Kwani wao ndio walikuwa wanaokoa? Waaliingia in the picture very late. Anyway umesikia kuna Myahudi kafa kwenye hilo jengo? Jengo la Myahudi lakini no Isreli casualties!!! Kosa la WEstgate ni la Jeshi la Kenya pure and simple. Tusibebeshe taifa lingine kosa ambalo sio lao.
...Eeh....!!