A 380 at Julius Nyerere International Airport

A 380 at Julius Nyerere International Airport

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Kuna mkenya alibisha kuwa haiwezi kutua😀😀 Engineer fake upo ?? Haibu kwenu wakenya.Check out @WizaraUUM’s Tweet:

[HASHTAG]#JNIA[/HASHTAG],Airbus A380 ya kampuni ya Emirates yatua kwa dharura JNIA baada ya kushindwa kutua Mauritius kutokana na hali mbaya ya hewa.

Kukamilika kwa TB III jengo hilo linauwezo wa kuhudumia ndege kama hii ambayo inabeba takribani abiria 500 pamoja na wahudumu wa ndege.

Mwishoni mwa mwaka huu ndio linatakiwa kukamilika na kuanza kutumika ambapo mipango baada ya kukamilika ni kufanya ukarabati tb II ili litakapokamilika tb II itumike kwa abiria wa nchini na tb III iwe kwa ajili ya wasafiri wanokwenda nje ya nchi @TanzaniaAirport


Check out @WizaraUUM’s Tweet:
 
Tuliwaaambia a380 inatua shda ni airbridges ..ambazo soon zitakuwa t3
 
A380 can land,taxi and park in any airfield with appropriate length and size of runway,taxiway and apron of which many international airports are able to handle.
What becomes a challenge is the handling and servicing facilities at terminal gates. So an EK
A380 landing,taxiing and parking at a remote apron at JNIA and eventually taking off is no big deal!
 
hahahahahahahahahahahaha gotta love a poor country... kuja uone A380 ikiland hahahahaha does ATCL have any international routes yet?
hahahahahahahaha and it was an Emergency stop
191be5ab212d00bb6407b0e88a66ca4123ec7178_00.jpg
 

Simple,because JNIA is an ALTERNATIVE AIRFIELD to Port Louis,Mauritius! In emergencies like this one,ICAO has designated every airport with its alternative just in case a quick detour is necessary before scheduled destination.
Just the way KIA in Arusha is designated as the priority alternative to JKIA.

Learn something!
 
Back
Top Bottom