A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Ni kiapo chochote cha kunuizia kwa kutumia damu mbichi ya mnyama au binadamu
Unapoimwaga kuinywa au kujipakaza au kuipakaza mahali kwa namna yeyote ile huku ukinuizia hiki ndio kiapo cha damu
Zamani ilikuwa kuna kula yamini kati ya wapenzi ndugu au marafiki yani mnajikata vidole vyenu kidogo kisha mnavigandamiziana, kutengeneza unganiko la milele... Hiki ni kiapo cha damu pia
Kuna wengine hujikata na kuitumia damu kama wino na kuandika mambo mabaya kisha kuiweka ile karatasi kwenye Maji na kuyanywa, wengine huyamwaga au kuyapeleka mtoni
Je waweza kunuia mambo mazuri kwa kutumia hicho kiappo cha damu,say nataka kuweka agano na Mungu Mkuu Jesus Christ kuhusu wealth,health etc?
 
Je waweza kunuia mambo mazuri kwa kutumia hicho kiappo cha damu,say nataka kuweka agano na Mungu Mkuu Jesus Christ kuhusu wealth,health etc?
Hapana hatutumiii tena kiapo cha damu sisi wa Kristo kwakuwa tayari alishamwaga damu yake ya thamani pale Calvary

Jr[emoji769]
 
Hapana hatutumiii tena kiapo cha damu sisi wa Kristo kwakuwa tayari alishamwaga damu yake ya thamani pale Calvary

Jr[emoji769]
I understand,Je wawezaje kujiunganisha na hiyo damu ya Kristo iliyomwagika Calvary na ukawa na uhakika bayana kabisa kuwa what I want is what gonna happen through hiyo damu?labda healing,spiritual uplifting, etc,sorry kama ntakuwa nakutoa nje ya mada but I am curious to know,na hakuna kitu kizuri kama proper info
 
I understand,Je wawezaje kujiunganisha na hiyo damu ya Kristo iliyomwagika Calvary na ukawa na uhakika bayana kabisa kuwa what I want is what gonna happen through hiyo damu?labda healing,spiritual uplifting, etc,sorry kama ntakuwa nakutoa nje ya mada but I am curious to know,na hakuna kitu kizuri kama proper info
Ni kwa imani thabiti juu ya mambo ya kiroho na yale tunayodhani hayawezekani

Jr[emoji769]
 
Say nataka niwin lotto,nguvu hii naweza kuitumia kumanipulate my numbers?
 
Naweza kusema ndio au hapana.... Kwakuwa yale mambo ni bahati nasibu

Jr[emoji769]
So there is no a sure short using hii energy,kwamba hata mafanikio sio uhakika si ndio?halafu wale wanaosema they can read mind,are they capable Ku guess right kwenye machine kama ya loto?
 
So there is no a sure short using hii energy,kwamba hata mafanikio sio uhakika si ndio?halafu wale wanaosema they can read mind,are they capable Ku guess right kwenye machine kama ya loto?
Kuna watu wana huo uwezo kabisa! Na kuhusu hili unajua mustakabali wa mtu(fate) anao mwenyewe...! Furaha yako, kushindwa kwako kushinda kwako nk nk... Hivi vingine ni visindikizi tuu

Jr[emoji769]
 
Future Buddha
laughing-buddha-1.jpg
 
Mkuu Mshana Jr ..nipe namna ya kujiunga na chuo hicho, nataka kuwa Buddha.
 
Back
Top Bottom