A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kuwahi kustaarabika ndo utofauti wa akili sasa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa wazungu hawajatuletea dini. Tulikuwa na dini kabla hawajafika kwetu.

Pili, Waafrika hawakuwa na haja ya kwenda Ulaya kwa sababu waliridhika na neema nyingi za bara lao. Wakina Vasco da Gama wameondoka kwao kutafuta vitu ambavyo kwao havioti, wa Afrika hawakuwa na sababu ya kwenda Ulaya. Waliridhika na maisha yao.

Tatu, hizo habari za kumfanya mtu mwingine mtumwa zinaweza kuwa na manufaa kwa mtu mwenye akili fupi. Kwa kipindi kifupi. Maendeleo yanayotegemea utumwa ni maendeleo yasiyo sustainable. In the long run, jamii zilizoendekeza itumwa ama zilianguka (Rome) au ziliacha utumwa (Marekani).

Ndiyo maana watu wenye elimu wamepiga marufuku utumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Waafrika ni watu wenye utu, hekima na busara. Na kwaajili ya hayo tumepiga hatua kubwa, far more intelligent than pigs and other animals.

Hatukushindwa, kwasababu lukuki

Ardhi tunayo Teknolojia ya Kulima, Kujenga, Kutumia ardhi na pamoja na kurutubisha ardhi tunayo
Rasilimali tunayo madhaabu kede kede l, vyuma ndio usiseme, na vyote hivi tulijua kuvitumia, kwa biashara, dhahabu ilitumka kuoa, tulibadishana cheni hereni, yaani viwalo kweli kweli...viwanda hata kama tulikuwa tunazalisha vipuri vya kivita(ambayo na yo tunajua) mikuki panga mpaka viwanda vya marungu!

Wanawake, au wake wazuri tunawo
wenye hekima, wenye nguvu, wenye halaiki na utu na bila kuuliza...ujuzi wa mapenzi kitandani na mambo lukuki ya maisha.

Hao wazungu au waarabu ni watu makatili, wasioabudu mungu wote kafiir tu, yaani ni watu wa ajabu ajabu. Mtu mwenye akili au unavyodai "highIl intelligent" hawezi awe anaweza kuua, kulghai tena kwa dhambi kubwa ulimwenguni ya kumhusisha muumba!
Na kwasababu ya kulaaniwa kwao ndio kuliwapeleka, kutuvamia, kutaka kuzaa na wanawake wetu ili wawe nao na nguvu, akili, na uzuri usio na kifani!

Walitaka wawe na ujuzi na maarifa ya kuishi hapa mamaanisha civilization kama ya waafrika, kulima, kuwinda, biashara, vita na utabibu n.k

Kukosa utu, ni kukosa akili, kukosa akili kunakufanya uwe katili, kaafir na shetani mkubwa na kwa hayo yaliwapeleka kwa wazungu na waarabu yaani wanyama kama hao, kuleta unyama katika bara la Afrika.
Kuwa na wivu ndio waltaka wawe wanaishi kwenye nyumba kama zetu
zenye uwezo kushindana na dhoruba za duniani...mengi, mambo ni mengi

Mtuache basi lalama za nini kama sio ukorofi na kuleta taharuki?
 
Kama mlikuwa na dini zenu mbona sasa mmezitelekeza na kuanza kukumbatia dini zao?
Mimi sina dini zao. Waafrika wote si wamoja. Na Africa hakuna dini ya mzungu, kuna dini za kutoka Middle East.

Kwa maana hiyo, hata wazungu nao, kwa kuangalia hizo dini unazosema ni za wazungu, wanafuata dini za Middle East.

Ukristo haujatokea Ulaya kwa wazungu, umetokea Middle East.

Na Waafrika wengi wako kwenye dini si kwa imani, bali kwa "survival of the fittest" uliyoitaja. Psychilogical coping mechanism in a world full of uncertainty. Kama wanajua au hawajui.

Dini to them is a group that helps with Darwinian evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiisemee nafsi ya mtu. Tuoneshe documents za hiyo research yako ya kwamba waafrika wengi hawapo kwenye dini kwa imani?
Wangekuwa wanaamini hizo dini wasingeamini uchawi sana.

Ukweli kwamba Waafrika wengi walio kwenye hizo dini bado wanaenda kwa waganga wa kienyeji na wachawi unaonesha hawaziamini hizo dini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinitoe nje ya mada kuu please ninaona ndio lengo lako
 


Safi sana mkuu. Heshima kwako. Umeona tatzo linapoanzia. Wenzetu wanaamini Sana na kuwekeza katika PHYSICAL EFFORT (research & science) Sisi tunaamini Sana na kuwekeza katika IMAN (mitishamba, mizimu na maombi) bila research wala Sayansi.

Wenzetu wali-take risk kusafiri umbali mrefu mno from one continent to another ilmradi tu wpate sehem ya kuwekeza, sisi Sasa ....😆

Mfn mzuri, angalia approach ya wenzetu na sisi waafrica katika janga hili la corona utapata mwanga juu ya tofauti Kati yetu sisi waafrica na wenzetu.

Kuna kitabu nilikuwa nasoma juzi juzi, nafikiri kinaitwa SECRET OF SOLOMON TEMPLE. Mwandishi anasafiri kutoka nchi 1 hadi nyingine kufanya research ya kile anachotaka kuandika kabla hajakiandika, utaona picha 1 yuko ureno, nyinyine Yuko misri, nyingine yupo England yaani Hawa jamaa wanafanya kazi kweli kweli. Sisi waandishi wanaandika wamekaa ofisini kwenye meza kabisa wametulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…