A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Nakuuliza tofauti ya MTU mwenye kichaa na wewe ni nini maana MTU mwenye kichaa hujiona na kusema yupo hrwani wakati anatembea ardhini.
Umepaniki Bro.

Nimekwambia biblia Nina iamini lakini sihitaji Biblia kujua uwepo wa Mungu, Biblia kwa anayejua kufikiri inaeleza ukuu wa Mungu na haikutegemea kuwa iwe kitabu cha kufundishia Jiografia wala fizikia.
Wewe unauliza na kutaka ujibiwe kana kwamba biblia ni kitabu cha jiografia na fizikia.
Wewe ndiwe wajidai kwa kuweka ulivyokaririshwa pasipo kuweka na kujibu maswali...
Nimekwambia niambie chanzo cha Universe na Uhai unaongea habari za process kwenye evolution na big bang nani alifanya hivyo vilivyo bang ?
Acha kushusha kariri zako lete majibu

Hebu fuatilia comment zangu kwako. Sasa huyo mungu unayemsema hahusiani na biblia na wewe ni mkristo wewe umemjuaje huyo?

Halafu kwanini biblia isiongee mambo ya jiografia na fizikia? wakati neno hilo ni la mungu na limehakikishwa halina upungufu? nikisema unaamini usichokijua nitakuwa nimekosea? au nikisema uoga wako wa imani ndio unakufanya uogope kitu ambacho hakipo utakuwa na la kujitetea?

Mimi ninakupa ujumbe mzito na wewe unaleta maelezo mepesi mepesi. Hebu jaribu kidogo kutafakari na usipotezee hizo pointi ninazo kuambia. Wenzako wengi wanakuona mtu wa ajabu sana maana hutoi reference yeyote. Au basi elezea tukio lolote ulilowahi kukumbana nalo au kusimuliwa linahusiana na uwepo wa hako kamungu kako.
 
Naomba niulize hivi kwa waliosoma na wanaotetea hivi vitabu vya dini kwenye pitapita zao hawajawahi kupata shaka na neno lolote na kisha kujiuliza maswali? Ebu nijibiwe nieze kuendelea?
 
Naomba niulize hivi kwa waliosoma na wanaotetea hivi vitabu vya dini kwenye pitapita zao hawajawahi kupata shaka na neno lolote na kisha kujiuliza maswali? Ebu nijibiwe nieze kuendelea?

Wapo na si ndiyo hao wameamua kuacha kabisa na dini yenyewe.
 
Umepaniki Bro.



Hebu fuatilia comment zangu kwako. Sasa huyo mungu unayemsema hahusiani na biblia na wewe ni mkristo wewe umemjuaje huyo?

Halafu kwanini biblia isiongee mambo ya jiografia na fizikia? wakati neno hilo ni la mungu na limehakikishwa halina upungufu? nikisema unaamini usichokijua nitakuwa nimekosea? au nikisema uoga wako wa imani ndio unakufanya uogope kitu ambacho hakipo utakuwa na la kujitetea?

Mimi ninakupa ujumbe mzito na wewe unaleta maelezo mepesi mepesi. Hebu jaribu kidogo kutafakari na usipotezee hizo pointi ninazo kuambia. Wenzako wengi wanakuona mtu wa ajabu sana maana hutoi reference yeyote. Au basi elezea tukio lolote ulilowahi kukumbana nalo au kusimuliwa linahusiana na uwepo wa hako kamungu kako.

Kuna tofauti ya kuwepo kwa Mungu na namna watu wanavyohusiana na huyo Mungu.
Kuwa Mkristo ni kumtumia Yesu Kristo kuwa ndiye Chanel ya kuhusiana na Mungu
Hivyo kuwa Imani furani au kutokuwa hakuhusiani moja kwa moja na kujua uwepo wa Mungu.
Unatumia nini kufikiri hata jambo dogo hivi likushinde ?
Uwepo wangu ni tukio linalonithibitishia uwepo wa Mungu wangu.
Ukosefu wa tafakari unajionesha katika kila andiko lako.

