A day in the Buddhist college

Nimependa ulivo jibu maswali uliyo ulizwa,
Vip ajira ama fulsa za kujiajiri zinawezekana au ni kwa faida ya nafsi namaanisha faida binafsi
 
Nimependa ulivo jibu maswali uliyo ulizwa,
Vip ajira ama fulsa za kujiajiri zinawezekana au ni kwa faida ya nafsi namaanisha faida binafsi
Ajira zake huku kwetu ngumu lakini huko kwa wenzetu zipo
 
Kumbe mpaka hapa tz na africa dini ya budha ipo,
Nilijua ni india na china tu !
Je wale wahindi wanaoabudu ngombe,picha nk
Na wao ni wabuddha au ?
 
Unanikumbusha mbali enzi za Bodhighaya Bronkhosprit

 
Picha zifuatazo ni za kituo cha watoto yatima wanaojifunza meditation na Buddhism kiko Mtaa wa Mindu nyumba ya tano ukichepuka toka UN Rd kama unaelekea sealander
 
kwahiyo hatimaye Tanzania kimeweza kufunguliwa kituo kisichotoza malipo Lakini kimeanza na watoto yatima
Kwa wale wapenda meditation wanaweza kufika hapo kupata utaratibu wote
 
View attachment 508357kwahiyo hatimaye Tanzania kimeweza kufunguliwa kituo kisichotoza malipo Lakini kimeanza na watoto yatima
Kwa wale wapenda meditation wanaweza kufika hapo kupata utaratibu wote
Amitofo! Namuona Pannasekara. Hii lazima Nan Hua Si au Fo Gwang Shan wamwage mpunga sana hapa. Go Dharmma, go Dharmma gooooo!!.
 


Nimeanza kukuelewa mkuu... kila kitu kina chanzo.
 
Mmh tutakuwa tunafahamiana
Hahahahaaa! Yes my Dharma brother. Se ji si kong, kong ji shi se, se bu yi kong, kong bu yi se (form is empty, empty is form, form is not empty, empty is not form). Dah! I wish i could turn back the hands of time.
 
Mpaka nimesisimka ulikuwa intake gani?
Amitofo, hahahahaha!. Wazee wa midle path. Inabidi tuwafundishe watu Dharmma ili wafunguke jicho la tatu, waone vitu katika uhalisia wake. Nikiangalia dunia ya leo, Dharmma is the only hope iliyobaki ku-restore dunia back to default. Tho Buddha anasema "Dharmma si kwa kila mtu, ni kwa wale wenye causes and condition za Dharmma". Ila najua humu jf wapo wengi tu walau wataelewa somo.
Ila Buddhism amani sana. Mshana si unaona Chief monk hapo Upanga, yeye ni Theravada, lakini ana-promote Mahayana! Ni kama Askofu wa kikatoliki afungue shule ya kuendeleza Lutheran church. Atapigwaje mawe.......hahahahahahahhahahaa!
 
Amitabha....!!! Nimeshajua chanzo cha ugomvi wao mpaka wanataka arudishwe Sri Lanka..... But always Mahayana ni gari kubwa
BTW swali la msingi hukujibu
 
Amitabha....!!! Nimeshajua chanzo cha ugomvi wao mpaka wanataka arudishwe Sri Lanka..... But always Mahayana ni gari kubwa
BTW swali la msingi hukujibu
Sidhani kama wataweza kumtoa pale. I guess hati za Mindu ziko kwa jina lake.
Mimi ni intake ya 97 mkuu. Tulipokelewa na kichwa hicho...Hwei Mu. Alikuwa bikuni makini sana ila inasemekana alikuwa na makandokando yake. Ali-disrob 97 hiyohiyo kama sikosei. Nilikuwa karibu sana na Tumbotumbo. Alikuwa ananipenda sana, akiniona tu.....utamsikia...."Ben Infopaedia guo lai". Basi atanichapa Dharmma hapo mwanzo mwisho. Nika-turn kuwa mfuasi wake, lakini ki-underground fulani, as you know sheria za pale. By the way, 97 you were gone already.
 
Pale alikuwepo wa kwanza aliyetupokea ni Vima/ Vimalajothi mpiga dili fulani m Sri Lanka, alivua robes 98 ndio Panyasekera akachukua uongozi
Mimi ni wa intake ya kwanza 96 ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…