A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kuwahi kustaarabika ndo utofauti wa akili sasa.....
Sidhani kama waafrika tuna akili tofauti na watu weupe au wazungu. Nachoona ni wenzetu waliwahi kustaarabika na kuendelea kabla yetu na waliweza kugundua vingi kabla yetu hivi hapo ndipo walipotuzidi.

Ila kama ubaguzi usipokuwepo kabisa duniani na mtoto wa kiafrika na kizungu akakuzwa katika mazingira sawa utakuta akili zao zinafanya kazi sawa. Mfano ni mashirika kama FBI ambapo kuna watu weupe na weusi na wote wanapiga mzigo sawa sema kutokana na ubaguzi mweupe atafanywa awe kiongozi wa mweusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio. Kumfanya mtu mwenzako mtumwa ni kitu kizuri kama kina maslahi mapana kwa taifa. It's the survival of the fittest.

Slavery was the necessary evil just like wars, na wazungu (ambao ndio wametuletea dini) walijua fika ya kuwa hili si suala jema lakini wakalazimika kulifanya kwa maana lilikuwa na maslahi makubwa kwa mataifa yao
Kwanza kabisa wazungu hawajatuletea dini. Tulikuwa na dini kabla hawajafika kwetu.

Pili, Waafrika hawakuwa na haja ya kwenda Ulaya kwa sababu waliridhika na neema nyingi za bara lao. Wakina Vasco da Gama wameondoka kwao kutafuta vitu ambavyo kwao havioti, wa Afrika hawakuwa na sababu ya kwenda Ulaya. Waliridhika na maisha yao.

Tatu, hizo habari za kumfanya mtu mwingine mtumwa zinaweza kuwa na manufaa kwa mtu mwenye akili fupi. Kwa kipindi kifupi. Maendeleo yanayotegemea utumwa ni maendeleo yasiyo sustainable. In the long run, jamii zilizoendekeza itumwa ama zilianguka (Rome) au ziliacha utumwa (Marekani).

Ndiyo maana watu wenye elimu wamepiga marufuku utumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini watu weusi walishindwa kuwa wa kwanza kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kwanini wazungu/waarabu waliweza kuwa wa kwanza kuwaza kuja kuwazoa babu zetu na kuwafanya bidhaa?

Waafrika tulikosa nyenzo gani za kutufanya kuwa wa kwanza kwenda Ughaibuni kisha kuwazoa wazungu kuja kufanya kazi za kitumwa katika mashamba yatu?

Je, hii inadhihirisha ya kuwa wazungu/waarabu wana kitu cha ziada kwenye akili/bongo zao (highly intelligent) tangia zama za kale mpaka wakawaza kuja Afrika kwa mara ya kwanza?

Je, kuna umuhimu wowote wa watu wa bara la Afrika kuendelea kulialia na kulalamikia biashara ya utumwa kama ni janga lililowarudisha nyuma kimaendeleo mpaka sasa?


NINAOMBA KUWASILISHA MADA HII FIKIRISHI. KARIBUNI SANA KWA MICHANGO YENU NDUGU ZANGU

Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher - JamiiForums

KUMBUKA: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.

Waafrika ni watu wenye utu, hekima na busara. Na kwaajili ya hayo tumepiga hatua kubwa, far more intelligent than pigs and other animals.

Hatukushindwa, kwasababu lukuki

Ardhi tunayo Teknolojia ya Kulima, Kujenga, Kutumia ardhi na pamoja na kurutubisha ardhi tunayo
Rasilimali tunayo madhaabu kede kede l, vyuma ndio usiseme, na vyote hivi tulijua kuvitumia, kwa biashara, dhahabu ilitumka kuoa, tulibadishana cheni hereni, yaani viwalo kweli kweli...viwanda hata kama tulikuwa tunazalisha vipuri vya kivita(ambayo na yo tunajua) mikuki panga mpaka viwanda vya marungu!

Wanawake, au wake wazuri tunawo
wenye hekima, wenye nguvu, wenye halaiki na utu na bila kuuliza...ujuzi wa mapenzi kitandani na mambo lukuki ya maisha.

Hao wazungu au waarabu ni watu makatili, wasioabudu mungu wote kafiir tu, yaani ni watu wa ajabu ajabu. Mtu mwenye akili au unavyodai "highIl intelligent" hawezi awe anaweza kuua, kulghai tena kwa dhambi kubwa ulimwenguni ya kumhusisha muumba!
Na kwasababu ya kulaaniwa kwao ndio kuliwapeleka, kutuvamia, kutaka kuzaa na wanawake wetu ili wawe nao na nguvu, akili, na uzuri usio na kifani!