Nimekueleza namna ambavyo kuwaza kwako kunashabihiana na kuwaza kwa binadamu kichaa, wewe unaona mimi nimepanic pole Sana....
Ukisema ninaamini nisichokijua ni Sawa na kichaa anavyowaona walio wazima kuwa ndio vichaa
Hakuna cha ajabu. Mimi ninamwamini Mungu aliyeumba mbingu na ardhi na ambaye ndiye mwanzilishi wa uhai na maadili ya kibinadamu.

Kuna ujumbe wowote umenipa hapa ? Zaidi Sana naona unaongea mambo uliyokariri na hallucinations zako ukifikiri no mambo mazito.
 
Kuna tofauti ya kuwepo kwa Mungu na namna watu wanavyohusiana na huyo Mungu.
Kuwa Mkristo ni kumtumia Yesu Kristo kuwa ndiye Chanel ya kuhusiana na Mungu
Hivyo kuwa Imani furani au kutokuwa hakuhusiani moja kwa moja na kujua uwepo wa Mungu.
Unatumia nini kufikiri hata jambo dogo hivi likushinde ?
Uwepo wangu ni tukio linalonithibitishia uwepo wa Mungu wangu.
Ukosefu wa tafakari unajionesha katika kila andiko lako.

Nimekueleza namna ambavyo kuwaza kwako kunashabihiana na kuwaza kwa binadamu kichaa, wewe unaona mimi nimepanic pole Sana....
Ukisema ninaamini nisichokijua ni Sawa na kichaa anavyowaona walio wazima kuwa ndio vichaa
Hakuna cha ajabu. Mimi ninamwamini Mungu aliyeumba mbingu na ardhi na ambaye ndiye mwanzilishi wa uhai na maadili ya kibinadamu.

Kuna ujumbe wowote umenipa hapa ? Zaidi Sana naona unaongea mambo uliyokariri na hallucinations zako ukifikiri no mambo mazito.
Bro akili zako zimefungwa huwezi ukafikiria nje ya box. Kusema kweli nitamaliza mifano kibao hapa na hautabadilika. Ila kwa faida ya wasomaji wengine ndio maana ninaandika haya. Mimi nimekuambia kidogo tu kwamba ulete reference zilizokufanya ukaamini uwepo wa mungu wako. Ukisoma comment iliyo quote utajishangaa. Mimi nimekuambia ulete ushahidi wa mambo unayoyasema wewe unaleta siasa.

Badilisha namna ya kufikiri utafikia kwenye ulewa fulani.
 
Nina shangaa jinsi gani biblia yako huisomi na nina uhakika unayoyaongea yanatoka kichwani mwako jinsi unavyofikiri na si jinsi biblia ilivyo andikwa.
Hivi hujasoma mungu aliumba jua? hujui mungu aliumba na mwezi? pia hujui kuwa mbinguni ni mungu alipo!!? Je unataka kuniaminisha kuwa mbinguni ni kwenye sayari ya Jupita? au Mars? nk?
Hebu soma biblia na ulete uthibitisho.
Ninakupa maadhishi kadhaa yaliyopo kwenye kitabu chenu na mungu wenu muone jinsi gani mungu wenu aliumba dunia.
Naomba usibadilishe ulichokiandika baada ya kukupa huu ushahidi.
Shangaa haya mambo haya.
Genesis 1:1 Tayari mbingu na nchi imeumbwa sawa?(Kwa mujibu wako hii ndio universe)

Ndio maana mwanzoni nimesema Ukijifanya kutoelewa na kutumia elimu hii ya kidunia kujenga hoja ya kukataa uwepo wa MWENYEZI MUNGU MKUU na MTUKUFU kuliko viumbe vyote Duniani Utajidanganya Bure Ndugu.Hata Ndugu @Maxhakizo nimemwambia hili.

Tafsiri zako wakati ukiwa unasoma BIBLIA umeziweka kwenye kupinga uwepo wa MWENYEZI MUNGU.

Anyway tujaribu hivi anza kusoma Genesis 1:1 Nanukuu (Hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi.)..... Naomba uitambue alama ya Nukta Mwisho wa hiyo sentensi.Mwendelezo wa maelezo katika kitabu hichi cha Mwanzo unajaribu kufafanua nini Kiliumbwa ndani ya hiyo MBINGU na NCHI pia.

