black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Unajua watu weng huwa hawafikiri juu ya yajayo,na yaliopita katika mifumo ya ubongo wao kwa mfano ukisoma kitabu Cha black man White house,ukamsoma barak Obama katika nukuu zake before presdnt, ukamsoma Martin Luther King na ukasoma kitabu Cha spiritual partinership Kuna vitu unaweza pata majibu meng Sana na vingne vingi tutatzo lako unajikuta mjuaji sana,,,, mm huwa nafanya mtu tuelekezane kwa sababu hakuna anaejua kila ktu. Na hz unazoita conspiracy theory ipo sku utaelewa kwamba they are not theories but its the life wr living at the moment.
Sent using Jamii Forums mobile app
kilicho akilini kitumie