A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

So, ukiristo ni nini?

Kristo ni neno lenye maana nabii/masihi/mteule/aliyepakwa mafuta n.k.
Maana zipo nyingi nzuri ila hazimaanishi Dini.

Yesu kristo ni nabii/masihi Yesu.

Ukristo ni unabii,utume...

Yesu alikuja kuendeleza mafundisho yalioanza kufundishwa toka enzi za adamu,nuhu,Musa,Ibrahim..

Kama hao nao walikua wakristu basi ukristo ni Dini. Ila kama hawakuwa wakristo basi ukristo sio Dini.

Dini ipo na mafundisho yake yalianza toka enzi za adam.

Dini ya kweli ipo.

Fanya utafiti kati ya mafundisho ya Yesu, Muhammad.Musa,nuhu,Adam na metume wengine.utagungua lao moja.

Je,hili moja ni ukristo au Uislam?

Naamini utatuletea majibu!
Kila la kheri ktk kazi yako ya utafiti.
Pia fanya utafiti utakufa lini?

Jiulize inakuwaje umelala ilala lakini unaota ndoto upo magomeni! Je,wakati unaota huwa unajitambua kuwa unaota? Au huwa unaona ni dhahiri unatenda?

Je, uliyelala naye huwa anajua kuwa unaota?
Basi huo ni mfano maisha baada ya kufa.

Aliyelala anajiona yuko shamba analima,wakati jirani yake aliyelala naye anamuona kalala anakoroma.hana analolifanya.

Hivyo hivyo watu waliokufa vipo vitu vinavyowashughulisha.Dini zimebainisha.ila tulio hai hatuoni.kama ambavyo huwa hatuoni mtu anapoota.

Amini kuna maisha ya kirohi.
Ukisema huamini ndoto ntastaajabu kidogo!

Kuhusu kufufuka baada ya kufa.
Washafufuliwa wengi tu,kwenye utafiti wako utakua umegundua hilo.

Ila Je, ukilala huwa unajipangia kuwa sasa niamke,au huwa unajikuta tu umeamka?
Huwa unajipangia kwamba sasa nisinzie au huwa unajikuta tu umesinzia.

Ukiafikiri hili,utajua upo ufufuo.

Endelea kufanya utafiti japo kila nafsi inajijua.
 
Inamaana watu wanaoamini dini hadi sasa bado hawajajua mazingira yao na kuweza kuyatawala? hebu tuthibitishie hilo.
Watu walioelimika vizuri wanategemea akili na maarifa yao kuishi wala hawasali.
 
Watu walioelimika vizuri wanategemea akili na maarifa yao kuishi wala hawasali.

Watu waliyoelimika vizuri ndiyo kama nani hao? Na kwani watu wenye kuswali huwa hawatumi akili na maarifa ktk maisha yao?
 
Mungu ameacha ushaidi ya walio kataa uwapo wake kabka yenu
Ushahidi wa kwanza ni falao(filauni) ushahidi mwingine ni yaliyotokea enzi za sodoma
Kuwa makini dini haija letwa na wazungu ila nadharia za kukataa dini ndo zimeletwa na wazungu
 
Athari kwa maana ya madhara au ni athari ipi?

Asieamini hanaathari but hizi dini zinatengeneza uzezeta kwa baadhi ya watu!!!!! Unaweza mkuta mtu kajaa hofu ya Allah mpaka anakuwa mtumwa!!! Inakuaje mtu anafikia kukata suruali yake na kufuga madevu mpaka kuamua kutojichanganya na watu? Wengine kuliwa hela zao wakiamini zinakwenda kwa bwana? teh teh teh!

Haya bhan!
 
Asieamini hanaathari but hizi dini zinatengeneza uzezeta kwa baadhi ya watu!!!!! Unaweza mkuta mtu kajaa hofu ya Allah mpaka anakuwa mtumwa!!! Inakuaje mtu anafikia kukata suruali yake na kufuga madevu mpaka kuamua kutojichanganya na watu? Wengine kuliwa hela zao wakiamini zinakwenda kwa bwana? teh teh teh!

Haya bhan!