Soma Mwanzo 1:14 nanukuu (Mungu akasema ''Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku;nayo iwe ndiyo dalili ya majira na siku na miaka😉

Jaribu kufikiri vizuri neno lililo tumika ''MIANGA'' na sio mwanga tu kwa mantiki ya jua tu, hapa anajaribu kuhusisha Nyota,Jua, Mwezi na Matirials yote yenye kutoa MWANGA yanayopatikana Angani ikiwemo hiyo Galaxies (kumbuka: Galaxy
is a gravitationally bound system of stars, stellar remnants, interstellar gas and dust, and dark matter) nayo ina asili ya Illumination au mng'ao (mwanga)

Mkuu naomba nifunge mjadala na wewe hadi hapo utakapo kuwa tayari kutaka kujua na kumfahamu MUNGU wa kweli mwenye UTUKUFU na UKUU kuliko viumbe vyote Duniani. Umejipanga kupinga bila kuwa na hoja zenye mashiko unadanganywa na Elimu finyu na theories za dunia hii ambazo hazina proof. naona tunakoelekea nitaanza kuzidharau fikra zako.

Jaribu kujishusha kutambua unachoshindana nacho na kukipinga si Binadamu kama wewe, Nakutakia Mafanikio mema na MWENYEZI MUNGU MKUU NA MTUKUFU ukulinde na akufungue akili yako japo kidogo upate kumjua.


Hebu ninakuomba bila kujitoa ufahamu apply Geograph yako kufafanua hapa. Na kumbuka umesema mbingu na nchi ni universe.


Refer Hapo kwenye black mkolezo;

Kama ndiyo njia hizi unazotumia kutaka kumjua MWENYEZI MUNGU ASIYE NA MIPAKA basi hata usome na ku-apply masomo yote Duniani hutoweza kumjua wala kumfahamu hata chembe. GOD is not something ndugu yangu.
 


Jaribu kufikiri vizuri neno lililo tumika ''MIANGA'' na sio mwanga tu kwa mantiki ya jua tu, hapa anajaribu kuhusisha Nyota,Jua, Mwezi na Matirials yote yenye kutoa MWANGA yanayopatikana Angani ikiwemo hiyo Galaxies (kumbuka: Galaxy
is a gravitationally bound system of stars, stellar remnants, interstellar gas and dust, and dark matter) nayo ina asili ya Illumination au mng'ao (mwanga)

Mkuu naomba nifunge mjadala na wewe hadi hapo utakapo kuwa tayari kutaka kujua na kumfahamu MUNGU wa kweli mwenye UTUKUFU na UKUU kuliko viumbe vyote Duniani. Umejipanga kupinga bila kuwa na hoja zenye mashiko unadanganywa na Elimu finyu na theories za dunia hii ambazo hazina proof. naona tunakoelekea nitaanza kuzidharau fikra zako.

Jaribu kujishusha kutambua unachoshindana nacho na kukipinga si Binadamu kama wewe, Nakutakia Mafanikio mema na MWENYEZI MUNGU MKUU NA MTUKUFU ukulinde na akufungue akili yako japo kidogo upate kumjua.






1. Huwezi ukalazimisha kitu ambacho unahisi kwa imani yako ni sahihi sisi tukaamini hivyo. no no no no.
Na huyo mungu wako unaye mtetea ametengenezwa na wanadamu.

2. Umeshindwa kutoa maelezo ya maana kutokana na maswali niliyo kuuliza kuhusu uumbaji zaidi ya kuanza kutoa maana zako binafsi ambazo hazijaandikwa kwenye biblia. Je huyo mungu wako alikuwa hajui au alisahau kueleza kuhusu galaxy au stella na akasema Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi?

Hapa moja kwa moja kabisa inaleta maana kuwa cha kwanza kuumba kilikuwa Earth and Heaven(When we talk about heave is not Galaxy or Stella) ni sehemu mungu anapokaa na malaika zake.

Kitabu chako kinasema usiongeze au kupunguza neno lolote kwenye kitabu chenu. Nashangaa wewe unajiongezea maelezo ambayo hayajaandikwa kwenye kitabu chenu kitakatifu.

