Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Nilikuwa naosha mwenyewe siku hizi siwezi. Kama unapeleka car wash jitahidi kutoa vitu vya thamani na hela. Pia simamia gari yako usiwaamini waoshaji.
Siku moja nipo car wash kuna magari kadhaa. Vitz ikagoma kuwaka, kulikuwa na Audi pale vijana wa car wash wakataka kuitumia kuboost ile Vitz. Nikawauliza mnaijua vizuri hii gari? Wakabaki wananitolea macho nikawaambia mkipiga shoti hapo hii gari itakuja kubebwa hapa na spare mtaagiza Ujerumani. Wakaacha ile gari.
Ninachotaka kusema hapa wale vijana waosha magari hawathamini chochote pale, kama wewe hujali gari yako na mali zako utalia siku moja kwa kuwaachia gari waoshaji.
Ntaua mtu asee, gari inauma sana ndomana huwa siazimishi mkuu[emoji23]