Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kufahamu tofauti Kati ya VITAL POWER na SPIRITUAL POWERNi kweli kabisa ukizama sana kwenye hiyo self being ni kama kumuabudu lucifer
Chi ni vital power ila inakuja kuwa kama spirit kwakuwa unaweza kufanya mambo mengi zaidi ya matendo ya kawaida ya mwanadamu
Watu wanaabudu sanamu (China,India) lakin bado Mungu wetu amewabariki wao kuliko sisi ngozi nyeusi tunaojifanya tunaijua sana dini (kuna wanaomlilia Mungu na wanaojitoa mhanga kwa ajili ya Mungu)! Mambo ya dini wakati mwingine ni kizungumkuti.
Mkuu habariInitial/basics ni miaka miwili baada ya hapo unaenda Asia miaka mitatu, mwishoni mwa mwaka wa tatu unafanyiwa ordination kuwa official Buddhist master
Ordination si kitu kidogo nikitu kikubwa mno kwakuwa ndio unapigwa mhuri rasmi
Second hand 1,500,432.77kmMmmh........aisee.........
Tofauti ya Buddha na Monk ni ipi?Mkuu naweza kusema ndio ila sio monk
Jr[emoji769]
. Mshana Jr. Mpaka sasa wewe ni mseja (mtawa)?