Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Waambieni watajuwa jiji.

Kuna FFU na mbwa zao wametoka mafunzoni wanasubiri kuwalinda mitaani Dar. Wengine wamesambazwa mikoani.

Wanajeshi pia watakuwa na zoezi la kuwasafishia mitaa ili waandamane vizuri.
Kwahiyo nyinyi ccm hamna tena uwezo wa kujibu hoja, mnategemea FFU tu!
 
Ogopeni sana Red Brigade na mbinu zao. Hatari sana hawa? na tena wakiwa wanaungana na hawa mawakala na mamluki wa kigeni mitandaoni.

Na ole wenu safari hii mkinifanya nifunge duka langu. Na Jogging zenu.

Yaani nitachapisha mabango mengi tu ya kuwakataa 2024-2025.

.....Piga Kura ya [❌] kwa wagombea wote wa CHADEMA...

Hawa wata tuwashia moto nchi hii kwa uharakati wao.
Wamewahi kufanya Ubaya gani, Wapi?
 
Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.

Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
Umeongea kwa Hekima kubwa!Mwenye Akili na Asikie maneno hayo.
 
Screenshot_2023-01-12-11-03-14-749_com_1697943223752.facebook.lite.jpg
 
Waambieni watajuwa jiji.

Kuna FFU na mbwa zao wametoka mafunzoni wanasubiri kuwalinda mitaani Dar. Wengine wamesambazwa mikoani.

Wanajeshi pia watakuwa na zoezi la kuwasafishia mitaa ili waandamane vizuri.
Acheni kuwatisha watu mara kifo ni kifo km kuua kwenu sio ajabu mara mbwa mara ffu acheni kutisha watu acheni watu waandamane kudai haki zao
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
Kwahiyo wanadasalama hawatoshi

Kweli chagadema kimeisha
 
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.

Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.

Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.

Soma Pia:

Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.

Mungu Ibariki Nchi yetu.
TUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?

USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.
 
Maandamano ya transformation huwa hayatangazwi kajifunzeni kwa wamasai na kwingineko! Watanzania bado hawajawa tayari kwa mabadiliko wakifikia stage hiyo hawatasubiri waitwe na wanasiasa! Kwa sasa hv ni njia zingine zinafaa kwa sababu hawatakuja
 
Na nyinyi fanyeni kama Tunisia, mtaijuwa hii ni Tunisia au Tanzania.

Usimdanganye yule Mzanzibar.
Hakuna jeshi litakalokubali kuua ndugu zake kwa sababu ya mtu asiyekuwa na dira .

Tanganyika hatutaki kuuana kwa sababu ya Mzanzibar .

Hatujazoa kubaguana sisi ndio maana huku Tanganyika kuna watu wa dini tofauti waliooana na kila mmoja anakaa na dini yake mpaka wanakufa lakini kule kwao ni wabaguzi hawana uvumilivu .
Hatutaki atuletee hasira na ubaya wake huku.
Eti kifo ni kifo tu.
Nimekereka sana.
 
TUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?

USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.
Tunu ipi ya amani unayoitunza hiyo
 
Back
Top Bottom