Nadhani samahani kwa kumjibia mkuu mshana ila nafikiri itakuwa ni kwa ajili ya kutujibu yale maswali yetu magumu humu kuhusu maswala yale yasiyojulikana mfn ulozi na mambo mengine kama hayoBaada ya masomo yako uligundua nini? Je unaitumaje elimu uliyopata?
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji123]Nadhani samahani kwa kumjibia mkuu mshana ila nafikiri itakuwa ni kwa ajili ya kutujibu yale maswali yetu magumu humu kuhusu maswala yale yasiyojulikana mfn ulozi na mambo mengine kama hayo
South Africa chuo kiko mji mdogo unaoitwa bronkohorspruit njia ya kwenda witbank ikitokea Pretoria, kinaitwa Nanhua temple
Binafsi ningependa kupata maarifa mapya kutoka kwako.. Ni vibaya kwa Mkristo kufanya meditation? Binafsi niliichukulia kwa mtazamo hasi, lakini baada ya kupata elimu hii kutoka kwa rafiki, kuna mengi nimejifunza. Maombi ya kimya yana nguvu kuliko nilivyodhani, yana nguvu ambazo hazina shaka. Je? Kuna ulazima kila kitu kwenda kwa Mchunngaji, Mwinjilisti ama kiongozi awaye yote kufanyiwa maombi? Maana naona hii imepelekea watu kuwa watumwa kuliko inavyoonekana na wengi. Naamini maombi binafsi yananguvu sana, hasa ukijua kuomba, ni bahati mbaya pia kuwa watu hawafundishwi namna ya kuomba kama inavyotakiwa..Karibu upate maarifa mapyaView attachment 1200534
SASA KWANINI UMEKUWA MLOKOLE KWA SASA ILIHALI ULISOMEA MAMBO YA BUDHARISIM SIJUI INAITWAJE HIYOKupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
KWAHIYO WEE USHAPIGWA MHURI WA KUWA BUDDHIST NA JE UKIFIKA MBINGUNI KWA MUNGU UTAMWAMBIA MAMBO HAYO?Initial/basics ni miaka miwili baada ya hapo unaenda Asia miaka mitatu, mwishoni mwa mwaka wa tatu unafanyiwa ordination kuwa official Buddhist master
Ordination si kitu kidogo nikitu kikubwa mno kwakuwa ndio unapigwa mhuri rasmi
elimu isiyojulikana noma kwelKupata ufahamu wa juu zaidi kuhusu elimu isiyojulikana
mbinguni kwa mungu!!! 🤔KWAHIYO WEE USHAPIGWA MHURI WA KUWA BUDDHIST NA JE UKIFIKA MBINGUNI KWA MUNGU UTAMWAMBIA MAMBO HAYO?