A God can be a mere theory, nothing more

Kwa namna yako ya kufikiri wewe ni bonge la genius katika kundi la mazuzu. Una nukuu Kama kasuku huwezi kutafakari hata kidogo.
Nani kakwambia biblia ni kitabu cha kufundishia cosmology au Quantum physics ?
Nani kawalogeni ?
Nyie mbona mnatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu wenu nikuulize swali tnagu umeanza kusoma biblia hujakutana na mahali popote uka na wasiwasi.
 
Nyie mbona mnatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu wenu nikuulize swali tnagu umeanza kusoma biblia hujakutana na mahali popote uka na wasiwasi.

Binadamu yeyote anayefikiri vema lazima atakutana na maswali kadha wa kadha asomapo biblia, lakini mjanja akunapo na hoja ambazo uwezo wake kiakili unazikataa hutafuta ujuzi zaidi na tafiti au maelezo ya ziada kutoka kwa wengine akielewa maisha yanaendelea.
Mimi ninakushangaeni mnaojiona mnazo za kutosha kumtafuta Mungu kwenye vitabu mnaacha kumtafuta kwa kujiuliza mambo ambayo ni ya jumla Kama vile kuwepo kwa ulimwengu nani aliuweka, kuwepo kwako na uhai wako nani yuko nyuma yake au ni nini madhumuni au sababu za kuwepo kwako ? Nani kaweka hii kitu inaitwa maadili kwenye akili zetu ?
Ni ujinga kuanza kuhitumisha Mungu hayupo kwa kuwa ulikutana na andiko usilolielewa kwwnye vitabu vya dini.
Be grown up man, Mungu muumbaji yupo hata dini zisipokuwepo.
 

Ni kweli kujiuliza maswali ni jambo la muhimu na mababu zetu hapo zamani walijiuliza hayo maswali kuhusu origin yao na ulimwengu ikafika mahala wakashindwa kupata majibu kutokana na ufinyu wa teknolojia kwa kujifariji waka invent kitu kinaitwa mungu kwa kila swali lilikosa jibu sasa sayansi na teknolojia inazidi kukua tuachane na vitabu vya kale tujikite kutafuta ukweli mambo mengi yaliyokuwa hayawezekani miaka 20 iliyopita sasa tunayaweza hivyo tusiendelee kujificha kwa mungu kila mara tunapokosa majibu ya maswali yetu tukubali bado teknolojia yetu haijakua sana wajukuu zetu watajua mengi kuliko sisi na dini zitabaki historia.
 
Biblia hajawahi kusema kuwa dunia ni tambalale au kuwaingilia watoto wadogo,kama unaushahidi juu ya haya mawili na Mimi leo nitajiunga na ukafiri kama wewe,nathibitishie kwa kutumia biblia na sio kitabu kingine
 

Ficha ukosefu wa hekima wako (upum.bavu) Sayansi haina majibu ya maswali yote acha kujiongezea uj.inga.
Mimi nimekwambia Mungu ndiye Muumbaji na muwekaji wa physical constants zote wanazotumia wanasayansi ndiye mwanzilishi wa uhai.
Wewe unaleta habari za mungu wa wanasayansi "god of the gap " ndiye unamleta hapa.
Wanasayansi ni binadamu Kama wewe technolojia haitoi majibu binadamu Kama wewe ndio mnatakiwa kutoa majibu iwe kwa kutumia technoloji au vinginevyo.
Toa majibu hukusu chanzo cha maisha.
Toa majibu kuhusu wewe kwa nini upo Kama ni kweli upo
Toa maelezo ya mwanzo wa maadili.
 
cabhatica sijaelewa maana yako ya kuleta hiyo mistari, je lengo lake ni kupinga maelezo yangu niliyosema Nimrod ndiye mwanzilishi wa imani za uongo? Kama ndivyo, sema ili nidadavue.

