Mashao lole
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 474
- 481
Kaka mshana mimi nataka hiyo kitu coz namfuatilia sana late steve Jobs, alienda pia huko so how can i join them? Proceedure pls benra23@gmail.comInanisaidia kwa mengi sana, imenifanya niwe kiumbe bora zaidi ni mengi ambayo ni ngumu kukuelezea
Asante sana mkuu mshana jr,kwa kunikumbusha hiliUbudha si ushetani lakini pia hauna Uungu ndani yake
Unajua kuna shetani(ibilisi) na Lusifer hawa wawili wote ni roho walioasi toka mbinguni
Shetani ndiye aliyemdanganya(kumwambia ukweli? )hawa Kisha akalaaniwa
Lucifer yeye alitaka kuwa kama Mungu yaani apate mamlaka na uwezo wa kimungu! Lakini akashindwa na kutimuliwa mbinguni
Kwahiyo Shetani alilaaniwa na kufukuzwa kutoka Eden lakini Lucifer yeye hakulaaniwa bali allifukuzwa toka mbinguni....kufika huku duniani shetani akawa ni roho kamili ya ibilisi inayodanganya na kupotosha watu
Lakini Lucifer yeye akachukua umbo la mwanadamu na kuendelea na mkakati wake wa Kupata uwezo na akili zaidi Ili Amfikie Mungu ndipo hapo synagogue la kwanza la luceferianism lilianzishwa na as time goes on wakatokea kina Illuminati Freemasons Buddhism confuscious nknk
Asante sana mwanadome tafanya hivyoNikiwa mkweli sijawahi fuatilia uzi wowote hapa jf kama nilivyofanya kwenye huu izi.
Mkuu mshana jr pongezi nyingi kwako kwa ujasiri huu wa kijitoa kutufahamisha mambo yalivyo katika dunia hii.maana wengine tangu tulivyo zaliwa tukayakutatuliyoyakutaa basii tujua kua ndo hayohayoo.
Unapokua na nyuzi za aina hii usinipite unapo watag wengine.Thanks mshana jr
Sorry sikuingia Jeiefu muda kidogoShukrani mkuu
Asante sana kwa ufafanuzi wa ziada umekuwa adimu sana jukwaaniSorry sikuingia Jeiefu muda kidogo
Kwa kiasi fulani mshana jr kashakujibu...
Zaidi neno "Han" linamaanisha jamii ya watu ambao ni kabila kubwa sana huko Uchina, yaani zaidi ya 90% ya Wachina ni "han people"...
"Yu" humaanisha lugha...
Hivyo kwa umoja "hanyu" humaanisha lugha izungumzwayo na watu wa jamii ya "Han" na ndiyo Simplified Chinese au Mandarin...
Upo Afrika una amini juu ya Mungu wa Israel..upo timamu wewe [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Baada ya mafunzo yoteee hayo je unaamin katika natural power?unaamn katika Mungu wa israel,YEsu? Unaongelea vipi mambo ya mizimu ya afrika baada ya kusoma?je unaamin katika after life?
Asante sana kwa ufafanuzi wa ziada umekuwa adimu sana jukwaani
Naomba unifanyie hisani hii BrotherNimeshakutag kule kwenye ile post fuatalia tafadhali
Shetani ni roho shetani hana umbo kamili na huweza kumuingia ama kukaa popoteYule aliekua akiongea na yesu wakati yesu alipofunga siku arobaini alikua shetani au lucifer manake kuna mtu kasema shetan ni roho embu fafanua kidogo apo