99% ya Wazanzibar ni washika dini, kila mtaa kuna nyumba ya ibada, utiriri wa walevi, mateja, malaya na mashoga!

99% ya Wazanzibar ni washika dini, kila mtaa kuna nyumba ya ibada, utiriri wa walevi, mateja, malaya na mashoga!

Propaganda at its best

Jueni tu ya kwamba huyo mnayemtukana ndiye mtetezi wenu now and ever! Kwahiyo iko siku tu mtalia na kusaga meno iwe ni hapahapa duniani (na hii ndo itakuwa salama yenu) au baada ya kufa (na hii ni mbaya sana mola aepushie mbali)
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.

Una maana hata kizimkazi hayo ndiyo maisha?
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
😃😀
 
Mechi ya simba na wydad kupitia runinga kule morroco niliona dada mmoja kala tshirt yake moja nzuri imeandikwa merryChristmas nikashangaa eeh kumbe morroco hapana noma kabisa.
Ikanikumbusha miaka ya nyuma sana kwa mara ya kwanza kwenda zanzibar kumtembelea dogo alikuwa kule, mchana nikaingia madukani maeneo ya ngome kongwe sasa nikawa nimevaa tshirt ya ukwata si unajua lazima iwe na maandishi mgongoni ya kuonesha kifungu fulani na nukuu yake😅😅 ebwana eeh nikiulizia saa, kiatu nk sitajiwi bei kiufupi ushirikiano no.., Nikageuza ghetto jioni dogo katoka kazini nikamuuliza oyaa hivi maduka ya huku wanauza vitu kwa kujuana maana leo nilikuwa sokoni nikatoka bila bila, dogo akacheka akaniuliza ulienda na hiyo tshirt mjini? nikajibu ndio, akasema badilisha afu urudi town afu ukiingia dukani anza na "salama aleko "

Akasema huku ukiwa wa imani flani ukamiliki saluni, duka nk. Mtu atalipita duka lako, saluni yako ataenda km mbili mbele kupata huduma kwa mtu wa imani yake.
Ilikuwa zamani lkn sijui saivi labda mambo yako poa
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Ndiyo ujue wavaa kanzu ni wadini sn
 
Dini ile inalindwa kwa hofu. Waumini wengi hawajui wanachokifuata hivyo akija mtu wa kuwafungua anaweza kubadili upepo ndio maana wanapingwa.

Nakumbuka niliwahi kumpelekea injili mmoja akajifanya hajui kusoma na hasikii vizuri. Lengo ni asisikilize maana hajui kitu na amepigwa biti asisikilize vitu vipya asijekugeuzwa.
Baraza la Mapinduzi limejaa dini moja na wakati Zanzibar kuna wakristo kibao
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Zanzibar kuna dini ya kujionyesha ila hakuna imani. Nakumbuka siku moja nikiwa bar moja, waliingia mabinti wawili wamevaa mavazi ya kidini haswa. Baada ya mda kidogo yale mavazi yalivuliwa wakabaki na mavazi ya usiku na mmoja aliishia chumbani kwangu
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Wanahitaji wokovu, dini za torati hazisaidii kitu, watu wapo hekaluni na kondom kwenye wallet wanataka kuwahi zinaa.
 
Zanzibar-ASP ni Mangi wa Bavicha CDM kama walivyo Mmawia Rufiji dam,Filosofia ya Rorya,Azarel MK254 n.k mada zao zimejaa udini na chuki za kisiasa.

Wanajipa majina ya sehemu Ili wafiche uhalisia wao ingawa hili limewashinda
Hao wachaga kwa chuki dhidi ya waislamu tangu wanazaliwa ,wanajiona wazungu ila wtambue wazungu hawana meno ya kuoza .

Ukiwaangalia wao ndio matapeli wakubwa ,walevi ,wezi ,mashoga haswa yupe aliyabili jinsia kibao na wapo kibao.
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
kinachowasumbua ujinga, wengi hasa Pemba bado wajinga sana. Wengi wakipata elimu wataacha huo upumbavu. Waliowapelekea hiyo dini wameshaachana na huo ujinga wao. Umaskini na ujinga ni sababu ya misimamo mikali ya dini.
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Mkakati wa wakiristo kutoka bar kwa Zanzibar
1. Kujenga mabaa kwa wingi
2. Kujenga makanisa kila mtaa
MKAKATI WA WAZUNGU WAKIRISTO
1. Kuwa na mkakati kueneza ushoga
2. Kuharibu mila za Zanzibar

KUPAMBA NA HAYO
2. Mkakati wa Serekali
1. Kuhakikisha vitendo vinakoma
Mkakati wa masheikh
Kuwapa waumini wao athari ya pombe na uzunifu

3.Mkakati wa wanaharakati wa Kiislamu
Kupambana kisheria kuhakikisha haya mambo yanafanikiwa na kufungwa baa zote.

Ijumaa lkareem
Ukhti Malaaria 2
Mpenda haki na mtetezi wa wanyonge
 
Uislam maana yake absolute submission kwa Allah na Pacha wake Muhammad na sio vinginevyo. Muislam siku zote yeye ndiye mwenye haki na anaye onewa ila sio mtu wa Imani nyingine.

Wao wanaruhusiwa kubadili makanisa kuwa misikiti ila sio vice versa eg(Hagia Sofia) lilopo Istanbul pamoja na makanisa mengine kibao ya kale. Waislam wanafundishwa chuki dhidi ya wakristo na wayahudi toka wakiwa waogope (madrasa) na kwamba wao na dini yap pekee ndiyo wenye haki.

[Qur’an 5:51] O you who believe, do not take certain Jews and Christians as friends; these are friends of one another. Those among you who ally themselves with these belong with them. God does not guide the transgressors.

Sahih Bukhari (2922)-The last hour would not come unless the Muslims will fight against the Jews and the Muslims would kill them until the Jews would hide themselves behind a stone or a tree and a stone or a tree would say: Muslim, or the servant of Allah, there is a Jew behind me; come and kill him; but the tree Gharqad would not say, for it is the tree of the Jews.
 
Back
Top Bottom