Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Ng'ombe zipo...!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ng'ombe tunafugia kwenye wallet mama. Tumechoka kugombania malisho daily.Ng'ombe zipo...!??
Me nakushauli wafwate pm kimya kimya usiweke bangoAm a man aged 32, single and a civil servant. Education: degree holder.Tribe: sukuma. Color: black but not typical black. Height: neither short nor tall.
Mwanamke anaehitajika: Mrefu wa wastani.
Kazi: sio lazima awe mwajiriwa coz kuelea kwetu ni moja sifa zetu.
Kimo: mrefu wa wastani.
Rangi: maji ya kunde au mweupe, kwa rangi hizi kwetu ni most wanted.
Kabila: kipaumbele kabila langu au yoyote mwenye maadili yanayoendana na yetu.
Awe na damu ya ujasiliamali. Umri: 25- 30.
Dini: mkristo na kama muislam awe tayari kubali dini.
Elimu: std7 au zaidi
Muhimu: kama maisha ni popote basi hata mwanamke ni popote anapatikana. Wenye kejeli pia wanakaribishwa kuchangia but anaehisi tutaendana, karibu PM right now. Unakaribishwa tujaribu bahati yetu, naamini Mungu atafungua milango ya baraka.
Ahsante.
Acha niwape uhuru nao wa kufanya maamuzi, bora nifunguke hapa hapa kwenye platform so that everyone can see. Kama ipo ipo tu mkuuMe nakushauli wafwate pm kimya kimya usiweke bango
Ni ngumu mwanamke kukufwata,mkuu nafahamu ndomana nkwambiaAcha niwape uhuru nao wa kufanya maamuzi, bora nifunguke hapa hapa kwenye platform so that everyone can see. Kama ipo ipo tu mkuu
Nasubiri tu mrejesho ukimpataSafi, nimekupenda bure kwa maneno yako mazuri.
Ikibidi hata kwenye ndoa utaarifiwa mkuu.Nasubiri tu mrejesho ukimpata
Ahsante.Ng'ombe tunafugia kwenye wallet mama. Tumechoka kugombania malisho daily.
Njia hii ni halali kabisa kwa wewe kupata ubavu wako usijaliIkibidi hata kwenye ndoa utaarifiwa mkuu.
Zamani watu walisalimiana kwa kutembeleana, zikaja barua hatimae simu zimeshika nafasi.
Naamini hata njia hii ni halali kupata nitakacho
OKWanaume tunaanza kuchanganyikiwa sasa.
Haya bana all the best
AhsanteeNjia hii ni halali kabisa kwa wewe kupata ubavu wako usijali
Sasa pm atajuaje rangi zao,elimu,kama ana damu ya ujasiriamali,height nk?Me nakushauli wafwate pm kimya kimya usiweke bango
Utapata. Ila hapo pa' A lady with wife material is need now.Sasa pm atajuaje rangi zao,elimu,kama ana damu ya ujasiriamali,height nk?
Jamani mwambie basi kama yuko ready tuhamie PM right now.
Karibu sanaSukuma?????? Ntarudi
Sasa pm atajuaje rangi zao,elimu,kama ana damu ya ujasiriamali,height nk?