Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=WH-3qniTLEk&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D


View: https://m.youtube.com/watch?v=__R1rETaCDA&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D

Nchi ilivyokuwa zama za Jakaya Kikwete, ndio akushauri kuongoza nchi.

Bila ya Magufuli kuwatuliza wapinzani hali ingekuwa mbaya zaidi.

Unaambiwa baki hapo hapo, hiyo kazi sio rahisi na lawama katika maamuzi magumu ayakwepeki. Anadhani anaweza furahisha kila mtu.
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za Chadema, wala kutoweka vifaa vya Chadema kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Taifa linaenda kupona.
Nimeona Watanzania wametawanyika nyikani bila kiongozi.

Maandamano haya siyo ya CHADEMA, ni maandamano ya Wananchi.

Mungu atapokea kilio cha Watanzania
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za Chadema, wala kutoweka vifaa vya Chadema kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Kwaiyo na nyie mpo kama CCM mkiona hamkubaliki mahali manabeba watu kwenye mafuso?
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za Chadema, wala kutoweka vifaa vya Chadema kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Nakuona endelea
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
 

Attachments

Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Unajitekenya,unajiandikia usiku wa manane kama mchawi bila chama kukutuma!
 
Nilifuatilia maandamano ya Kule Tunisia .
Wale walianzia kwa watu wanyonge na wavuja jasho kwenye maeneo muhimu ya masoko yaliyopo jirani jirani .

Walikua wanakuja kama wateja sokoni .
Soko linajaa wafanyabiashara wanauza na kununua mahitaji yao.

Soko lingine linajaa,hivyo hivyo halafu Ikifika jioni wanashangaa bado wetu wapo ,asubuhi wameshahamia kwenye soko lingine na kubeba mabango . Hapo ikawa ngumu sana kudhibiti mana vichochoro vya soko ni vingi na uwezekano wa kupiga risasi wateja na wafanyabishara ni mgumu na soko linaweza likaungua kwa mabomu na pia hakuna pa kurusha mana pia ni makazi ya watu. Ngoma ikahamia uwanjani wa wazi wakati huo waandamanaji walishafika zaidi ya milioni moja na nusu .

Polisi wakajaribu kuua jeshi likazuia ndugu zao kuuawa kwa sababu ya uroho wa mapolisi wanaotaka teuzi za Ukuu wa vituo vya mikoa na wilaya na uDCI na uIGP pamoja na wanasiasa wasioridhika na ufisadi wao na vyeo vyao. Jeshi likalinda uhai wa waandamanaji zaidi ya mil. mbili pale Tunisia yule mtu mmoja aliyekua ameshindwa kuongoza nchi akatoka madarakani kwa kujiuzulu nafasi ya urahisi .
Ingekua ni kule Somalia basi wangeanza soko la bububugulini , Ilalanichuni, Kariahakoloni, Ksh.tu na wengine wengine wanatokea pake Lumumbashi . Kufumba na kufumbua minazi mingi imeshajaaa .

Kamanda Mbowe kula chuma hicho.😂😂😂😂😂

Kifo ni kifo tu hata kwa kufa kwenye maandamano ni kifo tu .
Nimekereka sana
Noma sana.
Dr. NCHIMBI alitoa hotuba nzuri sana ya kuuma na kupuliza kama Mtanganyika mwenye maadili ya upendo,huruma ,utu na uzalendo .
Baaa, bwana wewe ,siakaja hamira jeshini mkubwa .
Sindio akalikoroga ntu yule .

Maandamano ya Tunisia yalikua ni kwa ajili ya usalama wa nchi yao na mamilioni ya Wananchi wao . Lakini pia maandamano ya Tunisia yalikua ni hasara kwa watawallalma waovu kupoteza nafasi zao.

23/9/2024 ikifanikiwa basi Tanzania mpya itakuja watu wataheshimu uhai wa watu na utu na usawa bila kujali,cheo, chama ,dini,kabila na rangi.
Hii mambo ya UVCCM kutoka huko Zanzibar wanaingia Tanganyika kuteka watu halafu wanawaachia ushuzi polisi kwa kuwapa taarifa za uongo inatakiwa ifikie mwisho .
Sasa hivi wanaanza kuwasakama Viongozi wa taasisi za dini hasa wale ambao sio Bakwata kama shehe ponda na wale wa kikristo eti ni chadema kwa sababu tu wanapinga mauaji na dhulma .
Wasipozuiwa 23 sept wataanza kuteka viongozi wa dini na kuliingizia jeshi la polisi.
Samia amebariki wetu kuuawa kwa sababu anaamini kuwa 'kifo ni kifo' tu ila hajui kuwa uhai ni uhai tu unapaswa kulindwa.
 
Pamoja, nguvu ya umma tutafanya viongozi wa kiserikali walioingia 2019 na 2020 kuanza kuheshimu matakwa ya wananchi ambao ndiyo wenye mamlaka kamili juu ya mustakabali w nchi yetu Tanzania.

Na si vinginevyo viongozi wa kiserikali tuliowaajiri kwa kuwalipa mshahara kutuambia wao wanataka nini.

Ni sisi tuwaambie viongozi wa serikali ya chama dola kongwe CCM kuwa wananchi tuna takanini.

People's Power Nguvu Ya Umma tuingie barabarani kwa wingi ikiwa hawatasikiliza madai yatu wananchi.
 
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.

Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Waambieni watajuwa jiji.