Mkuu hayo uliyoyataja ni mambo yaliyo kwenye imani ya mtu,hivyo kwako wewe unaita ni uzezeta. Sasa sijui hapo athari ni ipi? Maana hata wewe kwa wasioamini Mungu unaonekana ni zezeta kwa kuamini kuwepo kwa Mungu ktk zama hizi.
 
Kristo ni neno lenye maana nabii/masihi/mteule/aliyepakwa mafuta n.k.
Maana zipo nyingi nzuri ila hazimaanishi Dini.

Yesu kristo ni nabii/masihi Yesu.

Ukristo ni unabii,utume...

Yesu alikuja kuendeleza mafundisho yalioanza kufundishwa toka enzi za adamu,nuhu,Musa,Ibrahim..

Kama hao nao walikua wakristu basi ukristo ni Dini. Ila kama hawakuwa wakristo basi ukristo sio Dini.

Dini ipo na mafundisho yake yalianza toka enzi za adam.

Dini ya kweli ipo.

Fanya utafiti kati ya mafundisho ya Yesu, Muhammad.Musa,nuhu,Adam na metume wengine.utagungua lao moja.

Je,hili moja ni ukristo au Uislam?

Naamini utatuletea majibu!
Kila la kheri ktk kazi yako ya utafiti.
Pia fanya utafiti utakufa lini?

Jiulize inakuwaje umelala ilala lakini unaota ndoto upo magomeni! Je,wakati unaota huwa unajitambua kuwa unaota? Au huwa unaona ni dhahiri unatenda?

Je, uliyelala naye huwa anajua kuwa unaota?
Basi huo ni mfano maisha baada ya kufa.

Aliyelala anajiona yuko shamba analima,wakati jirani yake aliyelala naye anamuona kalala anakoroma.hana analolifanya.

Hivyo hivyo watu waliokufa vipo vitu vinavyowashughulisha.Dini zimebainisha.ila tulio hai hatuoni.kama ambavyo huwa hatuoni mtu anapoota.

Amini kuna maisha ya kirohi.
Ukisema huamini ndoto ntastaajabu kidogo!

Kuhusu kufufuka baada ya kufa.
Washafufuliwa wengi tu,kwenye utafiti wako utakua umegundua hilo.

Ila Je, ukilala huwa unajipangia kuwa sasa niamke,au huwa unajikuta tu umeamka?
Huwa unajipangia kwamba sasa nisinzie au huwa unajikuta tu umesinzia.

Ukiafikiri hili,utajua upo ufufuo.

Endelea kufanya utafiti japo kila nafsi inajijua.

Ipi hiyo?
 
Mkuu ni mimi niliweka mada ila sikuweka kama unavyoiona sasa. ni mods ndio wameicompile, infact sio jambo baya. hata mimi nimependa. ila nimeweka bayana kupitia mada hiyo kwamba mtu achague kipengele anachoona hakiko sahihi kwa mtazamo wake ili tujadili.

Anyway. vitabu kujieleza kuwa vinatoka kwa Mungu, tena Mungu wa kweli na mkamilifu then tukaona mushkeli hapo lazima tuulize ukamilifu wa Mungu huyo ni upi.

Then mkuu umegusia suala la shetani hapo. Jee shetani ni kiumbe or ni theory?

Shetani, or wahtever name you call it, is not a theory, is real. Yaani kitakachokuwa na utata au maswali ni dhana "shetani" na jinsi inavyofafanuliwa, lakini si uwepo wake, swala la uwepo, tayari limejibiwa miaka mingi sana katika uhakiki wa uwepo wa visivyoonekana vyenye uhai. Shida ipo katika dhana, je mbaya, mzuri, ni kweli adui, au yeye naye ni mtawala tu tofauti na Mungu na wote wapo chini ya nature, hayo ndo maswali ambayo watu wanadebate, nayo yamezaliwa toka dabate ya evil and good by their nature.

SHETANI YUPO, ishu ndo hiyo, je wote tunadhana moja juu ya huyo shetani. Mfano wale wenye uhusiano naye kiibada, wanaona shetani ni jina tuu, na ni mzuri, maana wana define ndani ya huyo, hivo wanamkubali, hatuwi na dhana moj juu yake.

