MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,740
- 1,005
Wakuu ni kara ya pili sasa inanitokea,
Mara ya kwanza nilipeleka gari yangu ikiwa mpya, kwa kuwaamini madogo kwa kuwa ndo car wash pekee iliyopo mtaani, nikaiacha gari nikaifata baada ya masaa 2 na nusu hivi nikaendesha kwenda home, asbh kuwasha inagoma as if battery low, kufungua bonet jamaa wame temper, wamefingua battery yangu mpya wakaweka kimeo, nikawafata wakalipa sikuipata ya awali maana walishauza tayari.
Nikaenda town siku moja, nikaweka gari car wash tena, awamu nikasema nitasimamia show, ila nikapokea simu ya dharura ambapo ilinibidi niende bank kutoa pesa nikafanya chap, kisha nikarud, badae wakakamilisha nikaondoka nilipokuja kukagua baada ya siku mbili, hazard zote zimebebwa na fire extuingsher.
Aiseee pia tank langu maji ya wiper nalo likawa linavuja vibaya sana, kila ukiweka maji yanapitiliza sijui waliifanyaje gari yangu maskini.
Nimekata tamaa kwenda car wash bora nikomae home na wanangu.
Mara ya kwanza nilipeleka gari yangu ikiwa mpya, kwa kuwaamini madogo kwa kuwa ndo car wash pekee iliyopo mtaani, nikaiacha gari nikaifata baada ya masaa 2 na nusu hivi nikaendesha kwenda home, asbh kuwasha inagoma as if battery low, kufungua bonet jamaa wame temper, wamefingua battery yangu mpya wakaweka kimeo, nikawafata wakalipa sikuipata ya awali maana walishauza tayari.
Nikaenda town siku moja, nikaweka gari car wash tena, awamu nikasema nitasimamia show, ila nikapokea simu ya dharura ambapo ilinibidi niende bank kutoa pesa nikafanya chap, kisha nikarud, badae wakakamilisha nikaondoka nilipokuja kukagua baada ya siku mbili, hazard zote zimebebwa na fire extuingsher.
Aiseee pia tank langu maji ya wiper nalo likawa linavuja vibaya sana, kila ukiweka maji yanapitiliza sijui waliifanyaje gari yangu maskini.
Nimekata tamaa kwenda car wash bora nikomae home na wanangu.