99% ya wanawake waliokusumbua hawamfikii kwa uzuri mwanamke uliyenaye sasa hivi. Wakati mwingine unawashukuru kwa walivyokukatalia

99% ya wanawake waliokusumbua hawamfikii kwa uzuri mwanamke uliyenaye sasa hivi. Wakati mwingine unawashukuru kwa walivyokukatalia

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kijana ambaye upo 17-25 hawa wanawake wanaokusumbua Muda huu na kukatalia kuwa hawakutaki. Baada ya Miaka kumi ijayo utakapopata Mkeo utagundua kuwa wanawake waliokukatalia hawakuwa wazuri kiasi hicho isipokuwa ni balehe na nyege ndio zilizokuwa zinakuendesha.

Kwa Sisi kaka zenu tunaushahidi na Jambo hili.
Wale wanawake waliotusumbua tukiwa miaka 15-25 tukikutana nao sasa hivi tunamshukuru Mungu kwa wao kutukatalia na wale waliotukubalia tunamshukuru hatukuwaoa.

Mwanamke mzuri huwezi Mjua wakati ukiwa unabalehe au upo under 25 kwani utakuwa unaendeshwa na nyege kwa sehemu kubwa na macho yako hayatakuwa na mzani mzuri wa kupimia uzuri wa mwanamke.

Macho ya kijana huweza kuona kwa usahihi mwanamke mzuri kuanzia ukiwa na Miaka 30 hivi na kama utakuwa huendeshwi na hisia sana basi kuanzia miaka 25.

Sio ajabu wanaume wengi wakikutana na wadada waliowaona wakali Kipindi wanasoma sekondari hushangaa kuwakna wamekuwa wabovu na hawana ule uzuri waliokuwa wanauona.

Uchunguzi huu unaleta matokeo kuwa vijana wengi waliooa wakiwa na chini ya miaka 25 huanza kuwaona Wake zao sio wazuri na kuwachukia wakifika 30+.

Nasisitiza, vijana; kama upo below 25 alafu wanawake wanakukatalia shukuru Mungu Sana kwa sababu ukifika 30 siku ukioa utagundua Mkeo ambaye ni age mate na wale mademu waliokukatalia amewaacha mbali Mno kwa uzuri.

Be honourable
 
Mademu niliyo soma nao wote kwa sasa ni mashangazi yaliyo changamka hayana jipya.
 
Kwema Wakuu!

Kijana ambaye upo 17-25 hawa wanawake wanaokusumbua Muda huu na kukatalia kuwa hawakutaki. Baada ya Miaka kumi ijayo utakapopata Mkeo utagundua kuwa wanawake waliokukatalia hawakuwa wazuri kiasi hicho isipokuwa ni balehe na nyege ndio zilizokuwa zinakuendesha.

Kwa Sisi kaka zenu tunaushahidi na Jambo hili.
Wale wanawake waliotusumbua tukiwa miaka 15-25 tukikutana nao sasa hivi tunamshukuru Mungu kwa wao kutukatalia na wale waliotukubalia tunamshukuru hatukuwaoa.

Mwanamke mzuri huwezi Mjua wakati ukiwa unabalehe au upo under 25 kwani utakuwa unaendeshwa na nyege kwa sehemu kubwa na macho yako hayatakuwa na mzani mzuri wa kupimia uzuri wa mwanamke.

Macho ya kijana huweza kuona kwa usahihi mwanamke mzuri kuanzia ukiwa na Miaka 30 hivi na kama utakuwa huendeshwi na hisia sana basi kuanzia miaka 25.

Sio ajabu wanaume wengi wakikutana na wadada waliowaona wakali Kipindi wanasoma sekondari hushangaa kuwakna wamekuwa wabovu na hawana ule uzuri waliokuwa wanauona.

Uchunguzi huu unaleta matokeo kuwa vijana wengi waliooa wakiwa na chini ya miaka 25 huanza kuwaona Wake zao sio wazuri na kuwachukia wakifika 30+.

Nasisitiza, vijana; kama upo below 25 alafu wanawake wanakukatalia shukuru Mungu Sana kwa sababu ukifika 30 siku ukioa utagundua Mkeo ambaye ni age mate na wale mademu waliokukatalia amewaacha mbali Mno kwa uzuri.

Be honourable
Uko sahihi. Na namshukuru Mungu kweli maana nayempenda sasa ana moyo wa pekee, mweupe na mzuri sana kuliko wanawake niliowapenda kweli na kuwa mwaminifu kwao.
 
Mademu niliyo soma nao wote kwa sasa ni mashangazi yaliyo changamka hayana jipya.
Wanawake wanawahi kuzeeka haraka kuna mdogo wangu wa 86 sasa hivi kichwani ana mvi hadi nimeshtuka ndio maana wanakomaa kuweka mawigi
 
Huwa naamini, walipita kunipa experience na exposure
 
Back
Top Bottom