A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Ubudha si ushetani lakini pia hauna Uungu ndani yake
Unajua kuna shetani(ibilisi) na Lusifer hawa wawili wote ni roho walioasi toka mbinguni
Shetani ndiye aliyemdanganya(kumwambia ukweli? )hawa Kisha akalaaniwa
Lucifer yeye alitaka kuwa kama Mungu yaani apate mamlaka na uwezo wa kimungu! Lakini akashindwa na kutimuliwa mbinguni

Kwahiyo Shetani alilaaniwa na kufukuzwa kutoka Eden lakini Lucifer yeye hakulaaniwa bali allifukuzwa toka mbinguni....kufika huku duniani shetani akawa ni roho kamili ya ibilisi inayodanganya na kupotosha watu
Lakini Lucifer yeye akachukua umbo la mwanadamu na kuendelea na mkakati wake wa Kupata uwezo na akili zaidi Ili Amfikie Mungu ndipo hapo synagogue la kwanza la luceferianism lilianzishwa na as time goes on wakatokea kina Illuminati Freemasons Buddhism confuscious nknk
Asante sana mkuu mshana jr,kwa kunikumbusha hili
 
Nikiwa mkweli sijawahi fuatilia uzi wowote hapa jf kama nilivyofanya kwenye huu izi.

Mkuu mshana jr pongezi nyingi kwako kwa ujasiri huu wa kijitoa kutufahamisha mambo yalivyo katika dunia hii.maana wengine tangu tulivyo zaliwa tukayakutatuliyoyakutaa basii tujua kua ndo hayohayoo.

Unapokua na nyuzi za aina hii usinipite unapo watag wengine.Thanks mshana jr
 
Nikiwa mkweli sijawahi fuatilia uzi wowote hapa jf kama nilivyofanya kwenye huu izi.

Mkuu mshana jr pongezi nyingi kwako kwa ujasiri huu wa kijitoa kutufahamisha mambo yalivyo katika dunia hii.maana wengine tangu tulivyo zaliwa tukayakutatuliyoyakutaa basii tujua kua ndo hayohayoo.

Unapokua na nyuzi za aina hii usinipite unapo watag wengine.Thanks mshana jr
Asante sana mwanadome tafanya hivyo
 
Shukrani mkuu
Sorry sikuingia Jeiefu muda kidogo

Kwa kiasi fulani mshana jr kashakujibu...

Zaidi neno "Han" linamaanisha jamii ya watu ambao ni kabila kubwa sana huko Uchina, yaani zaidi ya 90% ya Wachina ni "han people"...

"Yu" humaanisha lugha...

Hivyo kwa umoja "hanyu" humaanisha lugha izungumzwayo na watu wa jamii ya "Han" na ndiyo Simplified Chinese au Mandarin...
 
Sorry sikuingia Jeiefu muda kidogo

Kwa kiasi fulani mshana jr kashakujibu...

Zaidi neno "Han" linamaanisha jamii ya watu ambao ni kabila kubwa sana huko Uchina, yaani zaidi ya 90% ya Wachina ni "han people"...

"Yu" humaanisha lugha...

Hivyo kwa umoja "hanyu" humaanisha lugha izungumzwayo na watu wa jamii ya "Han" na ndiyo Simplified Chinese au Mandarin...
Asante sana kwa ufafanuzi wa ziada umekuwa adimu sana jukwaani
 
Baada ya mafunzo yoteee hayo je unaamin katika natural power?unaamn katika Mungu wa israel,YEsu? Unaongelea vipi mambo ya mizimu ya afrika baada ya kusoma?je unaamin katika after life?
Upo Afrika una amini juu ya Mungu wa Israel..upo timamu wewe [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Ubongo.jpg
 
Yule aliekua akiongea na yesu wakati yesu alipofunga siku arobaini alikua shetani au lucifer manake kuna mtu kasema shetan ni roho embu fafanua kidogo apo
 
Mshan jr hongeraaa

Mm ni maswali in Gawanya sijui labia yameulizwa

1 wakatii unatorokaa Kuja kujirushaa mjini ulikikuanaa vijana mkatofatiana na kujenga u adui Sasa maswali yangu

A. Kisaa cha ugomvi wenu ulikua nini
 
Yule aliekua akiongea na yesu wakati yesu alipofunga siku arobaini alikua shetani au lucifer manake kuna mtu kasema shetan ni roho embu fafanua kidogo apo
Shetani ni roho shetani hana umbo kamili na huweza kumuingia ama kukaa popote
 
Back
Top Bottom