A day in the Buddhist college

Tulikuwa na test mara mbili au tatu kwa wiki na passmark ilikuwa above 60, ukipata chini ya hapo unaenda Buddha/meditation hall unapiga magoti na kurecite buddha's mara 1000
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] ilitaka moyo wa ziada
 
Naomba jina la uzi huo pls niende nikazisome nami.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] ni zaidi ya utumwa aise
 

Hv Mkuu ktk upande Wa iman ya mabudda wanaamin binadamu wa kwanza alikuwa ni nan na alitokana na nn? Maana ktk upande wa ukristro na uislam wanaamin binadam Wa kwanza ni adam na hawa na wameubwa. Ningependa kufahamu kwa upande Wa mabudda ipoje
 
Watukutu [emoji1] [emoji1]
 
Kama movie vile
 
Hv Mkuu ktk upande Wa iman ya mabudda wanaamin binadamu wa kwanza alikuwa ni nan na alitokana na nn? Maana ktk upande wa ukristro na uislam wanaamin binadam Wa kwanza ni adam na hawa na wameubwa. Ningependa kufahamu kwa upande Wa mabudda ipoje
Ubudha niliosoma mimi , kwakuwa kuna sects nyingi sana kwenye Buddhism unaamini kuwa origin ya dunia/uumbaji ulitokana na the realm of existence, cause conditions and effect . kwamba hakukuwa na mwanzo wa dunia/uumbaji kwa hiyo hakuna mwisho
Hili swali linajibiwa kwa kukwepwakwepwa kwakuwa Buddhism ilianzishwa na Sidharta Goutama (Sakyamuni Buddha) mwana mfalme ambaye alikuta tayari dunia ipo na maisha yanaendelea
 
tetee kuna maisha watu tumepitia kiasi kwamba hata ukija sehemu kama JF halafu unakutana na mtu ambaye hata hakufahamu na anaanza kukupotomoshea matusi unamwangalia tu....
Tatizo limited experience ya mtu alonayo anafikia hatua ya kukuhukumu. Sio kosa lako it's their loss.
 
Kwa kweli nimejifunza meeengi kwenye huu uzi
Hapa nimeandika machache tu kwenye maisha ya chuoni ambapo ndio ilikuwa kama chanzo cha kuingia kwenye kujifunza elimu ya upande wa pili kwenye hii dunia
Ukizama sana kwenye haya mambo na ukasafiri na kufika hizo sehemu zao wewe mwenyewe bila kuhadithiwa na ukaona kwa macho yako yale yanayotokea na kutendeka pale purely practice n sometimes supernatural powers unaweza kufika mahali pa kukufuru kuwa Mungu
Nakumbuka mwaka 2000 tulienda Malaysia kwenye mji mmoja mzuri sana unaitwa Johor bahru, lakini hatukukaa mjini sisi ilikuwa ni watu wa milimani misituni au sehemu za kimya
Basi tulipanda milima huko mpaka sehemu ambayo si gari pikipiki wa baiskeli inaweza kupanda, halafu baada ya hapo mnapanda kwa miguu almost three hours
Huko ndani juu kabisa ni nyie na miti umande na mawingu ni dunia nyingine kabisa hakuna chochote bali temple moja kubwa sana ambalo material yake ya kulijenga sijui yalifikishwaje kule huko ni dunia nyingine kabisa na kuko kimya hasa...huko ni habari nyingine....hiyo picha ni kizimba cha meditation
 
Yaanii unajua kusimulia kama natizama documentary hapa. Basi ndio maana wengine hujawa na kiburi na kuona Mungu hayupo.
Ila vitabu vinasema itafuteni elimu ijapokua ni nchi za mbali. Na hizo materials za ujenzi huenda zilipandishwa ki supernatural!!!! Lakini mjenzi hasa ni nani?? Vipi majoka huko juu, je huwa watu wanaokaa humo ndani ya hilo temple permanent au wote watalii??
 
Ishu za majoka kule hakuna kule ni pure practice na watu wako serious hasa....kuna watu wanaishi huko tulikuta baadhi wana zaidi ya miaka 3 hawajawahi kufika mjini...! Waende kufanya nini? Wanakwambia kule kuko contaminated na ni full illusions, life there is not real magari nguo za gharama makeups pesa nk nk
Wako huko juu na amani tele na wako powerful mno wanakula natural wanalala natural practice zote ni natural vyombo na vitu vingi humo ndani ni handmade mavyuma ni kidogo sana miti ndio mingi vyombo karibia vyote ni vya udongo
 
I wish siku moja niende huko nikatembee. Hao kuwapeleka mjini ukawape baga ni kuwatesa aisee.
Wanaishi maisha ya uhalisiaa, hakuna stress za kodi wala kutafuta pesa. Mungu mkubwa
 
I wish siku moja niende huko nikatembee. Hao kuwapeleka mjini ukawape baga ni kuwatesa aisee.
Wanaishi maisha ya uhalisiaa, hakuna stress za kodi wala kutafuta pesa. Mungu mkubwa
Hata wewe ukienda retreat ya wiki moja tu ukirudi mjini hata haya maji ya chupa unaweza usiyanywe ni kemikali tupu, unaingia tetee wewe anatoka tetee mwingine kabisa mwenye tafakuri mwenye subra mwenye kituo na kiasi.....unajiona kabisa uko tofauti uko settled
 
Ninakua kama nimerudi Bustani ya Eden, na nilivyofast learner lazma nibadilike, yaani kama ndani ya wiki napata matokeo chanya mbona nazidi kutamani kwenda!!
ila kwa mjini ni ngumu kuyakwepa maji yenye fluoride ujue, labda kama kuna vyanzo vingine ukitoa ya kisima!
 
Lakini sijui kwann mikoani hakuna sehemu zenye kutoa mafunzo kama Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…