MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Kama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.