anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 640
Tatizo munasoma history ya darasani tu na kuona inatosha.
Kwanza kufanya mtu mtumwa haimaanishi ndo unaakili
Tumejenga pyramids kabla hata hatujawatumikisha waisrael kutoka Misri. Inamaana kabla ya kizazi cha yakobo.. waafrika tulishaweza kujenga pyramids of egypt.
Wazungu kukutana na waafrika sio suala la karene ya 15 (hii ni historia mbovu ya darasani)
Utawala wa kwanza Afrika ulikua wa mgiriki kabla ya kuzaliwa yesu... utawala uliofuata ulikua wa italy chini ya Kaisari na cleopatra na mwisho akaja mwarabu baadae baada ya yesu kuzaliwa ambapo tunaona watu kama kina Mansa Musa washaanza kukijenga chuo cha Timbuktu (chuo kikuu cha kwanza duniani) chuo ambacho kilianza kama madrasa kwa jengo moja
hadi majengo matatu makubwa.
Kingine... afrika tulishazunguka dunia nzima kama wazungu hawajaanza kutembea majini... Search Mandingo from mali
Mandingo walifika America kabla ya Christopha Columbas... kabla ya vasco dagama.
Mandingo wamefanya operation kwa kutumia misuli ya wanyama kama nyuzi
Rejea kwenye historia... mji wa kwanza na mtawala wa kwanza duniani anaitwa Nimrod.. nimrod alikua mweusi na ndiye mtawala wa kwanza wa sehem iliyoitwa Babeli... nimrod ni mweusi kwakua baba yake alikua ni Kush.. kush means black
kuna mambo mengi sana
ila waafrica au watu weusi tulishastaarabika..tulikua na akili... tulimiliki dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kufanya mtu mtumwa haimaanishi ndo unaakili
Tumejenga pyramids kabla hata hatujawatumikisha waisrael kutoka Misri. Inamaana kabla ya kizazi cha yakobo.. waafrika tulishaweza kujenga pyramids of egypt.
Wazungu kukutana na waafrika sio suala la karene ya 15 (hii ni historia mbovu ya darasani)
Utawala wa kwanza Afrika ulikua wa mgiriki kabla ya kuzaliwa yesu... utawala uliofuata ulikua wa italy chini ya Kaisari na cleopatra na mwisho akaja mwarabu baadae baada ya yesu kuzaliwa ambapo tunaona watu kama kina Mansa Musa washaanza kukijenga chuo cha Timbuktu (chuo kikuu cha kwanza duniani) chuo ambacho kilianza kama madrasa kwa jengo moja
hadi majengo matatu makubwa.
Kingine... afrika tulishazunguka dunia nzima kama wazungu hawajaanza kutembea majini... Search Mandingo from mali
Mandingo walifika America kabla ya Christopha Columbas... kabla ya vasco dagama.
Mandingo wamefanya operation kwa kutumia misuli ya wanyama kama nyuzi
Rejea kwenye historia... mji wa kwanza na mtawala wa kwanza duniani anaitwa Nimrod.. nimrod alikua mweusi na ndiye mtawala wa kwanza wa sehem iliyoitwa Babeli... nimrod ni mweusi kwakua baba yake alikua ni Kush.. kush means black
kuna mambo mengi sana
ila waafrica au watu weusi tulishastaarabika..tulikua na akili... tulimiliki dunia
Sent using Jamii Forums mobile app