Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Sababu za kuwaumiza waandamanaji ni zipi?Vilema vingine ni vya kujitakia,nina uhakika hata wewe Erythrocyte hutatokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za kuwaumiza waandamanaji ni zipi?Vilema vingine ni vya kujitakia,nina uhakika hata wewe Erythrocyte hutatokea.
Kwahiyo nyinyi ccm hamna tena uwezo wa kujibu hoja, mnategemea FFU tu!Waambieni watajuwa jiji.
Kuna FFU na mbwa zao wametoka mafunzoni wanasubiri kuwalinda mitaani Dar. Wengine wamesambazwa mikoani.
Wanajeshi pia watakuwa na zoezi la kuwasafishia mitaa ili waandamane vizuri.
Wamewahi kufanya Ubaya gani, Wapi?Ogopeni sana Red Brigade na mbinu zao. Hatari sana hawa? na tena wakiwa wanaungana na hawa mawakala na mamluki wa kigeni mitandaoni.
Na ole wenu safari hii mkinifanya nifunge duka langu. Na Jogging zenu.
Yaani nitachapisha mabango mengi tu ya kuwakataa 2024-2025.
.....Piga Kura ya [❌] kwa wagombea wote wa CHADEMA...
Hawa wata tuwashia moto nchi hii kwa uharakati wao.
Tukitegemea Polisi Tutashindwa- KikweteKaribuni sana, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya dola vimeshakusanya kila aina za zana kwa ajili ya kuwashughulikia
Ulitaka Amiri Jeshi Mkuu ategemee Red Brigade iliyofundishwa na Mzee Kibao jinsi ya kutengeza na kulipua mabomu latika majengo na miundombinu ya umma?Tukitegemea Polisi Tutashindwa- Kikwete
Umeongea kwa Hekima kubwa!Mwenye Akili na Asikie maneno hayo.Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.
Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
Acheni kuwatisha watu mara kifo ni kifo km kuua kwenu sio ajabu mara mbwa mara ffu acheni kutisha watu acheni watu waandamane kudai haki zaoWaambieni watajuwa jiji.
Kuna FFU na mbwa zao wametoka mafunzoni wanasubiri kuwalinda mitaani Dar. Wengine wamesambazwa mikoani.
Wanajeshi pia watakuwa na zoezi la kuwasafishia mitaa ili waandamane vizuri.
Ndio hio tu uliyonayo?Muulize Dr. Balozi Slaa.
![]()
Mpaka wamuue Baba yako na kumwagia tindikali ndio akili itakukaa sawaMkiandamana naacha kazi yangu ,ni mjinga pekee wa kuwaamini hawa chadema political mongers
Kwahiyo wanadasalama hawatoshiHii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Rest in peace my lovely dad 2019,72 yrsMpaka wamuue Baba yako na kumwagia tindikali ndio akili itakukaa sawa
We umetumwa na Chama kipi kujibu?Unajitekenya,unajiandikia usiku wa manane kama mchawi bila chama kukutuma!
TUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Na nyinyi fanyeni kama Tunisia, mtaijuwa hii ni Tunisia au Tanzania.
Tunu ipi ya amani unayoitunza hiyoTUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?
USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.