A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Nimegndua mleta uzi ni mandazi khinyama bengeni wanamuabudu kwa kusali inadhihirixha uwepo wake mahakaman na kwingne kwingi tu na kam wew mtgfit mzuri ucingekuja humu jf ungefanya kam watafit wenzio wanavofanya wew ni kinjanja 2 huna hoja apo unachnjaribu kufanya nkuchallenge vitabu vitakatfu cio reseach uchwara jipange tena upya Mungu yupo na uwepo wake 2nauona.
 
Nimegndua mleta uzi ni mandazi khinyama bengeni wanamuabudu kwa kusali inadhihirixha uwepo wake mahakaman na kwingne kwingi tu na kam wew mtgfit mzuri ucingekuja humu jf ungefanya kam watafit wenzio wanavofanya wew ni kinjanja 2 huna hoja apo unachnjaribu kufanya nkuchallenge vitabu vitakatfu cio reseach uchwara jipange tena upya Mungu yupo na uwepo wake 2nauona.

Hebu toa huu utumbo hapa..i.e hamna logic,uandishi mbaya na mengine ya kuudhi mengi tu.
 
Mkuu nimependa majibu yako, unajua skeptics wengi wanadhani ukiristo ni dini ya watu wasiowaza, kuamini kila wanachoambiwa kanisani kumbe sio hivyo.

Biblia inasisitiza sana reasoning and faith na sio blind faith kwamba kuamini kila anachosema mchungaji.
Yesu alikua anafundisha kwa mifano kisha anauliza maswali sasa utajibu vipi swali kama hufikirii, ndio maana walipokua wanakosea alikua anawaambia kumbe hamna akili kabisa kisha anawafafanulia.

Hata Mungu anasema come and lets reason together and bring your argument. Sasa utareason nini na mungu kama hutumii akili kufikiri.

Actually christianity encourages people to use their minds. In facts the bible says that God created humans and endorsed them with brains so that they can use it

Christianity teaches people to have a rational faith based on reasoning and knowledge.

Is God-incarnation theory familiar with human reasoning??How can Jesus(whom do you claim as God in the form of human) pray to his father while he is God.Then how can God be tempted by Satan

Is this really familiar with human reasoning????
 
Is God-incarnation theory familiar with human reasoning??How can Jesus(whom do you claim as God in the form of human) pray to his father while he is God.Then how can God be tempted by Satan

Is this really familiar with human reasoning????

Your questions just exposed that you severely lack mental capabilities to comprehend philosophical arguments.

I strongly recommend that you re-read my post before you post your poorly reasoned questions..

You just have to learn how to make learned questions to a learned individual.
 
Your questions just exposed that you severely lack mental capabilities to comprehend philosophical arguments.

I strongly recommend that you re-read my post before you post your poorly reasoned questions..

You just have to learn how to make learned questions to a learned individual.

Okay mimi sio mtaalamu wa lugha na sijasoma philosophy but lets talk about this issue seriously.Do you belueve that Jesus is God?
 
Okay mimi sio mtaalamu wa lugha na sijasoma philosophy but lets talk about this issue seriously.Do you belueve that Jesus is God?

Ok, mkuu anzisha mada inayohusu uungu wa yesu kisha tujadili, hizo mada ziko nyingi jukwaa la dini, omba ruhusa uje kule tujadiliane kuhusu uungu wa yesu kristo mnazareti.

Nenda jukwaa la dini tafta hizo mada au anzisha mpya unialike nije tujadiliane mheshimiwa.. Hapo ntakupa msimamo wangu kama yesu ni mungu au sio mungu
 
Ok, mkuu anzisha mada inayohusu uungu wa yesu kisha tujadili, hizo mada ziko nyingi jukwaa la dini, omba ruhusa uje kule tujadiliane kuhusu uungu wa yesu kristo mnazareti.

Nenda jukwaa la dini tafta hizo mada au anzisha mpya unialike nije tujadiliane mheshimiwa.. Hapo ntakupa msimamo wangu kama yesu ni mungu au sio mungu

Okay but you have said that Christianity encourages faith with reasoning now can you please cite for me three evidences to support this?
 
Okay but you have said that Christianity encourages faith with reasoning now can you please cite for me three evidences to support this?

1. I did cite two evidences, you did not notice.

2.i just want to know your standing position on religion, which religion in which you are affiliated.

I wont be able to proceed discussion with you if you wont be able to address question in number two mentioned above.
 
1. I did cite two evidences, you did not notice.

2.i just want to know your standing position on religion, which religion in which you are affiliated.

