A day in the Buddhist college

Nina tabia ya kumwaga soda chini ama kinywaji chochote kabla ya kukinywa halafu nasema for Ancestors kumbe naabudu nisicho kijua

Knowledge kama hizi ingekua lazima kila mwanadamu azijue dunia sijui ingekuaje

Nimejitahidi sana kusoma hii thread nimefika page ya 23 nikashindwa kuendelea
 
mkuuu mshna nz mihuri tena?
Yeah inaitwa ordination ceremony
Muhuri wa kwanza ni dot tatu kichwani zinawekwa kwa kuunguzwa na vimshumaaa vidogo sana size ya kama njiti za kibiriti ukiziunganisha 2au3 inauma sana
Ya pili hivyo hivyo na ya tatu hivyo hivyo. .Ukikutana na mwenye dot tisa kichwani huyo kaiva hasa kwenye kila sekta
 
Tatizo ni nini?
 
Malizia mkia
 
#59,
Hii thread nilikuwa naifukuzia kimya kimya/mdogo mdogo style mbio za teja. Dunia ina mengi, na ukitaka kuyajua huwezi kuyamaliza yote.

Heko kwako Mshana Jr.
 
hili ni temple jipya ambalo tulishiriki kulijenga kwa kufanya fundraising wanachuo wa kitanzania kwenye nchi za Taiwan Singapore na Malaysia
Tulishiriki shughuli za kijamii
Tulifanya maonyesho ya nyimbo za kiafrika na ngoma
Tulifanya maonyesho ya martial arts na nyimbo za kichina na kibuddha
Tulihubiria wachina Buddhism kwa kichina
Tulialikwa kufanya makongamano kwenye vyuo vikuu vya nchi tulizotembelea
Msaada ambao sitausahau ni wa mama mmoja mtaiwan yeye ali pledge usd milioni moja
 
Mkuu mshana tuhabarishe basi na hii habari ya huko maana inaonekana kuna vitu sana huko
 
Na vepe kuhusu gharama za kila siku ni nani aliyekuwa anawawezesha ktk kula,mavazi nakadhalika???? Hasa ukizingatia ni sehemu iliyojitenga sana
 
Na vepe kuhusu gharama za kila siku ni nani aliyekuwa anawawezesha ktk kula,mavazi nakadhalika???? Hasa ukizingatia ni sehemu iliyojitenga sana
Waumini ambao wengi walikuwa matajiri sana toka nchi nilizotaja
 
Nifahamishe 'hanyu' ndio nini mkuu?
Han yu ni lugha ya kichina (mandarin chinese)China kuna makabila pia! Hiyo Han yu ni kama lugha ya Taifa kama ilivyo kiswahili
 
Mkuu kwa mchanganyiko wa taaluma ulizo nazo...anzisha kitu kama dhehebu lanye mrengo huru la kiafrika zaidi.
Kama kawaida unikumbuke niwe mtunza kapu la sadaq.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…