Toyota Rumio. Wakenya bhana..mlichoweza nyie ni kuweka jina na ngao tu.
View attachment 1153418
Jinga kabisa wewe .Sasa ukisema hivyo si ni kumaanisha Wataliani wamechukua Toyota Land cruiser ama Land Rover Defender na kuweka nembo na jina tu kwa Iveco Massif pia?Toyota Rumio. Wakenya bhana..mlichoweza nyie ni kuweka jina na ngao tu.
View attachment 1153418
Ww unaonaje..Kwa akili yako maji maji hizi gari mbili zinafanana!!!
Mr Mtui wacha mchezo. Hii ya Kenya ni SUV. Toyota Rumia nimeiona mara ya kwanza hapa leo na ina sura mbaya ajabu. Hata sio SUV. Hebu angalia ground clearance ya Rumio kisha ulinganishe na Mobius. Tena angalia size ya tairi ya Mobius kisha utazame jinsi Rumio kana katairi kadogo kama ya vitz. Hata hio Rumio niko sure sio 4WD.Toyota Rumio. Wakenya bhana..mlichoweza nyie ni kuweka jina na ngao tu.
View attachment 1153418
Huo utofauti wa ground clearance ni ishu ndogo sana..but walicopy hapoMr Mtui wacha mchezo. Hii ya Kenya ni SUV. Toyota Rumia nimeiona mara ya kwanza hapa leo na ina sura mbaya ajabu. Hata sio SUV. Hebu angalia ground clearance ya Rumio kisha ulinganishe na Mobius. Tena angalia size ya tairi ya Mobius kisha utazame jinsi Rumio kana katairi kadogo kama ya vitz. Hata hio Rumio niko sure sio 4WD.
Unajua maana ya SUV ndugu ama unataka nikufunze? Rumio sio SUV bali Mobius ni SUV. Ni kama kulinganisha maembe na mapera. Haya magari yako katika category mbili tofauti. Linganisha Mobius na SUV zingine kama akina Rav4 au Landrover. Hapana linganisha simba na panya.Huo utofauti wa ground clearance ni ishu ndogo sana..but walicopy hapo
Jifunze kiswahili sahihi kwanzaUnajua maana ya SUV ndugu ama unataka nikufunze? Rumio sio SUV bali Mobius ni SUV. Ni kama kulinganisha maembe na mapera. Haya magari yako katika category mbili tofauti. Linganisha Mobius na SUV zingine kama akina Rav4 au Landrover. Hapana linganisha simba na panya.
Washenzi nyie,yunawlisha na ole wenu mngeanza kuwapiga watanzania spika wetu alisema tungeamkia nairobi,raisi wenu aliogopa kuamshwa na jwtz ikulu akaja kujikomba kwa bwana mkubwa wake,mungiki nyie
hata mimi nashangaaKwa akili yako maji maji hizi gari mbili zinafanana!!!