3. Unataka kutuaminisha kuwa biblia imeandikwa kulingana na utamaduni wa zamani zile na haiwezi ikaendana na mazingira ya sasa. Biblia haiongelei simu, computer wala other electronics devices. biblia haijaongelea maswala ya GIS, haijaongelea maswala ya Satellite.
Kusema kweli hicho kitabu chenu hakiendi na wakati. kimeshapitwa wakati kilifaa wakati ule.
 
1. Huwezi ukalazimisha kitu ambacho unahisi kwa imani yako ni sahihi sisi tukaamini hivyo. no no no no.
Na huyo mungu wako unaye mtetea ametengenezwa na wanadamu.

2. Umeshindwa kutoa maelezo ya maana kutokana na maswali niliyo kuuliza kuhusu uumbaji zaidi ya kuanza kutoa maana zako binafsi ambazo hazijaandikwa kwenye biblia. Je huyo mungu wako alikuwa hajui au alisahau kueleza kuhusu galaxy au stella na akasema Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi?

Hapa moja kwa moja kabisa inaleta maana kuwa cha kwanza kuumba kilikuwa Earth and Heaven(When we talk about heave is not Galaxy or Stella) ni sehemu mungu anapokaa na malaika zake.

Kitabu chako kinasema usiongeze au kupunguza neno lolote kwenye kitabu chenu. Nashangaa wewe unajiongezea maelezo ambayo hayajaandikwa kwenye kitabu chenu kitakatifu.

3. Unataka kutuaminisha kuwa biblia imeandikwa kulingana na utamaduni wa zamani zile na haiwezi ikaendana na mazingira ya sasa. Biblia haiongelei simu, computer wala other electronics devices. biblia haijaongelea maswala ya GIS, haijaongelea maswala ya Satellite.
Kusema kweli hicho kitabu chenu hakiendi na wakati. kimeshapitwa wakati kilifaa wakati ule.

You are too low my dear,

Tufanye hivi, wewe endelea kumwabudu mungu wako na mimi wacha niendelee kumwabudu MUNGU wangu.

Nafunga mjadala na wewe.
 
Bro akili zako zimefungwa huwezi ukafikiria nje ya box. Kusema kweli nitamaliza mifano kibao hapa na hautabadilika. Ila kwa faida ya wasomaji wengine ndio maana ninaandika haya. Mimi nimekuambia kidogo tu kwamba ulete reference zilizokufanya ukaamini uwepo wa mungu wako. Ukisoma comment iliyo quote utajishangaa. Mimi nimekuambia ulete ushahidi wa mambo unayoyasema wewe unaleta siasa.

Badilisha namna ya kufikiri utafikia kwenye ulewa fulani.

Wewe ndiwe hutaki kujibidisha kufikiri na kupokea elimu mpya ! Nimekwambia kuwepo kwangu na kuwepo kwa ulimwengu ndivyo ninavyotumia Kama ushahidi wa kuwepo kwa Mungu ili kurahisisha ufundishaji.
Naona akili yako haitaki uhai wangu niutumie Kama ushahidi.
Sasa nimekupa ushahidi wangu lete hoja zako.
Jitahidi fikiri kili unachoanfikiwa na sio vile ulivyokariri.
 
1. Huwezi ukalazimisha kitu ambacho unahisi kwa imani yako ni sahihi sisi tukaamini hivyo. no no no no.
Na huyo mungu wako unaye mtetea ametengenezwa na wanadamu.

2. Umeshindwa kutoa maelezo ya maana kutokana na maswali niliyo kuuliza kuhusu uumbaji zaidi ya kuanza kutoa maana zako binafsi ambazo hazijaandikwa kwenye biblia. Je huyo mungu wako alikuwa hajui au alisahau kueleza kuhusu galaxy au stella na akasema Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi?

Hapa moja kwa moja kabisa inaleta maana kuwa cha kwanza kuumba kilikuwa Earth and Heaven(When we talk about heave is not Galaxy or Stella) ni sehemu mungu anapokaa na malaika zake.

Kitabu chako kinasema usiongeze au kupunguza neno lolote kwenye kitabu chenu. Nashangaa wewe unajiongezea maelezo ambayo hayajaandikwa kwenye kitabu chenu kitakatifu.

