A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Mkuu huyu mwenye kama koti la blue/darkblue hapo alikuwa kama nani? Na kati yw hao master... huyo mwenye utepe wa rangi kuzunguka shingo na kifua ndio mkuu aliyekuwa mkuu wa chuo?
 
View attachment 1200613kama mdogo wake profesajei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo sio mimi... Mimi ni huyu hapa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]wa kulia ni mbongo wa kushioto ni mzulu wa chini ni muisrael
IMG_20190907_141403.jpeg
 
KWAHIYO WEE USHAPIGWA MHURI WA KUWA BUDDHIST NA JE UKIFIKA MBINGUNI KWA MUNGU UTAMWAMBIA MAMBO HAYO?
Hapana ilipofika hatua ya kutiwa muhuri wa moto usiofutika nikakimbia chuo
 
Mkuu huyu mwenye kama koti la blue/darkblue hapo alikuwa kama nani? Na kati yw hao master... huyo mwenye utepe wa rangi kuzunguka shingo na kifua ndio mkuu aliyekuwa mkuu wa chuo?
Picha ipi mojawapo?
 
Mwalimu alikuwa mmarekani aliitwa Harold... Huyu mzungu nahisi alikuwa jasusi... Mambo yake mengi hayakuwa wazi
1.Mkuu baada ya ile maiti kudindisha kilitokea nini?
2. Ni mambo gani ya kuogofya yalikuwa yanatokea machwari.


Kama huwezi kuandika hapa unaweza kunitumia PM.
 
1.Mkuu baada ya ile maiti kudindisha kilitokea nini?
2. Ni mambo gani ya kuogofya yalikuwa yanatokea machwari.


Kama huwezi kuandika hapa unaweza kunitumia PM.
 
1.Mkuu baada ya ile maiti kudindisha kilitokea nini?
2. Ni mambo gani ya kuogofya yalikuwa yanatokea machwari.


Kama huwezi kuandika hapa unaweza kunitumia PM.
 

Nitausoma kesho, jumba zima nimelala mwenyewe halafu sijui nani alinidanganya kusishi polini
 
Nitausoma kesho, jumba zima nimelala mwenyewe halafu sijui nani alinidanganya kusishi polini
 
Nitausoma kesho, jumba zima nimelala mwenyewe halafu sijui nani alinidanganya kusishi polini
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo sio mimi... Mimi ni huyu hapa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]wa kulia ni mbongo wa kushioto ni mzulu wa chini ni muisraelView attachment 1200714

Babu M shana Jr, nikuulize kama unamfahamu Eric alikuwa anakaa Upanga, mlikuwa nae pamoja, na yeye aliiingia Budhist hiyo miaka ya tisini akapelekwa South mpaka China
 
Back
Top Bottom