Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Taifa linaenda kupona.
Nimeona Watanzania wametawanyika nyikani bila kiongozi.

Maandamano haya siyo ya CHADEMA, ni maandamano ya Wananchi.

Mungu atapokea kilio cha Watanzania
Maandamano ya wanasiasa sio wananchi
 
Kumbe waandamanaji ni wa kukodiwa isije kuwa mmewaleta wakimbizi kuja kuandamana mkasema ni wananchi
Rejea hotuba ya mwisho ya mchungaji Mtikila
 
kama wamepanga kufanya FUJO ......... basi wengi watakuwa wametokea mkoa fulani ....... (ambapo kwa DAR wengi wanakaa KITUNDA na wanauza mayai kwa baiskeli)
wa kujiandaa wajiandae
 
Nilifuatilia maandamano ya Kule Tunisia .
Wale walianzia kwa watu wanyonge na wavuja jasho kwenye maeneo muhimu ya masoko yaliyopo jirani jirani .

Walikua wanakuja kama wateja sokoni .
Soko linajaa wafanyabiashara wanauza na kununua mahitaji yao.

Soko lingine linajaa,hivyo hivyo halafu Ikifika jioni wanashangaa bado wetu wapo ,asubuhi wameshahamia kwenye soko lingine na kubeba mabango . Hapo ikawa ngumu sana kudhibiti mana vichochoro vya soko ni vingi na uwezekano wa kupiga risasi wateja na wafanyabishara ni mgumu na soko linaweza likaungua kwa mabomu na pia hakuna pa kurusha mana pia ni makazi ya watu. Ngoma ikahamia uwanjani wa wazi wakati huo waandamanaji walishafika zaidi ya milioni moja na nusu .

Polisi wakajaribu kuua jeshi likazuia ndugu zao kuuawa kwa sababu ya uroho wa mapolisi wanaotaka teuzi za Ukuu wa vituo vya mikoa na wilaya na uDCI na uIGP pamoja na wanasiasa wasioridhika na ufisadi wao na vyeo vyao. Jeshi likalinda uhai wa waandamanaji zaidi ya mil. mbili pale Tunisia yule mtu mmoja aliyekua ameshindwa kuongoza nchi akatoka madarakani kwa kujiuzulu nafasi ya urahisi .
Ingekua ni kule Somalia basi wangeanza soko la bububugulini , Ilalanichuni, Kariahakoloni, Ksh.tu na wengine wengine wanatokea pake Lumumbashi . Kufumba na kufumbua minazi mingi imeshajaaa .

Kamanda Mbowe kula chuma hicho.😂😂😂😂😂

Kifo ni kifo tu hata kwa kufa kwenye maandamano ni kifo tu .
Nimekereka sana
Noma sana.
Dr. NCHIMBI alitoa hotuba nzuri sana ya kuuma na kupuliza kama Mtanganyika mwenye maadili ya upendo,huruma ,utu na uzalendo .
Baaa, bwana wewe ,siakaja hamira jeshini mkubwa .
Sindio akalikoroga ntu yule .

Maandamano ya Tunisia yalikua ni kwa ajili ya usalama wa nchi yao na mamilioni ya Wananchi wao . Lakini pia maandamano ya Tunisia yalikua ni hasara kwa watawallalma waovu kupoteza nafasi zao.

23/9/2024 ikifanikiwa basi Tanzania mpya itakuja watu wataheshimu uhai wa watu na utu na usawa bila kujali,cheo, chama ,dini,kabila na rangi.
Hii mambo ya UVCCM kutoka huko Zanzibar wanaingia Tanganyika kuteka watu halafu wanawaachia ushuzi polisi kwa kuwapa taarifa za uongo inatakiwa ifikie mwisho .
Sasa hivi wanaanza kuwasakama Viongozi wa taasisi za dini hasa wale ambao sio Bakwata kama shehe ponda na wale wa kikristo eti ni chadema kwa sababu tu wanapinga mauaji na dhulma .
Wasipozuiwa 23 sept wataanza kuteka viongozi wa dini na kuliingizia jeshi la polisi.
Samia amebariki wetu kuuawa kwa sababu anaamini kuwa 'kifo ni kifo' tu ila hajui kuwa uhai ni uhai tu unapaswa kulindwa.Hii imekaa mkao sn mkuu🤝
 
Ogopeni sana Red Brigade na mbinu zao. Hatari sana hawa? na tena wakiwa wanaungana na hawa mawakala na mamluki wa kigeni mitandaoni.

Na ole wenu safari hii mkinifanya nifunge duka langu. Na Jogging zenu.

Yaani nitachapisha mabango mengi tu ya kuwakataa 2024-2025.

.....Piga Kura ya [❌] kwa wagombea wote wa CHADEMA...

Hawa wata tuwashia moto nchi hii kwa uharakati wao.
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Mbona mnapenda kudanganya na kujifanya kuwa mkiandamana mtaleta hofu kubwa, lakin ukweli maandamano ya CDM ni hayana impact yeyote? Mbona CDM iliandamana Mara kadha na hatukuona impact yeyote. Kwa hiyo hao asilimilia 90 watajaa kwenye mabarabara yote ya Dsm? Kama mna nguvu na impact kwann kila mkoa usiandamane ili shughuli zisimame kote Tanzania kama Genz Z ya Kenya.
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Karibuni sana, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya dola vimeshakusanya kila aina za zana kwa ajili ya kuwashughulikia
 
Kuna tetesi kwamba fiery Soka hatumuona tena.
Kwamba yeye ni mmoja wa watu wanne waliopelekwa,......ah,India.
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
FB_IMG_17267740492724978.jpg
 
Maandamano co ya CHADEMA ila waandamanaji wameambiwa wasivae sare za CHADEMA!?, Inafikirisha aisee.
Pale polisi anapochanganyikiwa na kugundua raia ana akili kuliko yeye na binduki yake

Pole mkuu, rudi CCP ukajifunze huduma ya polisi kuliko walivyokutia hamira kuwa kazi ya polisi ni kupambana na raia anayedai haki zake
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Kwahy unamshauri Prof. Janabi ajitahidi shift inayoingia kazini tarehe 23 kuwe na wataalamu wa kutosha baada ya matokeo kati ya mechi ya vijana wa serikali wenye morali Vs Waandamanaji wakaidi
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
kwahiyo wamejikusana malundo malundo au matita matita gentleman?🐒

Lakini pia,
wamekuja kufanya maandamano haramu ambayo hayapo na yaliositishwa na waandaaji au hayo ni mengine?

hebu fafanua kwa kina kifupi kwa faida ya wadau gentleman. kwamba wamekuja kwaajili ya yale maandamano haramu ya Samia must go, yaliyositishwa jana na chairman au kuna mengine?🐒
 
Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.

Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
Uko nje ya mada, Japo umeandika gazeti.

Kingine ambacho hukijui ni hiki, Wewe Pascal binafsi na mamluki wenzako hamna uwezo wa hamtakuja kuwa na uwezo wa kufifisha juhudi za Chadema za kudai demokrasia, hamna uwezo huo.

No vema hili ukalijua ili unapochangia hoja hizi uwe unachangia kwa adabu, wewe kama unanufaika na haya mambo endelea kunufaika, lakini je utaendelea hivyo hadi lini?

Halafu unachokiogopa kwenye maandamano ni kipi, ni lini Chadema waliwahi kuumiza au kuua mtu kwa Maandamano?
 
Back
Top Bottom