3. Unataka kutuaminisha kuwa biblia imeandikwa kulingana na utamaduni wa zamani zile na haiwezi ikaendana na mazingira ya sasa. Biblia haiongelei simu, computer wala other electronics devices. biblia haijaongelea maswala ya GIS, haijaongelea maswala ya Satellite.
Kusema kweli hicho kitabu chenu hakiendi na wakati. kimeshapitwa wakati kilifaa wakati ule.

Kwa namna yako ya kufikiri wewe ni bonge la genius katika kundi la mazuzu. Una nukuu Kama kasuku huwezi kutafakari hata kidogo.
Nani kakwambia biblia ni kitabu cha kufundishia cosmology au Quantum physics ?
Nani kawalogeni ?
 
Naona nyie watu wa dini mnashindwa kuelewa kwamba kwamba hao manabii walikuwa binadamu kama nyinyi na hizi dini na vitabu ni mawazo yao proof imeoneshwa kumbuka kipindi cha jamii za manabii kulikuwa hamna technogia ya wao kujua kwa kuna other planets na galaxy kwa ujumla na ndo maana kwenye biblia haija taja hayo mambo wao wametaja vitu ambavyo wanaviona ambavyo ni jua mwezi nyota na dunia kipndi hicho kulikuwa hamna satelitte za kuwajulisha . M naona mmeshindwa kuleta ushahid wa kimandiko mnaleta porojo
 
Naona nyie watu wa dini mnashindwa kuelewa kwamba kwamba hao manabii walikuwa binadamu kama nyinyi na hizi dini na vitabu ni mawazo yao proof imeoneshwa kumbuka kipindi cha jamii za manabii kulikuwa hamna technogia ya wao kujua kwa kuna other planets na galaxy kwa ujumla na ndo maana kwenye biblia haija taja hayo mambo wao wametaja vitu ambavyo wanaviona ambavyo ni jua mwezi nyota na dunia kipndi hicho kulikuwa hamna satelitte za kuwajulisha . M naona mmeshindwa kuleta ushahid wa kimandiko mnaleta porojo

Moja ya tatizo kubwa la wakana Mungu ni uvivu wa kufikiri.
Sayansi imejua kuwepo kwa mwanzo wa nyakati time wakati hao unaowaona haeakuwa na ujuzi walisema nyakati zina mwanzo na Mungu alikuwepo kabla ya nyakati. Sayansi imekua karne hii ya 21 kuwa time has beginning
Mfano wa hoja yako ni matokeo ya kutegemea kukaririshwa badala ya kufikiri mwenyewe biblia haiwezi kuzungumzia vitu anavyotaka wewe kwa kiwa haikumaanisha iwe kitabu cha rejea kwa cosmologist
Ungekuwa na uwezo mzuri wa kutafakari tafiti zimewapeleka wanasayansi kwenye intelligent design baada ya kuona wanakaribia kuumbuka ikabidi wakane kuwapo kwa universe and out of desperation wakabuni multverse ambayo haipo kisayansi na wala haitakuwepo ila ipo ili kulinda heshima yenu .

Our world, and our universe, seem remarkably fine-tuned. The laws of physics work together so well that Albert Einstein thought the universe had a quality of “naturalness.” By this he meant that the laws of nature work together because there’s just no other way they could. But in fact, they are too fine-tuned, many physicists now think. Fuatilia uvumbuzi wa Higgs boson particle ambazo zilivumbuliwa Kama miaka mitatu au mine lilyopita pale "Large Hadron Collider (LHC)" ilitegemea hizo particle zingethibitisha namna big bang ilivyotokea na kufuta wazo la kuumbwa na finetuning ya ulimwengu. Kilichotokea kilikuwa ni kitu cha kudhalilisha wanasayansi na Big bang yao.
Lakini kwa ujanja ili kukwepa aibu ndipo wazo la kuifuta universe likatokea na kuweka ndoto za multiverse.
 
Kwahiyo mkuu waliobaki ambao hawajiulizi chochote ni kwamba hawajaelewa au wameelewa sana?

