9/12/2019 nawakaribisha Mwanza

9/12/2019 nawakaribisha Mwanza

Naamini na nina jua humu kuna totoz kali hata huyo juu pichani anasubiri, ila nabisha mpaka kesho kutwa eti cutelove

awe mzuri namna hiyo aah thubutu yake,weee nakataa hata nikichapwa fimbo sikubali.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umewahi kumwamini huyu dada?
Umesahau ile nauli ya 7,800 alyopewa dar arudi Mwanza?
Huyu anajua anachokifanya mwacheni
cutelove leo rasmi kengele ya hatari imelia kwenye ubongo wangu

ukitaka hii kenyele inyamaze naomba useme na ukubali hizo picha si zako

na useme kwanini uliamua kutumia picha ambazo si zako kusema ni wewe?

Usipoweza nifafanulia hayo maelezo,hii kengele itaendele kulia,sijui mpk saa ngapi.
 
Mkuu Wick huyo dada mwenye picha ni mkenya alikuwa au bado anafanya kazi kampuni ya Rama Homes Limited huko Westlands Kenya.
Facebook kuna mtu anatumia picha zake anajiita Elizabeth Mtoni,.
Huyo Elizabeth ukimsearch facebook ana account zaidi ya 4 ila umri tofauti.

Kuna mtu mwingine huko facebook anatumia picha za huyo dada anaitwa Fausta Juma.

Inaonekana kama hawa wabongo wanatumia picha zake nzuri kufanya utapeli mitandaoni kusaka wanaume wenye tamaa ya warembo.

Sikupenda kuweka hivi lakini huyu mleta mada kanilazimisha.
Tena huko facebook anapicha kibao amevaa hadi kitambulisho cha kazini.
ngoja nimtag kwanza!.
Cc: cutelove
 
Tangu nijiunge Jf sijawahi kukutana laivu na Member hata mmoja wapo na kumuona kwa Macho.Na kwa kuwa u-welder wangu naufanyia Mwanza,nahisi wewe nitakufungia sfr mkuu ili tu niiondoe Nuksi hii
Tarehe za Uhuru ndani ya jiji bora na jiji la mawe la sato na sangara zinakaribia.

Zitafanyikia uwanja wa CCM Kirumba, nyuma kidogo na ofisi zangu (Kirumba sokoni)

Wale wa mikoani, nawakaribisha sana. Karibu kwenye jiji letu bora na pendwa.

Jiji lenye makabila yote Tanzania ila wenyeji Wasukuma ndo wengi, Wahaya, Wanyambo, Wakerewe, Wakurya, Wajeluo, Wanyamwezi, Waha na Wachagga kwa uchache.
 
Back
Top Bottom