Katika debate hii, nimeuliza swali la mihimu sana juu ya dhana fulani kuwa ya kilimwengu popote. Mfano, dhana juu ya WEMA, UBAYA, MUNGU NA SHETANI. Hebu tafakari hilo, kama hujanielewa unitaarifu, ili nikueleweshe naamanisha nini hasa.
AU KWA KIINGREZA;
  • Why, the concepts like Culture, Good, Evil, God and devil are universal, and every society had these concepts on their own?
  • Why humans bother to create things which are not existing all over the world and in different cultures at different time?
  • Why the so called myths for invisible creatures and what are they for in human life?


NB: When people whom you know are wise and intelligent in other issues complicate on simple things, you have to question in a more complex way why so.

FATHER OF REALITY'S SAY.
 
Shetani, or wahtever name you call it, is not a theory, is real. Yaani kitakachokuwa na utata au maswali ni dhana "shetani" na jinsi inavyofafanuliwa, lakini si uwepo wake, swala la uwepo, tayari limejibiwa miaka mingi sana katika uhakiki wa uwepo wa visivyoonekana vyenye uhai. Shida ipo katika dhana, je mbaya, mzuri, ni kweli adui, au yeye naye ni mtawala tu tofauti na Mungu na wote wapo chini ya nature, hayo ndo maswali ambayo watu wanadebate, nayo yamezaliwa toka dabate ya evil and good by their nature.

SHETANI YUPO, ishu ndo hiyo, je wote tunadhana moja juu ya huyo shetani. Mfano wale wenye uhusiano naye kiibada, wanaona shetani ni jina tuu, na ni mzuri, maana wana define ndani ya huyo, hivo wanamkubali, hatuwi na dhana moj juu yake.

Katika debate hii, nimeuliza swali la mihimu sana juu ya dhana fulani kuwa ya kilimwengu popote. Mfano, dhana juu ya WEMA, UBAYA, MUNGU NA SHETANI. Hebu tafakari hilo, kama hujanielewa unitaarifu, ili nikueleweshe naamanisha nini hasa.
AU KWA KIINGREZA;
  • Why, the concepts like Culture, Good, Evil, God and devil are universal, and every society had these concepts on their own?
  • Why humans bother to create things which are not existing all over the world and in different cultures at different time?
  • Why the so called myths for invisible creatures and what are they for in human life?


NB: When people whom you know are wise and intelligent in other issues complicate on simple things, you have to question in a more complex way why so.

FATHER OF REALITY'S SAY.
FATHER OF REALITY nnamaana kubwa sana nilipokuuliza whether shetani ni kiumbe or ni theory.

Unfortunately umejibu upande mmoja kwamba shetani sio theory but hukusema kwamba ni kiumbe.

Hapo underline umeweka hizo noun kwamba zipo group moja (dhahania) i failed to understand wether 'wema na ubaya' vinashabihiana na 'Mungu na shetani' but if vinashabihiana, jee unaweza kusema wema na ubaya sio theory ila ni viumbe pia?

Kwanza kabisa ningependa uelewe shetani na jini ni vitu viwili tofauti. Jini ni viumbe hilo liko wazi hata ktk vitabu vya dini. Jini haonekani but kunaproof za kutosha juu ya uwepo wao.

Linapokuja suala la ni nini or ni nani shetani nikubaliane nawe kwamba hapo kuna maana tofauti sana kulingana na kundi fulani.

Embu tuangalie wakiristo wanatafsiri vipi nadharia ya shetani.

Source ni malaika muasi, alietaka kushondana na Mungu. Jee uwepo wa malaika umekuwa proved?
Also wanasema shetani ni roho. hii concept sijailewa not because sijui maana ya roho but kutokana na wao kushindwa kumuelezea. unaweza kuniweka sawa hapo.
Then ikiwa source ya shetani ni malaika, then shetani si kiumbe ila ni sifa aliyopewa huyo Malaika Muasi.

Ktk Uislamu idea ya shetani iko wazi, kwamba "shetani ni mtu or jini yeyote alietoka (alieondoka) kwenye misingi ya Mungu (Allah). hivyo basi katika uislamu shetani si kiumbe ila ni 'SIFA' Shetani wa kwanza ktk uislamu ni IBLISI ambaye alikuwa Jini kabla.

