Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buddha vs Muhammad who's better ;honest opinionBuddha ni kama mtume.. Mfano Kristo... Ubuddha ni imani kama ukristo na monk ni kasisi...
Jr[emoji769]
South Africa chuo kiko mji mdogo unaoitwa bronkohorspruit njia ya kwenda witbank ikitokea Pretoria, kinaitwa Nanhua temple
Buddha vs Muhammad who's better ;honest opinion
Edit ratiba hapo mwisho 21:50 hadi 20:00 bila shaka ulikusudia 22:00
Sent using Jamii Forums mobile app
You are looking for enlightenment and compassion to all creatures... Who can lead you there better budha or Muhammad(pbuh)?I can't compare.. Am on my self cultivation.. Seeking enlightenment... My perfection and compassion to all living creatures..for a better world... Am beyond comparison opinions
Jr[emoji769]
You are looking for enlightenment and compassion to all creatures... Who can lead you there better budha or Muhammad(pbuh)?
Uzi mzuri umeshiba madini amabyo hayapatikani ovyo ovyo, nimeuona leo.
ahsante sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba maana ya hii picha mkuu
Naomba maana ya hii picha mkuuView attachment 1367747
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]Uzi mzuri sana huu, nimepita tangu ulivyotolewa Mwaka 2015 hadi leo. Ahsante Mshana Jr. kwakunileta huku.
Umenipa shauku zaidi ya kujua mengi huko kwenye nyuzi zingine, za mtiririko huu.
Ahsante kwa Elimu,
Nim cheka maiti kudindisha wakati mdogo, nilisikia maiti kumuangalia vibaya na kwa jicho Kali, aliyesafikika kuwa amemtoga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari yakoTabia mbaya tu, msituache wenzenu jamani! Niko interested sana na haya mambo hata sijui kwanini! ?
Hapana kalenda inayotambulika rasmi ni hii ya kizingu.. Hakuna siku rasmi sana labda ile ya kuzaliwa kwa BuddhaKuna swali nilitaka kukuuliza nimelisahau toka 2016 ila haya siyasahau.
1.hivi buddha wanatumia calendar ya kipagani au wana calendar yao?
2.je mwaka wao una miezi mingapi? Majina ya miezi yao na idadi ya siku kwa mwezi mmoja ?
3.je wana mwezi mtukufu au siku bora ktk mwezi kama vile waislamu ijumaa au jmo/jpili kwa wakristo?
Nalog off
Ahsante sana. Jé? Huwa mnafanya funga japo mbili tatu au hakuna funga kabisa.Hapana kalenda inayotambulika rasmi ni hii ya kizingu.. Hakuna siku rasmi sana labda ile ya kuzaliwa kwa Buddha
Buddhism ni kitu kinachobadilika kulingana na mila japo misingi hubaki kuwa ileile
Sisi South Africa tulikuwa tunapumzika Jumatatu kwakuwa Jumapili ilikuwa siku moja busy sana kutokana na wingi wa wageni wanaokuja kutembelea tempo
Jr[emoji769]