A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?



Kwa kiasi fulani uko sahihi, lkn swali linakuja, HADI SASA HATUNA MATATIZO YA KUTUFANYA TUTOKE NJE YA BOKSI KUFIKIRIA ZAIDI?? mtu anapata matatizo, badala atafute suruhusho anakimbilia kuombewa au kwa waganga au NASEMA NAMWACHIA MUNGU YEYE NDO ANAUEPANGA KILA KITU
 
 
natanguliza samahani mkuu.. dini zimeingiaje Africa??...
 
Duniani kuna race nyingi sana sielewi kwa nini tunapenda linganisha mwafrika na mzungu kila wakati. Historia inaonyesha mwenye nguvu humtawala mnyonge. Hata wazungu wameshawahi kuwa watumwa kule dola ya warumi na kwa waarabu. Hata wayahudi walishawahi kuwa watumwa wa Misri na kule babylon (PERSIA). Hivo hivo kwa wahindi. Wazungu wamezizidi maendeleo race zote kuanzia wachina, wahindi, waarabu, etc ila naona kila mtu anawalinganisha na waafrika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africans ni watu wenye wivu,chuki,roho mbaya,uchoyo,unafki na wasiopenda maendeleo ya wengine pia wanataka wote muwe sawasawa...
Au Kuna mtu anajiita parabola nenda kaone walichomfanyia...

jibu ni rahisi sana ujinga.....

Reverse psycology. Full of inuendos and malice.
Aibu tupu kwa mtu kama wewe. Tunajua mmetumwa. I can guarantee you will never succeed.
 
Reverse psycology. Full of inuendos and malice.
Aibu tupu kwa mtu kama wewe. Tunajua mmetumwa. I can guarantee you will never succeed.
..samahani mkuu sijakuelewa... unaweza ukanifafanulia zaidi nini unataka kumaanisha?.
 
natanguliza samahani mkuu.. dini zimeingiaje Africa??...
Sasa nikujibu ili iweje?
Kama unavyodai kuwa unawajua waafrika na nyendo zao, na hayo uliyodai juu, uwezo wa kujua hizo dini zimeingiaje unao. Peleka ubwetekaji kwa mnaojuana kwa vilemba. In short, Majibu unayo
 
Sasa nikujibu ili iweje?
Kama unavyodai kuwa unawajua waafrika na nyendo zao, na hayo uliyodai juu, uwezo wa kujua hizo dini zimeingiaje unao. Peleka ubwetekaji kwa mnaojuana kwa vilemba. In short, Majibu unayo
unaenda nje ya mada mkuu...umesema waarabu na wazungu ni makafir...sasa nimekuuliza unajua dini zimeingiaje Africa?...maana hao unaowaita makafiri ndio wenye dini zao...au wewe sio mwafrica??. alafu nakuomba uwe unajibu kwa hoja na sio mihemko pia ufocus kwenye mada hayo mengine siyajui.....
 
Nafikiri waafrika wakati huo hawakuwa na malengo ya namna hiyo!
Shughuli zao zilitosha kujikimu ila pia ni wazi kuwa wazungu walikuwa mbele zaidi yetu!..
Ufinyu wa mawazo ya mzungu kwa wakati ule uliona ni sahihi kuutumia ujinga wa mwafrika kujinufaisha!
Hii inazihirisha walikuwa kimkakati na walituzidi kimaarifa maana hata nguvu yetu ya kujitetea ilikuja kupambazuka zaidi baada ya mwafrika huyohuyo kuelimika kwa kutumia elimu ya mkoloni!..

Wasomi kama kina Julius nyerere ndio walikuja kupambazuka na kupigania uhuru wa mwafrika!.. hi haimaanishi kuwa hapo kabla walikuwa hawapiganii Uhuru no ila baada ya kupata elimu ndio kulileta mwanga zaidi..

Hata kama tulikuwa na mambo yetu lkn still mzungu alikuwa juu yetu kiteknolojia n.k
So ingekuwa tabu sana kwa mwafrika kumfanya mtumwa mzungu
 
Mazingira yetu yalikuwa toshelevu kwa wakati..hatuhtaji chochote kutoka njee
 
Alie kutangulia ndo yuko mbele , kama hakubweteka atabaki kuwa mbele daima .
Wakati sisi Afrika leo tunaamka kujadili hali zetu, wazungu wao wamesha songa mbele zaidi kudhibiti mawazo yetu.
Ukilijua hilo ndo utakapojua baini kuwa umri wa baba yako huwezi kuupita kamwe.
Najaribu kujiuliza katika Afrika ,ni nchi ipi iko tofauti na nyingine?
mbona zote zinafanana fanana? hasa hizi za Kusini mwa jangwa la sahara ndio majanga kabisa.

Nikirudi kwenye mada ,si rahisi mtu mwenye upeo mdogo ki elimu na kutawala na kimaisha kumfanya mtumwa mtu mwenye upeo mkubwa.
Wzungu kutokana na kupambana na shida zao kule ulaya kuliwapa upeo wa maarifa na uhitaji wa kutoka ili kutafuta means za kujikimu na kujiendeleza kiuchumi, na hatimae walipotukuta sisi ni PRIMITIVE kwa viwango vya uelewa wao ulivyo kuwa juu ,waliamua kutusweka utumwani na kututawala kabisa hadi leo.
Ujuzii wetu wa zana za kivita,na upeo wa kiutawala ulitufanya tushindwe mapambano.
lakini Usaliti, Ujinga wetu,na kurubuniwa kirahisi kwa kuhongwa na mabeberu.Hii ndiyo imekuwa SILKA yetu ya kudumu na pia ni silaha bora anayoitumia Mzunngu kila uchao.(divide and rule)

Usaliti wa wenyewe kwa wenyewe ndio ilikuwa silaha ya mzungu kuwatumia baadhi ya ndugu zetu kua watumishi wake na askari wake dhidi ya Mkwawa,na wapambanaji wengine nchini akina Abushiri, kimweri na isike.

Watumwa wengi waliuzwa na Machifu wa Kiafrika kwa wazungu na Waarabu, Hali hii ilionesha kinna cha Ujahili wetu ,na hali hii hadi leo bado tunayo waafrika.
Namkumbuka Mzee Ghadafi wakati anamalizwa na wazungu,Waafrika wote tuliufyata kimyaaaa
na badhi ya Walibya wenzake ndio waliotumika kufanikisha zoezi lile.
VERY SAD
THE LIONS OF AFRICA ARE GONE, who will rule the JUNGLE now?
 
Hili ndilo jibu sasa....mengne yote mnaruka ruka tuu...

Nami naongezea ....mtoa mada anatafuta source ya weupe kuwa chap kuliko sis wa huku weus..ishu ni mazingira tuu.ugumu wa mazingira.sis hal za hewa zetu znatufanya tu practice mambo kirahis tuu.mwkaa mzima unaweza lima.matunda mboga mboga yanajiotea.mvua za kutosha..hata nguo za kuvaa kwetu zilikua za ziada tuu..kule huwez ishi bila kujifunika sbab ya barid nakadhalika kadhalika so walitumia akili za ziada ku survive...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika tuliridhika na nchi zetu, maeneo makubwa, mpaka leo, hatuna shida ya maeneo...maeneo ya kulima, kufuga na kuwinda wanyama...

Ardhi ya kuishi bila kubanana ndiyo iliyowafanya beberu waanze kutafuta maeneo mbadala...
Walikuwa wamebanana mno! Walizaliana kama sungura..

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…