I wont be able to proceed discussion with you if you wont be able to address question in number two mentioned above.

I used to be a Christian.But as for now I'm a deist and I donr belong in any religion
 
mada ya kimbumbu kama mtoa mada anan hoja juu ya uwepo wa Mungu aangalie saa ya mkono, halafu leta hoja
 
Ningeshauri tuache kufikiri uwepo au kutokuwepo mungu na kuzidi kupotosha watu. Kila mtu aishi na msimamo alio nao kwani hata wasio na dini yoyote wanaamini mungu yupo.Nakubali yapo makanisa mengi na madhehebu mengi kama ilivyo misikiti mingi na yote inaamini uwepo wa mungu au mtu aliye na mamlaka kuu kwa vimbe vyote miti na mimea. Huo uchunguzi na utafiti wenu muelewe yupo aliewawezesha vinginevyo wote wangeweza. Wote waliofanya tafiti na kuziweka kwenye maandiahi miaka mingi nyuma walishindwaje kugundua njia ya kuwafanya wao wasife. Mbona hamjafanikiwa njia ya kumfanya binadamu asife? na akifa muwe na uwezo wa kumfufua akaishi tena kama alivyofanya Yesu? Hapo ndipo mjue yupo anaetakiwa kuabudiwa na ndie alietuleta duniani na atatuchukua kila mmoja kwa wakqti wake.

Ata huyo Yesu hawezi kumfanya mtu asife. na ikiwa anaweza mwambie afanye.
Na ikiwa alifanya thibitisha.
 
Nimegndua mleta uzi ni mandazi khinyama bengeni wanamuabudu kwa kusali inadhihirixha uwepo wake mahakaman na kwingne kwingi tu na kam wew mtgfit mzuri ucingekuja humu jf ungefanya kam watafit wenzio wanavofanya wew ni kinjanja 2 huna hoja apo unachnjaribu kufanya nkuchallenge vitabu vitakatfu cio reseach uchwara jipange tena upya Mungu yupo na uwepo wake 2nauona.
Tupe somo mkuu. Umeuona vipi uwepo wa Mungu?
 
Ata huyo Yesu hawezi kumfanya mtu asife. na ikiwa anaweza mwambie afanye.
Na ikiwa alifanya thibitisha.

Dini yoyote iliyopo mfuasi au muuni wake hufanya hivyo kwa imani tu.Sasa mimi ni mkristo na naamini yaliyofanyika huko nyuma kuwa Yesu aliweza kuponya na kufufua pia.Sasa ukinitaka nimwambie utakayo wewe sikuelewi kwa sababu aliishi enzi hizo miaka elfu mbili iliyopita sasa ni kipi ambacho hukukielewa kwenye maelezo yangu? Hivi hata angekuwepo duniani leo hii uwezo wa kumuamuru kutenda hivi na vile mimi au wewe ungekuwa nao?
 
Where did the evil come from?
 

Attachments

  • 1436223869443.jpg
    1436223869443.jpg
    8.3 KB · Views: 115
hiyo point ya saba ina kufuru nyingi,japo inaukweli,naskia ukitaka kumjua sana mungu mwisho wa siku huwa ni kufuru
 
Naungana mkono hoja yako 100% wanaobisha wabishe ila huo ndio ukweli, uwepo wa Mungu upo kinadharia zaidi, Mzungu aliandika biblia ili kuifanya dunia iwe sehemu ya amani tu lakini alikuja kuieneza Afrika ili kuogofya waafria na kuwafanya inferior ili iwe rahisi kuwatawala.

Angalia
  • Mungu mweupe (mzungu)
  • Malaika weupe(wazungu)- shetani mwausi(mwafrika)
  • Manabii wote walikuwa wazungu
  • Yesu mzungu
  • Utamaduni wao hadi wakutembea uchi ni baraka- wetu sie waafrika sio wakistarabu
  • Baraka zote zipo kwao- laana Afrika
Hivi kweli hakuna hata mweusi mmoja ambaye mungu alimuona kipindi hicho akambariki??????

Lazima tukubali biblical theory ilienezwa sana baada ya wazungu kuona Charles DArwin kaja na Evolution theory hali ilionesha mwafrika ni mtu wa kwanza kuishi katika sayari ya dunia, hapo ndipo walipojifanya kuja kuieneza sana dini ukizingatia walihofu kipindi cha industrial rev isingekuwa rahisi kupata cheep lobour kama wasingetumia biblia. ukweli biblical theory is just a myth, uwepo wa mungu pia ni dhahania tu.
U have spoken ugly truth... Nmekupenda bure!!
 
Back
Top Bottom