A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Duu najihisi sipo mpweke tena wewe ni intake ipi? Njoo pm tutete kidogo
Sisi ndio baada ya South tulienda kule kwenyewe nk

Kule kwenyewe wapi?

Halafu nataka kujua, kuna viapo vyovyote mnafanya?
Kuna siri ambazo mnatakiwa kutozitoa kwa wengine hata kama umeacha Ubudha?
 
Mi nna hamu ya kujua chakra zinavyofanya kazi and how to awaken them. Mkuu mshana inakuhusu hii?
 
Kule kwenyewe wapi?

Halafu nataka kujua, kuna viapo vyovyote mnafanya?
Kuna siri ambazo mnatakiwa kutozitoa kwa wengine hata kama umeacha Ubudha?

Kila imani ina mizizi yake kama ilivyo Roma na wakatoliki nk nk
Viapo vipo na vina stage kama imani zingine tuu
Kuna vitu hubaki siri binafsi kama imani zingine tuu sio kwa ubaya ila kwakuwa wengine hawahusiki navyo na hata wakivijua haviwezi kuwasaidia lolote
 
Mi nna hamu ya kujua chakra zinavyofanya kazi and how to awaken them. Mkuu mshana inakuhusu hii?

Unajua Buddhism ni dhehebu moja kubwa saana na ndani yake kuna sects nyingi kutegemeana na mahali hizo chakra ziko kwa wahindi na wahindu zaidi
Lakini kwa ufupi ni kwamba ni zile sense tano kisha ile ya sita mpaka ya nane hizi tatu ni topic moja kubwa na complicated
 
mshanajr naomba kujua baadhi ya viapo ambavyo ukivisema kwa watu vinakudhuru!
 
Last edited by a moderator:
Interesting story...again thanx for sharing!

mshanajr naomba kujua baadhi ya viapo ambavyo ukivisema kwa watu vinakudhuru!

Kati ya viapo vyote kiapo cha damu ndio kibaya kuliko vyote, kwakuwa damu inabeba uhai, damu ni alama ya uhai hivyo damu ni roho....viapo vya damu huishi
Nikumbushe next week nitakuonyesha sample
 
Last edited by a moderator:
Unajua Buddhism ni dhehebu moja kubwa saana na ndani yake kuna sects nyingi kutegemeana na mahali hizo chakra ziko kwa wahindi na wahindu zaidi
Lakini kwa ufupi ni kwamba ni zile sense tano kisha ile ya sita mpaka ya nane hizi tatu ni topic moja kubwa na complicated

Kwa hiyo sisi wengine hizo sense ni dormant au ziko hafifu?
 
Kati ya viapo vyote kiapo cha damu ndio kibaya kuliko vyote, kwakuwa damu inabeba uhai, damu ni alama ya uhai hivyo damu ni roho....viapo vya damu huishi
Nikumbushe next week nitakuonyesha sample

mshana jr kama hiki ulishiriki kwa kweli unahitaji ukombozi, na sasa hizo damu zinatokana na nini?
 
Last edited by a moderator:
Baada ya masomo yangu hayo naamini katika vyote ulivyotaja hapo juu
-naturalpowers zipo na kuna watu wanazimiliki kiasili huku wengine ikiwa ni kwa njia ya kupractice (rejea makala za Pasco)
-naamini katika Mungu mmoja na Yesu Kristo kwakuwa hii ndio imani niliyozaliwa na kukua nayo kuisoma na kuikubali
-naamini katika mizimu ya kiafrika enzi za mababu zetu, kwakuwa ilikuwepo na kufanya yaliyotakiwa, mizimu ni roho na roho zipo hazifi
Naamini maisha baada ya kifo kwa maana ya rebirth na reincarnation

Naona hapo ume-confuse them (changanya) kila kitu kupata dini yako mwenyewe. Hii dini yako yakuamini kila kitu inaitwaje?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom