Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #21
Inavutia
Lengo lako lilikuwa nini? Na hao watz wote mlikutana huko huko ama kulikuwa na mradi flani? Ni kozi ya muda gani?
Lengo kuu ilikuwa ni kupata first batch itakayofundishwa imani ya kibudha Africa(missionaries)
Wote tulitoka hapa bongo tena baada ya kupitia mchujo mkali kutoka watu 300+mpaka 21