Nimeleta mistari hiyo ili wasomaji waelewe huyo Nimrod ni nani, alitoka wapi na pia wakitaka waweze kujua pia nguvu za Nimrod zilikotoka na hatima yake. Je waelewa chimbuko la ujenzi wa mnara wa Babeli na nafasi ya Nimrod? Je, na mwisho wake ulikuwaje?
 

ndio sayansi haina majibu hata biblia na quran havina majibu hivyo ni vitabu vya madai/claims na sio ushahidi/proof wanasayansi wanasema ulimwengu ulitokea miaka billion 13.8 na dunia 4.5 billion year ago contrary to the bible young earth theory, kwanza sipangani na wewe kuhusu mungu kuwa ni nguvu iliyoleta ulimwengu ninachokataa mungu anayesimuliwa na nyie wakristo na waislamu kwenye biblia huyo ana contradict sifa zake nyingi huyo simkubali.
 

Mkuu Tz mbongo unaleta ubishi usio na tija coz nikisema vitabu vinadanganya hutaki na nikitaka niproof uongo huo hutaki pia!! kwani wewe unatakaje?

Nashindwa kukuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu asiyeeleweka ni wewe,kumbuka mwanzo nilikwambia kuwa research yako nina mashaka nayo na ndipo tulipoanza kuangalia ulifanyaje hiyo research. Haueleweka, unakosowa mambo ya watu bila kueleza msimamo wako wewe ni upi?

Msimamo wangu ni kwamba neither Bible nor Quran ni vitabu vya Mungu kwa maana nyepesi uislamu si dini ya kweli na ukiristo pia. Sababu kubwa ni kwamba Mungu hawezi kuwa Muongo sasa sielewi unachopinga ni nini wakati umeshindwa hata kusema wew unamuamini Mungu yupi or dini gani.
 

Ndiyo sababu ninakwambia ufiche upumbavu wako. Nionyeshe " young earth theory " kwenye biblia.
Kuna watu wapu.mbavu sawa wewe ndiyo wanahangaika na hizo theory lakinibiblia haina theory yoyote kuhusu umri wa dunia zaidi ya ilivyoandika kwwnye genesis 1.1 na genesis 1:2...
Mungu unayemwaminj wewe weka Sifa zake hapa nizione.
 
Hivi, how do you start doubting the presence of your Lord God
Coz is he is a big liar and the most unreasonable one. Just ask for proof. i know you are christian.
who created you from nothing, created the land and the Seas and all that is in it?
You cant proof Karucee but if you can, just go ahead.
The Lord who gave us the breath of life and sent us books that may guide us on to the right path?

Unaongea kiimani rather than fact wajango. embu ngoja nikuswalike. Jee Mungu anaweza kudanganya?
 
Last edited by a moderator:

Hapo sawa, Nimrod namwelewa sana, ndiyo maana nikasema jamaa ndiye mwasisi wa imani zote kinyume cha Mungu muumbaji wa mbingu na nchi.
 

Hahahahaaaaa! Your mind had blocked on wrong path, ukiwa mvivu wa kushindwa kutafuta ukweli utashikiliwa akili yako na mapasta mpaka unakufa.

Ningependa nikuswalike swali moja tu.
Ivi ungekuaje leo usingezaliwa na wazazi hao waliokupandikiza hiyo imani? let say ungezaliwa na waislamu.

Bwana yesu atukuzwe. Haleluya.
Cc: Karucee
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo

Kadiri siku zinavyoongezeka na elimu inavyoongezeka ndivyo huyu mungu anavyozidi kuonekana si wa uhalisi na ametungwa tu.


Kuna maswali kuhusu logical consistency na the problem of evil nimeuliza hapa mpka leo sijapewa majibu ya kueleweka.
 
Last edited by a moderator:
Nyie mbona mnatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu wenu nikuulize swali tnagu umeanza kusoma biblia hujakutana na mahali popote uka na wasiwasi.

