A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Mshana Jr ,hiyo dini ndio freemason? It would be interesting kama ungetupatia uzi unaolezea connections/differences kati ya freemasonry, Buddhist na hiyo dini ya shetani?
 
mkuu Mshana Jr,wakati upo chuo south africa ulisema mlikuwa mkitoroka kwenda mjini kui enjoy maishaa, pesa ya matumizi mlikuwa mnatolea wapi wakati kila kitu mlikabidhi chuoni na huduma zote mlikuwa mkizipata hapo
 
Tulikuwa tunalipwa kila mwezi.. Lakini pia kwenye temple tour za weekend kuna baadhi ya wageni walikuwa wanatutoa..
mkuu Mshana Jr,wakati upo chuo south africa ulisema mlikuwa mkitoroka kwenda mjini kui enjoy maishaa, pesa ya matumizi mlikuwa mnatolea wapi wakati kila kitu mlikabidhi chuoni na huduma zote mlikuwa mkizipata hapo
 
Back
Top Bottom