Kuna ambao waliyojiuliza ila hawakutaka kuuliza kwn hiyo imani yake ili apate majibu kwa hayo anayojiuliza na kuamua kwenda kutafuta majibu sehemu nyengine na kuhitimisha majibu aliyopata huko sehemu nyengine ndiyo sahihi. Pia wapo wenyekujiuliza na wakataka kujua majibu ya hayo wanaojiuliza kwn hiyo imani ila yakakosekana majibu kwa hayo anayojiuliza hivyo huendelea tu na kukaanayo maswali yake.

Lakini wapo wenye kujiuliza na wakataka kujifunza ili kupata majibu ya maswali na kweli wakayapata.
 
Moja ya tatizo kubwa la wakana Mungu ni uvivu wa kufikiri.
Sayansi imejua kuwepo kwa mwanzo wa nyakati time wakati hao unaowaona haeakuwa na ujuzi walisema nyakati zina mwanzo na Mungu alikuwepo kabla ya nyakati. Sayansi imekua karne hii ya 21 kuwa time has beginning
Mfano wa hoja yako ni matokeo ya kutegemea kukaririshwa badala ya kufikiri mwenyewe biblia haiwezi kuzungumzia vitu anavyotaka wewe kwa kiwa haikumaanisha iwe kitabu cha rejea kwa cosmologist
Ungekuwa na uwezo mzuri wa kutafakari tafiti zimewapeleka wanasayansi kwenye intelligent design baada ya kuona wanakaribia kuumbuka ikabidi wakane kuwapo kwa universe and out of desperation wakabuni multverse ambayo haipo kisayansi na wala haitakuwepo ila ipo ili kulinda heshima yenu .

Our world, and our universe, seem remarkably fine-tuned. The laws of physics work together so well that Albert Einstein thought the universe had a quality of "naturalness." By this he meant that the laws of nature work together because there's just no other way they could. But in fact, they are too fine-tuned, many physicists now think. Fuatilia uvumbuzi wa Higgs boson particle ambazo zilivumbuliwa Kama miaka mitatu au mine lilyopita pale "Large Hadron Collider (LHC)" ilitegemea hizo particle zingethibitisha namna big bang ilivyotokea na kufuta wazo la kuumbwa na finetuning ya ulimwengu. Kilichotokea kilikuwa ni kitu cha kudhalilisha wanasayansi na Big bang yao.
Lakini kwa ujanja ili kukwepa aibu ndipo wazo la kuifuta universe likatokea na kuweka ndoto za multiverse.

Ngugu Yangu Nkwesa Makambo

Mtu akishajiamulia moyoni mwake kukataa Uwepo wa MWENYEZI MUNGU hata umpe mifano gani ataendelea kubisha kwa Connection kati ya Mtu (Mwanadamu) na MWENYEZI MUNGU ni IMANI. Sasa kama imani hakuna hatokuamini hata umpe mifano lukuki.

Mtaweza kukesha na msifikie mjadala Ndugu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi, how do you start doubting the presence of your Lord God who created you from nothing, created the land and the Seas and all that is in it?

The Lord who gave us the breath of life and sent us books that may guide us on to the right path?
 
Hivi, how do you start doubting the presence of your Lord God who created you from nothing, created the land and the Seas and all that is in it?

The Lord who gave us the breath of life and sent us books that may guide us on to the right path?

Ngugu

Mtu ukiwaza jambo Dogo tu moja kati ya haya atapata majibu thabiti juu ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU japo hatoweza kuthibitisha....

1. Uwepo wa waganga, wachawi,wanamazingaombwe na wengine wengi wanaofanana na hao..... They can do manipulation, they can create something from nothing (wanamazingaombwe), Wanaweza wakakuelezea ulichokuwa ukikifanya nyima kabla ya kukutana nao na Mambo mengine mengi, sasa niambie ndo itakuwa kwa uwepo wa MWENYEZI MUNGU.

2. Jiulize wewe ni nani, una nguvu gani, akili gani, au jambo gani ambalo ni laajabu unaloweza kulifanya kiasi kwamba ukampinga MWENYEZI MUNGU mwenye NGUVU na UKUU....

3. Tafuta waganga wakubwa na Maarufu uwaulize kuhusu habari za uwepo wa MWENYEZI MUNGU, Yaani wanamjua na wanamtambua kisawasawa kwani walijaribu kushindana nae tangu enzi za FARAOH wakashindwa.

Itakuwa sembuse mtu ambae hata miujiza hawezi kufanya, anategemea science tu.
 
