Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Hunishawishi hata siku moja. Mkitaka kupoteza uchaguzi mkuu 2025, mchagueni Lissu kugombea urais kwa tiketi ya CDM.Mtu kama Lissu ni hazina
Una chuki binafsi.......as of now Mwanasias amashuhuri na Maarufu Tanzania ukimtoa Samia ni Tundu Lissu.Hunishawishi hata siku moja. Mkitaka kupoteza uchaguzi mkuu 2025, mchagueni Lissu kugombea urais kwa tiketi ya CDM.
Kitabu chake wataokisoma ni wachache sana kuliko kitabu chochote kilichoandikwa na mwanasiasa huko nyuma.
Alipojiharibia Lissu ni pale alipojaribu kzipa kipao mbele siasa za UBAGUZI kuwa kama suluhisho ya matatizo/kero za watanzania. Alibugi step!
Proof of inability to explain what you think you know!Nature + Natural law= Reality
Nature + wishes= Utopia
Hahaha......Proof of inability to explain what you think you know!
the opposite is trueProof of inability to explain what you think you know!
Wouldn't be prudent to keep on flogging a dead horse!the opposite is true
Waambie ukweli Hawa mapimbi!Mtu makini kama huyu eti aliondolewa bungeni yakabakishwa yale mataahira
Let God Bless Us allThis guy is very brilliant and intelligent. ever.
God bless him
Hahahaa jamaa una hasira naoWaambie ukweli Hawa mapimbi!
Alizisoma bila shaka.....ukipma Hadidu za Rejea za Kina Prof Kabudi ndio hizo hizo alizoandika Tundu Lissu nakuzitolea strategic plansHizi nondo kabudi amepata kuzisoma.
That is what you think?This guy is very brilliant and intelligent. ever.
God bless him
Jamaa we mbishi sana, we ni Muha comte?That is what you think?
Jamaa ni kichwa haswaHaya pia yameongelewa kwenye kitabu hiki.
Eneo la International Comparison.....Botswana imetajwa na reforms mbli mbali zilizofanywa.
Nchi haina malengoMimi hushangaa sana namna Botswana ilivyo nikilinganisha na Tanganyika , hasa uchumi wake unategemea dhahabu na almasi , Tanganyika toka wakati wa Nyerere hakuna kilichopatikana zaidi ya kuundwa CCM baada TANU na kutembeza mwenge kila mwaka
Kabisa aseeLisu ni mpango wa Mungu mwenyewe.Hivyo Kuna umuhimu wa kutumia vipawa adhimu kwa maendeleo ya kweli ya taifa letu.
Nakubaliana na weweMara kwa mara kuwa naandika na kusema kuwa vizazi vijavyo vitakuja kucharaza makaburi yetu kwa kutotumia vizuri rasilimali zetu tulizobarikiwa na Mwenyezi Mungu, ikiwemo rasilimali watu, kama Tundu Lissu, mimi na wengineo wenye uwezo mkubwa wa kuisaidia Tanzania kupiga hatua kubwaa kwenye nyanja tofauti tofauti.