengewe fedha bungeni? If i was a foundation established by the act of parliment I would have understood. Or is it another GONGO?-GOverntment NGO?

Asha

Acha ukada pofu wa kibwanyeye (CHADEMA). MNF sio another NGO isipokuwa upunguani wa kisiasa za kitanzania ndio unapelekea muwe na muono huo. MNF ni mali ya watanzania kwani MWALIMU NYERERE ni nguzo pekee ya utanzania wetu tuliyobaki nayo na ni jukumu la watanzania kuiwezesha kupitia kodi wanazolipa.

Ama unataka nayo ipige hodi USAID, Barrick, VODACOM na upuuzi mwengine halafu iserve their useles agendas....

Tanzanianjema
 
Kuwabana kusponsor vitu kama hivi ni moja ya njia ya kuwalipisha kodi kiusanii...

Tanzanianjema

Yaani wewe unataka tuamini kabisa kwamba dola imeshindwa kuwalipisha watu kodi sasa imebakia "kuwalipisha kodi kiusanii"?
 
Huyo Mmerekani alizaa mtoto mmoja na huyo mtoto wa Mwalimu.Baadae alikuja kufanya kazi MNF ndani ya mkataba wa Oxfam.Wale MNF,especially Butiku,walim frustrate sana kwa sababu yeye ndio alikuwa anasimamia masuala ya fedha zinazoingia,na pia ku source pesa kutoka kwa wafadhili.Aliachana nao na kurudi zake Marekani...nasikia anafundisha huko.

MNF haipati pesa toka serikalini kwa sababu ya Butiku.alitakiwa kustaafu toka mwaka jana,laikini kila mtu anashangaa mpaka leo yupo pale.Na yeye sasa hivi anaona kama vile he has nothing to loose amekuwa domokaya.Wametia aibu kwa kuanzisha hio lottery aliyoichezesha Sabodo.Wamekula sana hizo pesa,na kutapeli watu walioahidiwa malori mapya.Sasa pale SAS ni lazima aendelee kuwepo kwa sababu yeye ni kweli ana interest at heart ku-achieve what Mwalimu stood for.

..WATU WENGI HATA WAKIWAMO WATOTO WA MWALIMU WAMECHOSHWA NA BUTIKU PALE.. MNF....ITS TIME HE GOOO..........THERES WIDE SPREAD OUTCRY OF FUNDS MISAPROPRIATION AND SWINDLING SARROUNDING HIM ..ALSO ALLEDGED TO SPEND A LOT OF MONEY TRAVELLING BUSINESS CLASS ..WAKATI FUND HAINA PESA..AND GIVING MONIES TO HIS SERIES OF GIRLFRIENDS.....

BUTIKU AKWENDE.....NAPENDEKEZA KWA AJILI YA PUBLICITY ..EXECUTIVE DIRECTOR MPYA WA MNF ATOKE NJE ESPECIALLY MAREKANI...THOSE GUYS GET FUNDRISING SKILLS....SIO BUTIKU ANAMTAPELI TU SABODO PALE...HATA WAKIAMUA KUMPA U DIREXTOR HUYO MKWE WA MWALIMU MMAREKANI ITS MUCH BETTER FOR I UNDERSTAND KAMA NI NAFASI YA NDUGU HUYU JAMAA PIA ALIKUWA ADOPTED KWENYE NYERERE CLAN....SALIM CAN REMAIN ..AS CHAIRMAN....
 
Mwanakijiji,Philemon,Zanaki,...

..Taasisi ya MNF ibakie kuchangiwa na kuendeshwa na wale wanaokubaliana na malengo ya kuanzishwa kwake. sidhani kama ni busara taasisi hiyo kutengewa fungu la fedha toka bajeti ya serikali.

..pia napendekeza ianzishwe PRESIDENTIAL LIBRARY ktk moja ya vyuo vyetu vikuu -- UDSM, au Dodoma Univ. napendekeza nyaraka muhimu za Maraisi na serikali zilizopita ziwe DE-CLASSIFIED na kuwekwa ktk maktaba hiyo kwa faida ya wananchi na wana-historia.
 
Back
Top Bottom