Walitaka wawe na ujuzi na maarifa ya kuishi hapa mamaanisha civilization kama ya waafrika, kulima, kuwinda, biashara, vita na utabibu n.k

Kukosa utu, ni kukosa akili, kukosa akili kunakufanya uwe katili, kaafir na shetani mkubwa na kwa hayo yaliwapeleka kwa wazungu na waarabu yaani wanyama kama hao, kuleta unyama katika bara la Afrika.
Kuwa na wivu ndio waltaka wawe wanaishi kwenye nyumba kama zetu
zenye uwezo kushindana na dhoruba za duniani...mengi, mambo ni mengi

Mtuache basi lalama za nini kama sio ukorofi na kuleta taharuki?
 
Kama mlikuwa na dini zenu mbona sasa mmezitelekeza na kuanza kukumbatia dini zao?
Mimi sina dini zao. Waafrika wote si wamoja. Na Africa hakuna dini ya mzungu, kuna dini za kutoka Middle East.

Kwa maana hiyo, hata wazungu nao, kwa kuangalia hizo dini unazosema ni za wazungu, wanafuata dini za Middle East.

Ukristo haujatokea Ulaya kwa wazungu, umetokea Middle East.

Na Waafrika wengi wako kwenye dini si kwa imani, bali kwa "survival of the fittest" uliyoitaja. Psychilogical coping mechanism in a world full of uncertainty. Kama wanajua au hawajui.

Dini to them is a group that helps with Darwinian evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiisemee nafsi ya mtu. Tuoneshe documents za hiyo research yako ya kwamba waafrika wengi hawapo kwenye dini kwa imani?
Wangekuwa wanaamini hizo dini wasingeamini uchawi sana.

Ukweli kwamba Waafrika wengi walio kwenye hizo dini bado wanaenda kwa waganga wa kienyeji na wachawi unaonesha hawaziamini hizo dini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sina dini zao. Waafrika wote si wamoja. Na Africa hakuna dini ya mzungu, kuna dini za kutoka Middle East.

Kwa maana hiyo, hata wazungu nao, kwa kuangalia hizo dini unazosema ni za wazungu, wanafuata dini za Middle East.

Ukristo haujatokea Ulaya kwa wazungu, umetokea Middle East.

Na Waafrika wengi wako kwenye dini si kwa imani, bali kwa "survival of the fittest" uliyoitaja. Psychilogical coping mechanism in a world full of uncertainty. Kama wanajua au hawajui.

Dini to them is a group that helps with Darwinian evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usinitoe nje ya mada kuu please ninaona ndio lengo lako
 
Mkuu tunajibu ki-shabiki lakini swali lako la ki-falsafa sana, natamani nikujibu ila maelezo nimarefu sana.

Imagine phd holder wa kizungu yupo maabara anatafuta dawa ya COVID-19, Phd wa Tanzania yupo msitu wa pande anakata mizizi kujifukiza ili apone!

PHD Mzungu akigundua hiyo dawaa atauza dunia nzima, phd wa Tanzania akipona, hajui ni jani lipi limemponyesha, na hana cha kusaidia wengine!


Safi sana mkuu. Heshima kwako. Umeona tatzo linapoanzia. Wenzetu wanaamini Sana na kuwekeza katika PHYSICAL EFFORT (research & science) Sisi tunaamini Sana na kuwekeza katika IMAN (mitishamba, mizimu na maombi) bila research wala Sayansi.

Wenzetu wali-take risk kusafiri umbali mrefu mno from one continent to another ilmradi tu wpate sehem ya kuwekeza, sisi Sasa ....😆

Mfn mzuri, angalia approach ya wenzetu na sisi waafrica katika janga hili la corona utapata mwanga juu ya tofauti Kati yetu sisi waafrica na wenzetu.

Kuna kitabu nilikuwa nasoma juzi juzi, nafikiri kinaitwa SECRET OF SOLOMON TEMPLE. Mwandishi anasafiri kutoka nchi 1 hadi nyingine kufanya research ya kile anachotaka kuandika kabla hajakiandika, utaona picha 1 yuko ureno, nyinyine Yuko misri, nyingine yupo England yaani Hawa jamaa wanafanya kazi kweli kweli. Sisi waandishi wanaandika wamekaa ofisini kwenye meza kabisa wametulia
 
Back
Top Bottom