Yeah inaitwa ordination ceremonymkuuu mshna nz mihuri tena?
Tatizo ni nini?Nina tabia ya kumwaga soda chini ama kinywaji chochote kabla ya kukinywa halafu nasema for Ancestors kumbe naabudu nisicho kijua
Knowledge kama hizi ingekua lazima kila mwanadamu azijue dunia sijui ingekuaje
Nimejitahidi sana kusoma hii thread nimefika page ya 23 nikashindwa kuendelea
Malizia mkiaNina tabia ya kumwaga soda chini ama kinywaji chochote kabla ya kukinywa halafu nasema for Ancestors kumbe naabudu nisicho kijua
Knowledge kama hizi ingekua lazima kila mwanadamu azijue dunia sijui ingekuaje
Nimejitahidi sana kusoma hii thread nimefika page ya 23 nikashindwa kuendelea
Mkuu mshana tuhabarishe basi na hii habari ya huko maana inaonekana kuna vitu sana hukoHapa nimeandika machache tu kwenye maisha ya chuoni ambapo ndio ilikuwa kama chanzo cha kuingia kwenye kujifunza elimu ya upande wa pili kwenye hii dunia
Ukizama sana kwenye haya mambo na ukasafiri na kufika hizo sehemu zao wewe mwenyewe bila kuhadithiwa na ukaona kwa macho yako yale yanayotokea na kutendeka pale purely practice n sometimes supernatural powers unaweza kufika mahali pa kukufuru kuwa Mungu
Nakumbuka mwaka 2000 tulienda Malaysia kwenye mji mmoja mzuri sana unaitwa Johor bahru, lakini hatukukaa mjini sisi ilikuwa ni watu wa milimani misituni au sehemu za kimya
Basi tulipanda milima huko mpaka sehemu ambayo si gari pikipiki wa baiskeli inaweza kupanda, halafu baada ya hapo mnapanda kwa miguu almost three hours
Huko ndani juu kabisa ni nyie na miti umande na mawingu ni dunia nyingine kabisa hakuna chochote bali temple moja kubwa sana ambalo material yake ya kulijenga sijui yalifikishwaje kulehuko ni dunia nyingine kabisa na kuko kimya hasa...huko ni habari nyingine....hiyo picha ni kizimba cha meditation
Na vepe kuhusu gharama za kila siku ni nani aliyekuwa anawawezesha ktk kula,mavazi nakadhalika???? Hasa ukizingatia ni sehemu iliyojitenga sanaIshu za majoka kule hakuna kule ni pure practice na watu wako serious hasa....kuna watu wanaishi huko tulikuta baadhi wana zaidi ya miaka 3 hawajawahi kufika mjini...! Waende kufanya nini? Wanakwambia kule kuko contaminated na ni full illusions, life there is not real magari nguo za gharama makeups pesa nk nk
Wako huko juu na amani tele na wako powerful mno wanakula natural wanalala natural practice zote ni natural vyombo na vitu vingi humo ndani ni handmade mavyuma ni kidogo sana miti ndio mingi vyombo karibia vyote ni vya udongo
Nifahamishe 'hanyu' ndio nini mkuu?kumbe huko ndio umefunzwa 'hanyu' bila shaka
Shukrani mkuuHan yu ni lugha ya kichina (mandarin chinese)China kuna makabila pia! Hiyo Han yu ni kama lugha ya Taifa kama ilivyo kiswahili
UNGEANZA WEW KWANZANitampeleka mwanangu huko.
Mkuu kwa mchanganyiko wa taaluma ulizo nazo...anzisha kitu kama dhehebu lanye mrengo huru la kiafrika zaidi.
Hapa ndio chuo nilipoanzia kujifunza mambo ya Buddhism, meditation, chanting nk. Hii ni picha ya mwaka 1997, na hiyo ni sehemu ya wanachuo.
Hiki kilikuwa ni chuo kugumu na chenye sheria kali kuliko jeshi, tulikuwa wanachuo 21 toka Tanzania lakini tulifanikiwa kumaliza chuo tulikuwa kumi tu na mwishoni watano.
Tulipewa kila kitu bure lakini vinavyofanana kuanzia nguo mpaka dawa ya mswaki. Tuliishi maisha ya useja(total celibacy) huku tukiziadhibu hisia kwa kiwango cha juu mno.!
Tulikuwa kwenye self cultivation (bringing back the scattered mind)Na hii ndio ilikuwa ratiba ya siku moja inayojirudia mara sita kwa wiki.
05:40 kuamka kutandika vitanda na kupiga mswaki/kuiga
05:50 parade/rollcall
06:00-0650 chanting/meditation
06:50-07:00 parade/rollcall na kwenda dining hall kimya na kwa mistari bila kuangalia kulia wala kushoto
07:20 chanting n giving offerings kwa milefo,na hungry ghost kisha breakfast
07:20-07:50 usafi
07:50-8:00 parade/roll call na kuingia darasani
Vipindi vilikuwa ni dk 50 mapumziko dk 10 kuanzia saa mbili mpaka saa tano na dk 50
11:50-12:00 parade/ roll call na kumatch kwa mistari iliyonyooka kwenda dining
-Kuchant kutoa offerings kwa Milefo(future buddha?), hungry ghosts na kisha kula
12:00-13:50-lunch, walking meditation na kupumzika
13:50-14:00 parade roll call na darasani mpaka saa 15:50
15:50-16:00 parade roll call na kubadili nguo
16:00-16:50 martial arts, kung fu karate tai chi nk
16:50-17:50 free time hapa ndio sasa mnaweza kupiga soga na kuendelea na martia arts gym library etc
17:50-18:00 parade rollcall na kumatch kwenda dining
18:00-18:50 chanting offerings kwa Buddha na hungry ghost na kupata dinner
18:50-19:00 parade roll call
19:00-20:50 darasani
20:50-21:50 meditation/chanting
21:50-20:00 kurudi vyumbani kwa kumatch kwenye mistari tena kimya, kuingia vyumbani kuzima taa na kulala
Ukionekana nje baada ya hapo ni majanga
Chuo kiliongozwa na sheria kwenye kila kitu, sheria ya kutumia Maji, kutembea, kuongea kukaa kula kugeuka kulala, kutandika kuvaa etc kila kitu kilikuwa ni sheria na ndio maana wengi sana walishindwa maisha yale
Hii picha ni jinsi tulivyokuwa tunakaa mstarini kila mtu na nafasi yake kwahiyo hata kama haupo nafasi yako inabaki wazi.
View attachment 274159