99% ya Wazanzibar ni washika dini, kila mtaa kuna nyumba ya ibada, utiriri wa walevi, mateja, malaya na mashoga!

Hakuna sensa rasmi ya mashoga, lakini kila mtaa Unguja una utiriri wa hao watu, wakiishi kwa raha zote na jamii ya kizanzibar imewaelewa na kuwachukulia poa tu na maisha yao.
Mapenzi na Ndoa za Jinsia Moja limekuwa tatizo katika nchi zote hapa duniani kwa sasa, hakuna nchi hata moja ambayo imesalimika na suala hili kwa sasa. Ni suala la muda tu, yatupasa kujiandaa kisaikolojia. Whether you like it or not.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daaah!

Ukikamatwa ukaulizwa haya tuonyeshe huyo raisi na ushahid?

Tuwe na akiba jamani
 
Tanganyika nchi takatifu haina mashoga ,walevi,malaya hakuna madawa ya kulevya kiufupi Tanganyika ni Vatican ndogo
 
Unakerera wewe na darcity pamoja na MoseKing
Kumbe! 😳

Sina shida na mtu,watu au jamii Fulani...ila tabia za kukashifu,kutukana aidha Imani,itikadi za kisiasa na dini za wengine ndio huwa sifurahishwi nazo. Bahati mbaya baadhi ya jamii ya watu wa kwenu huwa nazo. Ataanzisha thread au comments yenye mlengo huo kisha akitumia multiple Ids zenye kujifanya au majina ya mahalo kama vile bagamoyo ,Filosofia ya Rorya ,Rufiji dam ,@R,Rufiji ,Mmawia Zanzibar-ASP
 
Ila kuna tofauti moja kwamba hakuna taifa lolote la kiislamu lililohalalisha vitendo hivi ila nchi zote za magharibi ikiwemo papa na vatican imehalalisha vitendo hivi hapo ndio uone utofauti wa dini ya mwenyezi mungu na dini ya mzungu
 
Makubwa
 
haina shida...mbna umekasirika mpaka mitusi,....... kuona ukweli kuwa wanaobadili wengi ni upande upi
 
Wakati wa uamsho tulichoma makanisa 8, kuua padri na kumwagia tindikali wale raia wa USA!
Siku tukaenda kuvunja bar ya CCM tukanywa bia sana tulilewa kweli kweli, ila kwa Raju hatukuvamia.
Siku tunajielewa wengine akina sheikh Farid walituingiza chaka.
 
Ktk kila wanaume 10 wa kizanzibari 7 wana matatizo (5 ni mashoga, 2 ni mateja).

Ndiyo maana hata yule afande mzanzibati mwenye cheo kikubwa kabisa polisi alijirekodi akipakiwa
Bara haujajibu swali.wazanzibar wapo wangapi na mashoga wapo wangapi
 
Hakuna sensa rasmi ya mashoga, lakini kila mtaa Unguja una utiriri wa hao watu, wakiishi kwa raha zote na jamii ya kizanzibar imewaelewa na kuwachukulia poa tu na maisha yao.
Huo utafiti wako umefanya mwenyewe au serikali?
 
Hakuna sensa rasmi ya mashoga, lakini kila mtaa Unguja una utiriri wa hao watu, wakiishi kwa raha zote na jamii ya kizanzibar imewaelewa na kuwachukulia poa tu na maisha yao.
Huu upumbavu mnaukuza,na tena mnazidi kuuchochea.kwanza shoga hana alama.wewe unawajuaje?hilo tatizo lipo. Ila SI KWA UKUBWA HUO MNAOUKUZA.
 
Vijinga vile vijamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…