Egypt iliyowapokea na kuwatumikisha wayahudi haikuwa ya weusi.
Inventions nyingi zilizofanywa Afrika hazikufanywa na weusi, hata hizi unazosikia geometry na algebra kugunduliwa north Africa, hawakuwa weusi wale! Ni waarabu hawahawa tunaowaona leo wa Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria, na hawa wa Egypt walisonga wakasogea hapo Sudan ambako hawaivi na weusi, unaona hata sasa nchi imegawanywa weusi wakabakia kusini. Ethiopians hawajikubali kama waafrika, actually wako Afrika kijiografia tu lakini hawapendi unasaba na weusi, na hiki ndicho chanzo cha mapinduzi ya Ethiopia yaliyomwondoa Mfalme Haile Selassie, ambapo Col Mengistu Haile Mariam alitoka jamii ya watu weusi waliokuwa wananyanyaswa Ethiopia na ndio waliokuwa wanapewa kazi za ulinzi, akatumia fursa hiyo kumpindua mfalme. Chanzo cha Eritrea kujitenga na Ethiopia ni hichohicho, kila anayejiona mweupe zaidi anajihesabia haki zaidi dhidi ya anayeonekana mweusi zaidi. Wasomali wanapenda kujitambulisha kama wasomali, hawapendi uafrika! Kwahiyo waafrika weusi ndio wanaotengwa, na sifa yoyote nzuri inayozungumzwa kwa jambo lililofanikiwa Afrika siyo ya hawa weusi!