Eeee Baba uliye mbinguni jina lako litukuzwe.... Mfalme wewe uliyetupenda nakuomba ukutane na mioyo ya watu wako wasio kujua wewe.... Uwazukie kama ulivyo mzukia sauli akielekea Damascus... Na jina lako likatukuzwe na kila nafsi ikaseme wewe ndiwe Ebenezer... Kwa niaba yao nasema utusamehe ... Amen
 
Kwa namna yako ya kufikiri wewe ni bonge la genius katika kundi la mazuzu. Una nukuu Kama kasuku huwezi kutafakari hata kidogo.
Nani kakwambia biblia ni kitabu cha kufundishia cosmology au Quantum physics ?
Nani kawalogeni ?
Hivi kwa akili yako kabisa na kufikiria mpaka mwisho unasema kuwa huo uhai wako ni uthibitisho wa uwepo wa mungu anaye aminiwa na wakristo, waislamu na wayahudi? Hivi hata kidogo haufikirii kuwa anaitwa mungu wa israel, mungu wa ibrahimu, mungu wa isaka?

Nikakueleza kuwa kuna mungu wa wachaga hakuna tofauti na huyo mungu wa ibrahimu, isaka na yakobo.
Kama biblia haiongelei Physics, Chemistry, Spiritual Reality, Biology, Metaphysics,Geography, Cosmology na ikaongelea historia peke yake huoni kuwa haifai?

Unajua historia huwa inatokana na masimulizi na masimulizi hayo mara zote huwa yanatofautiana na uhalisia tena inategemea na yule anayesimulia alikuwa mlengo ngani. Hebu fikiria unataka kutengeneza historia ya Al shababu utapata maelezo tofauti kama utawauliza wasomali wanaowaami na itakuwa tofauti kama utauliza wakenye wasiowapenda.
Mfano (Unataka kutengeneza historia ya CCM in a future 100 ijayo utapata historia kulingana na milengo ya watu wakati ule).

Sasa wewe unalazimisha kufumba macho na kutokuona kuwa wewe usingeambiwa na wazungu kuhusu yesu usingekuwa unajua hayo. Na usingeambia kuhusu yehova na wale waliokutangulia akili yako isingejua hayo.

Halafu hebu nakuomba ufikirie hivi Nkwesa Makambo ulipewa jina hilo na unaamini kuwa kweli wewe ni Nkwesa Makambo kwa sababu ulipewa identity hiyo. Hebu fikiria kidogo Nkwesa Makambo ni nini sasa kwanini sikuitwa Mwigulu Nchemba au Masanja. Zaidi sana utakuja kujua jina halina uhusiano wowote na reality

Imani ni namna ya political implementation. Imani ni moja ya mikono ya siasa ili kuwafanya watawaliwa wawe inferior kwa watawala.

Nimejaribu kukupa mifano kidogo tu ili kidogo uelewa wako uweze kufunguka japo kidogo. Imani ni uongo uliotengenezwa na watawala (Hivi umefiria kwanini wote Christianity, Islamic, Judaism wote wanaamini uwepo wa mungu je kwa nini wanauana?)

Hebu ngoja kidogo!! Ukisoma hiyo biblia utaona kumbe mungu huyo alikuwa ana promote vita na alikuwa nafurahia watu kuuwawa. What kind of this god in bible? halafu huyo huyo mungu anawajua walio wake na anawaokoa kwa neema tu si kwa uwezo wa mwanadamu!!!. Ni udikteta uliopitiliza mungu gani hatoi hata nafasi ya watu kumwamini yani anawaumba anawachagulia destiny either motoni au mbiguni. (What fucko is this god?)

Nimeandika mengi sana ila nakuomba uyasome yote usicomment tu bila kusoma.
 
Hivi, how do you start doubting the presence of your Lord God who created you from nothing, created the land and the Seas and all that is in it?

The Lord who gave us the breath of life and sent us books that may guide us on to the right path?

Tatizo ni huyo Mungu munayedai nyie ni muweza wa yote ana nguvu zote hana mwanzo wa mwisho ana upendo, mponyaji, anajua kila kitu huyo tunakataa ha exist.
 
Back
Top Bottom