A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Tatizo munasoma history ya darasani tu na kuona inatosha.
Kwanza kufanya mtu mtumwa haimaanishi ndo unaakili
Tumejenga pyramids kabla hata hatujawatumikisha waisrael kutoka Misri. Inamaana kabla ya kizazi cha yakobo.. waafrika tulishaweza kujenga pyramids of egypt.

Wazungu kukutana na waafrika sio suala la karene ya 15 (hii ni historia mbovu ya darasani)

Utawala wa kwanza Afrika ulikua wa mgiriki kabla ya kuzaliwa yesu... utawala uliofuata ulikua wa italy chini ya Kaisari na cleopatra na mwisho akaja mwarabu baadae baada ya yesu kuzaliwa ambapo tunaona watu kama kina Mansa Musa washaanza kukijenga chuo cha Timbuktu (chuo kikuu cha kwanza duniani) chuo ambacho kilianza kama madrasa kwa jengo moja
hadi majengo matatu makubwa.


Kingine... afrika tulishazunguka dunia nzima kama wazungu hawajaanza kutembea majini... Search Mandingo from mali
Mandingo walifika America kabla ya Christopha Columbas... kabla ya vasco dagama.
Mandingo wamefanya operation kwa kutumia misuli ya wanyama kama nyuzi


Rejea kwenye historia... mji wa kwanza na mtawala wa kwanza duniani anaitwa Nimrod.. nimrod alikua mweusi na ndiye mtawala wa kwanza wa sehem iliyoitwa Babeli... nimrod ni mweusi kwakua baba yake alikua ni Kush.. kush means black


kuna mambo mengi sana
ila waafrica au watu weusi tulishastaarabika..tulikua na akili... tulimiliki dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ehee ,hapo hapo, sasa ule uweledi wetu umepotelea wapi?
mbona tumekuwa hivi sasa?
Kama mazombi u misukule?
kazi yetu kuomba na kusubiria wazungu kila kitu?
 
Huwa nasimama katika hili, waafrika tuna eidha mapungufu au laana na laana mojawapo tuliyobarikiwa ni kuwa na CCM
Si kweli kuwa tunalaana bali ni baraka za muumba sisi waafrika ndio binadam original kwahiyo tuna asili ya tabia za kiungu ukifuatilia historia ya kweli ya mtu mweusi utatambua hilo ndo maana pamoja na kutufanyia mambo mabaya bado tunaishi nao na hatuna vinyongo wala visasi tuli4give na Ku4get Kama maamrisho ya mwnyz mungu yalivosema..wazungu wamefanya hila na kuuharibu utamaduni,mila.na desturi zetu na kupandikiza mambo yao ya uovu ukifuatilia mambo yoote mabaya yameanzia huko wamefuta mpk historia halisi ya mtu mweus je unafahamu historia halisi ya mtu mweupe?na kwanini wazungu wanakazana kumkandamiza mtu mweusi ilhali MTU mweusi hana hata wazo la kumfitini mtu mweupe?hakika watafanya yoote na hawatashinda mwisho wa siku muafrika atachukua kiti chake cha enzi..take care
 
Ehee ,hapo hapo, sasa ule uweledi wetu umepotelea wapi?
mbona tumekuwa hivi sasa?
Kama mazombi u misukule?
kazi yetu kuomba na kusubiria wazungu kila kitu?
Ueledi umepotea kutokana na hila na njama walizofanya kutokana na sisi kuwaamini wakatake advantage na kutukandamiza wakisema kila kitu chetu ni cha kishenzi vyakwao ni bora leo hii mtu ukienda kutambika ktk mizimu yako unaonekana mshirikina ila ukienda kutambika israel au saudia kwenye mizimu yao unaitwa mtakatifu wake up bro..wake up and live
 
Najua umenitega
lakini potelea mbali narekebisha kidoogo uoni wako.
Kuna vitu vingine vya kwetu ni kweli ni vibaya ,na havina tija yoyote na vinakwaza maendeleo yetu,hasa kwa vile vinatumika kimakosa.
Wazungu leo duniani wamefungua vyuo vya kujifunzia uchawi ,na wanautumia kwa maslahi kama ya kiuchumi,biashara,kivita na kiupelelezi. Hapa ndipo sisi tulipo miss point. Huku kwetu tunatumia uchawi kuulia watu tusio wapenda,au kuwaadhibu watu innocent na kujijengea jina kwa watu ili wakuogope.
Unaona tofauti ,sio kutambik tuu,bali kuwepo na halisia wa manufaa makubwa.

Sasa ile habari ya Kule Jerusalem na Makka ,hii si mizimu wala matambiko, Yale ni maaeneo aliyoyachagua Mungu mwenyewe ili wale wanaotaka matambiko ya ukweli na uhakika waende pale kwa Mungu na kumsemeza shida zao.

Na kwa vile Mungu ana wivu amewakatezeni kutambika mitaani kwenye vinyamkela,kwani huko kuna shetani,labda uniambie wewe kuwa umefanya shirika naye huyo shetani.Pole sana.

Si kila chetu ni cha kishenzi, kweli wali 'take advantage' lakini kutokana na kulala kwetu na ujinga wetu, hadi leo bado tuko USINGIZINI?
LINI TUTAAMKA NA KUJITAMBUA?
 
