Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ninayofanya sasa hivi ambayo siwezi kuitaja hapa
Hahhahaaaaa
cc: miss chagga
Hahhahaaaaa no never ni total celibacy life(maisha kamili ya useja)
'brand new' 0 km
Sasa huduma za haki za msingi za binadamu ilikuwaje.........?.......nadhani siwezi kusoma hapo........sina vigezo.........
Mmmh........aisee.........
Mmmh........aisee.........
Nami nilitaka kuwaacha wengi huko...hahah
Nilijua tu...!hahhahaaaaa
hahaha aisee! But seriously hii ratiba ni ngumu sasa mshana jr kwanini parade na roll call ilikuwa kila mara? Hapo kny sacrifice kwa hungry ghost ni kitu gani mlifanya? Interesting indeed thanks for sharing
SoothWatu wanaabudu sanamu (China,India) lakin bado Mungu wetu amewabariki wao kuliko sisi ngozi nyeusi tunaojifanya tunaijua sana dini (kuna wanaomlilia Mungu na wanaojitoa mhanga kwa ajili ya Mungu)! Mambo ya dini wakati mwingine ni kizungumkuti.
Baada ya mafunzo yoteee hayo je unaamin katika natural power?unaamn katika Mungu wa israel,YEsu? Unaongelea vipi mambo ya mizimu ya afrika baada ya kusoma?je unaamin katika after life?
Baada ya masomo yangu hayo naamini katika vyote ulivyotaja hapo juu
-naturalpowers zipo na kuna watu wanazimiliki kiasili huku wengine ikiwa ni kwa njia ya kupractice (rejea makala za Pasco)
-naamini katika Mungu mmoja na Yesu Kristo kwakuwa hii ndio imani niliyozaliwa na kukua nayo kuisoma na kuikubali
-naamini katika mizimu ya kiafrika enzi za mababu zetu, kwakuwa ilikuwepo na kufanya yaliyotakiwa, mizimu ni roho na roho zipo hazifi
Naamini maisha baada ya kifo kwa maana ya rebirth na reincarnation