Secular: Shetani ni myth. ukisoma development of criminology utakutana jamaa anaitwaaaaa...... (jina nimesahau) But Jina lake lina herufi "B, S, S nk. Mcheki katika classical theory ya criminology na penology.
Ilikua mnamo karne ya 16-17. watu wakifanya makosa wanasema walipitiwa na shetani by that time "mnipotent of evil spirit" Hiyo theory ilionekana defensive na yenye kupitwa na wakati na hapo kukaibuka theory nyingi za kupinga ikiwemo theory ya 'Free will'

Chaajabu hata sasa kuna waji.nga especially huku Afrika wanafanya manyago na kumsingizia huyo shetani. FATHER OF REALITY waafrika tuna safari ndefu sana.
Bado tunaipinga KWA KUJUA OR KUTOJUA the theory of Free wills. Unamkuta mtu anagawanya matendo eti 'Ukifanya jema linatoka kwa Mungu na ukifanya baya linatoka kwa Shetani' We are stupi.d Africans. Tukisema hizi dini ni tatizo mnakuwa wakali baadhi yenu, yaani unamkuta mtu anasoma tabu moja la imani yake ndio hilo hilo! Mkuu jaribu hata kupitia hizo comment nyengine za waumini humu.

Cc: Nkwesa Makambo.
 
Last edited by a moderator:
Watu waliyoelimika vizuri ndiyo kama nani hao? Na kwani watu wenye kuswali huwa hawatumi akili na maarifa ktk maisha yao?
watu wanaosali wanategemea miujiza zaidi kuliko akili na maarifa yao. kwa kua hakuna miujiza watu hao ni rahisi kuzolewa na makuhani wengine kama wachawi wanapokosa majawabu kwenye imami zao. walioelimika vizuri wanatafuta majawabu ya wasiyoyajua kisayansi.
 
watu wanaosali wanategemea miujiza zaidi kuliko akili na maarifa yao. kwa kua hakuna miujiza watu hao ni rahisi kuzolewa na makuhani wengine kama wachawi wanapokosa majawabu kwenye imami zao. walioelimika vizuri wanatafuta majawabu ya wasiyoyajua kisayansi.

Kwa kifupi mkuu maelezo yako nimeshindwa kuyaelewa ni nini hasa unachokikusudia kukisema.
 
Na mie ningependa kuongezea kuhusu chanzo cha Shetani ktk biblia. Ni kwamba kisa kilichotumika kwenye bibli kuonesha kwamba ndiyo chanzo cha Shetani hicho kisa si cha kweli,kwa maana hicho kisa hakikuwa kikimuhusu Malaika na chengine malaika si kiumbe kama sie kwamba tuna chaguzi ya kuamuwa la kufanya na kutofanya kinyume na Mungu.
 
Kwa kifupi mkuu maelezo yako nimeshindwa kuyaelewa ni nini hasa unachokikusudia kukisema.
sielewi ufahamu wako ila unaweza kugoogle 'dialectical materialisms' unaweza kupata idea kuhusu msingi wa falsafa ya kutoamini uwepo wa mungu kama tunavyofunzwa na dini.
 
sielewi ufahamu wako ila unaweza kugoogle 'dialectical materialisms' unaweza kupata idea kuhusu msingi wa falsafa ya kutoamini uwepo wa mungu kama tunavyofunzwa na dini.

Tatizo si ufahamu wangu ila ni ufahamu wako kwa sababu ya kukariri ndiyo maana umeshindwa kueleza ili mtu aweze kuelewa.
 
Tatizo si ufahamu wangu ila ni ufahamu wako kwa sababu ya kukariri ndiyo maana umeshindwa kueleza ili mtu aweze kuelewa.
mambo ya kuamini mungu ndio mambo ya kukariri. upande wa pili ni sayansi. kama unataka kuwaelewa hao wasioamini mungu 'etheists' google utapata darasa la kutosha kuhusu falsafa yao.
 
mambo ya kuamini mungu ndio mambo ya kukariri. upande wa pili ni sayansi. kama unataka kuwaelewa hao wasioamini mungu 'etheists' google utapata darasa la kutosha kuhusu falsafa yao.

Kwani wewe nae hauamini mungu?
 
Back
Top Bottom