Mkuu umenikumbusha mbali kidogo kipindi namuamini Allah, niliiona ile aya unayomanisha hata mwanamke asievunja ungo anaruhusiawa kuolewa na kuingiliwa, kiukweli niliona ile haijakaa vyema, so nikamfata shehe kwa ufafanuzi coz niliamini pengine Allah aliona mbali. Makibu ya shehe yalinitatanisha sana coz alishindwa kuniambia ile aya imepitwa na wakati coz hapo atakua yupo against na Quran kupitia aya nyengine, so alishindwa hata kunijibu kisiasa as a result akanipa hadithi inayothibitisha Allah is unreasonable, naamini alinijibu kiimani rather than fact, aliamini atablok akili yangu kama alivyojikubalisha yeye kublock his mind.

Alinipa kisa hiki:
Kuna mtu aliweka udhu ili ajasali, kwa vile hakua na kiatu, kwa bahati mbaya akakanyaga mavi (ukikanyaga mavi udhu unatenguka) kabla ya kuendelea akaniuliza swali: "Jee ingekua wewe ungemshauri nini huyo?

Nikamjibu kwamba mtu huyo aweke udhu upya or anawe unyayo.

Aisee yule shehe (na ni shehe coz anawanafunzi kibao tena watu wazima na familia zao) aliniambia hapo jibu ni kuwa aliambiwa (nimesahau aliniambia eambiwa na nani but ni katika hadithi sahihi) aoshe mguu wake kwa juu aendelee na ibada aliyokusudia.

Mimi nikamwambia nimeelewa na kuondoka zangu. but kuanzia hapo nikajikuta kuwa na maswali zaidi ya niliokua nayo mwanzo.
 

Yaa! kweli kabisa. But nimegundua ni wachache wanaotafuta kweli, watu ni wavivu wa kutafuta as a result wanabaki na uongo waliomezeshwa, ni afadhali nimegundua mapema coz nikifikia unreasonable viboko nilivyochapwa madrasa na kuekwa na njaa siku mzima kwa sababu ya imani naona aibu hata kuelezea!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mi acha tu niamini Mungu yupo nikamkose kuliko niseme hayupo afu mwisho wa siku nakutana naye kwenye kiti cha enzi kakunja nne yake huku akimimina Safari Lager... Hakyamama ntakimbilia wapi mimi mdhambi??
 
Biblia hajawahi kusema kuwa dunia ni tambalale au kuwaingilia watoto wadogo,kama unaushahidi juu ya haya mawili na Mimi leo nitajiunga na ukafiri kama wewe,nathibitishie kwa kutumia biblia na sio kitabu kingine

Safi kabisa, wewe unania ya kutafuta ukweli, mimi siwezi coz sijatafuta ktk biblia aya zinazoongelea hilo labla nikuitie Deception , Annael or Free ideas huenda wameliona hilo but naweza kukuekea ushahidi kupitia biblia kwamba jua linatembea kinyume na scientific proof kwamba jua limetulia na dunia ndio inatembea na hata wale wanascience wanaosema jua linazunguka wanakubali linazunguka hapo hapo lilipo na sio kutembea kutoka sehem moja kwenda nyengine.

Pia naweza kukuthibitishia kupitia biblia kwamba Mungu anadanganya kwenye uumbaji wa dunia coz anaamini kuna dunia tu bila kujua uwepo wa sayari nyengine na hundreds of galaxies that have been proved nowadays.
 
Last edited by a moderator:
Mi acha tu niamini Mungu yupo nikamkose kuliko niseme hayupo afu mwisho wa siku nakutana naye kwenye kiti cha enzi kakunja nne yake huku akimimina Safari Lager... Hakyamama ntakimbilia wapi mimi mdhambi??
Je itakuwa vipi unamwamini mungu na kumbe mungu unayemwamini ni mpinzani wa uhalisia. Kumbe ambaye humwamini ndiye aliyekuwa anatakiwa. Itakuwa vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…