Swali muhimu ni hili: Kwa nini mtu mweusi ni duni popote alipo duniani? Nenda mabara yote nchi zote ulimwenguni ambapo utakuta mtu mweusi akiwa na wa rangi nyingine, lazima mtu mweusi ndiyo utamkuta duni hata kama weusi ni majority.
Hapa bongo tu waswahili tunaonekana wazi kuwa tuko duni kuliko wahindi na waarabu tulionao kama raia wenzetu. Nenda Gongolamboto, Tandale na sehemu nyingine za aina hiyo kama utakuta wahindi wanaoishi huko. Umeshawahi kuona waarabu na wahindi wetu hapa wakifanya kazi za mgambo, kibega Kariakoo na Bandarini, au hata machinga? South Africa ambako weusi ni majority na sasa hivi ndio watawala kwa zaidi ya miaka 20 lakini bado wako duni kuliko wazungu wachache. Nenda India, Australia, Marekani kote kilio ni mtu mweusi kuonewa. Huu weusi una shida gani?
 
Hadi imefikia kuwa weusi ni tusi. Marekani ukimwita mtu mweusi 'nigger' ambayo tafsiri yake ni 'mweusi' utazua ugomvi kama vile umemtukanaje sijui. Lakini mweupe anafurahia sana kuitwa white, na hata kuna weusi wanapenda waonekane au kutambulika kuwa ni weupe, na ukimwita 'mzungu' anafurahi kupita kiasi!
Jitu ukilisifia "huyu mzungu bwana" linakenua hadi basi, kufurahia sifa ya kuitwa mzungu. Ukimwambia ana mambo ya kiafrika anakasirika sana!
 

kwanini wakuzwe kwenye mazingira sawa? na mazingira sawa ni yapi? au mazigira aliyoyatengeneza mtu mweupe?

Watu weusi hatwishi kulialia, tunataka watu weupe wa tutreat sawa na wao hali ya kuwa kila kitu walichonacho wamejitengenezea wenyewe sisi tunataka tule unyunyu wa bure tu.
 
Bila kujua umeunga mkono hoja la mleta uzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahha.dah.bitter truth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada ishajadiliwa sana humu.

Jibu ni rahisi tu, waafrika Baraka yetu ndo laana yetu. Tulibarikiwa mazingira rafiki sana kiasi cha kubweteka na kutofikirisha ubongo wakati mazingira ya mizungu yalikua na changamoto nyingi ili kusurvive ilibidi watumie bongo kuishi kizazi hata kizazi. Hali hii inaendelea hadi leo. There's more to that sentence Ila naamini you get the idea.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is deep...ujue watu wanahis hii dunia ni ya leo..hii dunia si ya leo.na ni tofaut snaa kama tunavoaminishwa kwwnye vitabu...kiumbe mweus ndio kiumbwe wa kwanza kutawala dunia..yan at a time huko zaman..mweus ndiye alikua kama sasa hiv mweupe...tuliwatawala pia...ila sbabu white ni dominant gene ..ngoz nyeus inaelekea ku extinct kama walivopotea dinnasaur..kama wanavyo potea now vifaru.tembo..hawa ni wanyama ancient..wa zaman zaid....so ndomana ngoz nyeus tii ile asili inapatikana sehem ndogo sana dunian.chin ya jangwa ka sahara..tena ni sehem ndogo..ita reach a point watapotea kabisa.kutakua na ma point 5 tuu nao badae watazaliana na weupe nao watapotea mazima so dunia itakua na whites only...na jua na joto litakua kal snaa sbabu ya uharibifu wa mazingira..weupe sabab wana melanin hafif watakua wanakufa kwa cancer na jua na joto.badae miili yao naturaly itaanza adopt na kutengeneza tena melanin so weus wataanza ibuka tena.ila sabab joto litakua kal snaa viumbe vitakua vinakufa .hakuna mimea inayoota no majiz no hewa,..so dunia itafika mwisho kama zilivyo zile sayar za kwanza zenye joto kali.mars..na maisha yatahamia sayar inayofuata na binadam ambao wamesurvive kwenye dunia na tecnolojia ya juu watahamia the next planet.kama walivokuja dunian..zile pyramids zilikua ni droping points za spaceships.na ndio wanadam walivohamia sayar earth from mars(hii ni conspiracy lakin)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzunguko huo

kingine binadam wanaamini sisi wa kizazi hiki ndio tunaakili[emoji38][emoji38][emoji38] watu walikua na akili wakajenga pyramids
kwenye pyramids kuna michoro ya viti vinafanana na helicopter... michoro ipo kabla yesu hajazaliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe ndio umetoa jibu la kueleweka watu wanawakuza sana wazungu.

Wakumbushe pia General Hannibal yule black wa Numidia, aliitawala mpaka hispania na aliteka mpka Alps kwa kudefeat majeshi ya Roman Empire akitokea ilipo Tunisia ya leo.

Pia anasahau Moors wa Algeria waliwahi chukua watumwa kutoka uturuki na kuwapekeka huko kufanyishwa kazi. Wanawake walichukuliwa for sex slavery!!

Hta wanasahau 25th dynasty ile ya weusi wa Nubia/ sudan ya leo iliotawala misri chini ya kina pharaoh Thutmose ilistretch utawala ma kuchukua watumwa mpka Asia minor.

Mifano ni mingi sana ila watu wanarejea ya historia ya mzungu tunaofundishwa Form 3B!!

Niwakumbushe tu hta hao wazungu wamewahi kuwa koloni kwa Waarabu wa Ottoman empire na Mongolian Empire. Waliwakuta wazungu wengi tu huko eastern europe washamba hta wanajisaidia kokote tu!! Wakawateka kiulaini na kuwatawala. Na kama sio kifo cha Suleiman ama Genghis Khan historia ingekua tofauti sana.

Naomba kuwasilisha

Cc Infantry Soldier
 
Kipindi hicho akili ya maarifa hayo hakuna mtu mweusi aliweza kuwa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…