Hivi Mahimbo ana mke kwa sasa au yupoyupo?
atujui siunajua wakati ule ameona huyo Josephine uko na Slaa kwa hivyo akaenda kumvunjia ndoa na bombavu huyo Josephine kumkimbilia mume wa mtu na kuacha mume wake mzuri Rais wetu wa Moyo Slaa kufikiri amepata kumbe amepatikana LINJINA LINGINE SASA ANATAKANINI HUYO MBARAKASHIE WAKE. YEYE JOSEPHINE AJUI SHERIA AU LAA AMFUNDISHE HUYO MBARAKASHIE WAKE, LOOO SHERIA UPO JAMANI SLAA ATAFUNGA NDOA TENA YA KANISANI KWA SABABU AMEKUA MZEE MTULIVU MWENYE HESHIMA ZAKE NA AMEKAA UTAKATIFU BILA KUMANGA MANGA NA WASWAHILI KAMA HUYO MCHAFU WAKE JOSEPHINE MAHIMBO. LOOO SKULI NI LAZIMA AISEE USIPOENDA SKULI NI KAZI