MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Sasa bongo iwe na submarine kwa kazi gani? Mmezidisha sana ushirikina hadi mnaona mauza uza huko ziwani. Au pia ulisikia kutoka kwa wenzako huko wakisimuliana kwenye vijiwe vyenu vya umbea.Kama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu ,tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.
acha wenge mkuuKama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.
Kama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.
MSAGA SUMU Kwenye 1 & 2. LolsKama sio mfuatiliaji wa mambo au mvuvi unayefika kina kirefu ndani ya ziwa Tanganyika huwezi kujua hii inshu.
Siku moja saa 8 usiku tulikuwa tuko katikati tunarekebisha nyavu, tukakutana na submarine nadhani walikuwa wanajaza mafuta.
Ilikuwa ni kubwa sana japo kuwa asilimia kubwa ya chombo ilikuwa ndani ya maji.
Karibuni sana Kigoma wadau wa maendeleo.