Kuna FFU na mbwa zao wametoka mafunzoni wanasubiri kuwalinda mitaani Dar. Wengine wamesambazwa mikoani.

Wanajeshi pia watakuwa na zoezi la kuwasafishia mitaa ili waandamane vizuri.
 
Nilifuatilia maandamano ya Kule Tunisia .
Wale walianzia kwa watu wanyonge na wavuja jasho kwenye maeneo muhimu ya masoko yaliyopo jirani jirani .

Walikua wanakuja kama wateja sokoni .
Soko linajaa wafanyabiashara wanauza na kununua mahitaji yao.

Soko lingine linajaa,hivyo hivyo halafu Ikifika jioni wanashangaa bado wetu wapo ,asubuhi wameshahamia kwenye soko lingine na kubeba mabango . Hapo ikawa ngumu sana kudhibiti mana vichochoro vya soko ni vingi na uwezekano wa kupiga risasi wateja na wafanyabishara ni mgumu na soko linaweza likaungua kwa mabomu na pia hakuna pa kurusha mana pia ni makazi ya watu. Ngoma ikahamia uwanjani wa wazi wakati huo waandamanaji walishafika zaidi ya milioni moja na nusu .
-----------------------
 
Nilifuatilia maandamano ya Kule Tunisia .
Wale walianzia kwa watu wanyonge na wavuja jasho kwenye maeneo muhimu ya masoko yaliyopo jirani jirani .

Walikua wanakuja kama wateja sokoni .
Soko linajaa wafanyabiashara wanauza na kununua mahitaji yao.

Soko lingine linajaa,hivyo hivyo halafu Ikifika jioni wanashangaa bado wetu wapo ,asubuhi wameshahamia kwenye soko lingine na kubeba mabango . Hapo ikawa ngumu sana kudhibiti mana vichochoro vya soko ni vingi na uwezekano wa kupiga risasi wateja na wafanyabishara ni mgumu na soko linaweza likaungua kwa mabomu na pia hakuna pa kurusha mana pia ni makazi ya watu. Ngoma ikahamia uwanjani wa wazi wakati huo waandamanaji walishafika zaidi ya milioni moja na nusu .

Polisi wakajaribu kuua jeshi likazuia ndugu zao kuuawa kwa sababu ya uroho wa mapolisi wanaotaka teuzi za Ukuu wa vituo vya mikoa na wilaya na uDCI na uIGP pamoja na wanasiasa wasioridhika na ufisadi wao na vyeo vyao. Jeshi likalinda uhai wa waandamanaji zaidi ya mil. mbili pale Tunisia yule mtu mmoja aliyekua ameshindwa kuongoza nchi akatoka madarakani kwa kujiuzulu nafasi ya urahisi .
Ingekua ni kule Somalia basi wangeanza soko la bububugulini , Ilalanichuni, Kariahakoloni, Ksh.tu na wengine wengine wanatokea pake Lumumbashi . Kufumba na kufumbua minazi mingi imeshajaaa .

Kamanda Mbowe kula chuma hicho.😂😂😂😂😂

Kifo ni kifo tu hata kwa kufa kwenye maandamano ni kifo tu .
Nimekereka sana
Noma sana.
Dr. NCHIMBI alitoa hotuba nzuri sana ya kuuma na kupuliza kama Mtanganyika mwenye maadili ya upendo,huruma ,utu na uzalendo .
Baaa, bwana wewe ,siakaja hamira jeshini mkubwa .
Sindio akalikoroga ntu yule .

Maandamano ya Tunisia yalikua ni kwa ajili ya usalama wa nchi yao na mamilioni ya Wananchi wao . Lakini pia maandamano ya Tunisia yalikua ni hasara kwa watawallalma waovu kupoteza nafasi zao.

23/9/2024 ikifanikiwa basi Tanzania mpya itakuja watu wataheshimu uhai wa watu na utu na usawa bila kujali,cheo, chama ,dini,kabila na rangi.
Hii mambo ya UVCCM kutoka huko Zanzibar wanaingia Tanganyika kuteka watu halafu wanawaachia ushuzi polisi kwa kuwapa taarifa za uongo inatakiwa ifikie mwisho .
Sasa hivi wanaanza kuwasakama Viongozi wa taasisi za dini hasa wale ambao sio Bakwata kama shehe ponda na wale wa kikristo eti ni chadema kwa sababu tu wanapinga mauaji na dhulma .
Wasipozuiwa 23 sept wataanza kuteka viongozi wa dini na kuliingizia jeshi la polisi.
Samia amebariki wetu kuuawa kwa sababu anaamini kuwa 'kifo ni kifo' tu ila hajui kuwa uhai ni uhai tu unapaswa kulindwa.
Na nyinyi fanyeni kama Tunisia, mtaijuwa hii ni Tunisia au Tanzania.
 
Na nyinyi fanyeni kama Tunisia, mtaijuwa hii ni Tunisia au Tanzania.

Unataka kusemaje? Mbona watekaji wamekuja mchana kweupe na mitutu lakini hawajakamatwa? Si unaona kama hatuna ulinzi wala jeshi imara/makini? Majeshi makini ilitakiwa ndani ya dakika zisizozidi 15 wangekuwa washakamatwa.

Jeshi lenu ni la kuviziana tu na kukamata wanaharakati ,unaenda kumkamata mtu mmoja wanaenda nane na mitutu?
 
Back
Top Bottom