ikifika 2040 nazo zitakuwa old school za IlalaKigamboni na Kibaha watu wanadondosha nyumba kali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikifika 2040 nazo zitakuwa old school za IlalaKigamboni na Kibaha watu wanadondosha nyumba kali sana
Naona ujenzi unategemea na eneo ndio maana zinakuwa na mfananoMoshi nilikotokea napo nyumba zao ramani zinafanana, hasa nyumba za zamani. Mwanzo ni self contsined kisha vikafuata vyumba kama mabehewa. Mwisho kabisa huwa kuna choo, bafu na ka stoo. Kwa walioishi Moshi wanajua
Kabisa huenda hata nyumba za chini zikapigwa marufuku sababu ya kubana matumizi ya eneoikifika 2040 nazo zitakuwa old school za Ilala