100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,165
Nimependa sana mleta mada ulivyoandika kistarabu...nakuombea upate
Ukipenda boga penda na ua lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa sana mleta mada ulivyoandika kistarabu...nakuombea upate
Hata yeye nimempenda nishachukua namba kule PM nachat nae sasa hiviUkipenda boga penda na ua lake.
Hata yeye nimempenda nishachukua namba kule PM nachat nae sasa hivi
Wewe huyu huyu!
Aanze tu kujidai.
nlikuwa nao.. lkn sjawah kubahatika kuwa na rafiki kama nnae mhitaji, wengi washkaji tu.. people who mind their own business, they dont give a fu*c..
Kwani mimi nina nini?umenifanya nicheke ujue
Hahaha, yaani nawaza mtu anakuanzaje aisee.
Maana kila nikitafuta gia siipati kabisa.
Mama/dada napendaga kusoma comments zakoNimemuanza mimi
Yeye si ndio kaleta bandiko la kuhitaji rafiki
Asante kaka/dada
ukiangalia ambulance ilivoandikwa kwa mbele unaweza usitambue haraka, ila ukiangalia kwa kutumia side mirror utasoma vizuri tu.mkuu kama hausomeki vile au mie ndo npo chaka ila fresh hii kauli "persone che si occupano dei loro affair" kama sijakupata vizuri sorry inglish yangu uwez isoma
edit sasa we vp?Hio ni typing error mkuu ilitakiwa iwe he/she
but since nimeandika she, inaelekea nahitaji sana wa kike, maranyingi inapokuwa different sex inapendeza ila no limit, no boundaries... anyone pliz
Nimemuanza mimi
Yeye si ndio kaleta bandiko la kuhitaji rafiki
Teh!Hana hiyo bahati nakwambia.
Na naamini hakuna mwenye hiyo bahati ya kuchat na wewe kwa simu humu JF.
Kule WhatsApp hujapenda?na mimi kuanzia hapa nimeanza kupenda 😂😂😂
Sawa bebeeBebee call me.