A must read: A letter addressed to His Excellency President Cyril Ramaphosa, President of South Africa, regarding the safety of the COVID-19 vaccine

A must read: A letter addressed to His Excellency President Cyril Ramaphosa, President of South Africa, regarding the safety of the COVID-19 vaccine

Nimepata wasiwasi wa Imani yako juu ya MUNGU na shetani. Unajua nini juu ya Kifo na Dhambi?
Mungu na shetani ni nadharia tu ndugu ambazo hazijawahi kuwepo.

Ni vile watu wengi wanaogopa kifo sasa wanatengeneza nadharia ambazo hazipo.

Biblia ni kitambu cha hadithi ambazo hazina ukweli wowote.
 
Amkeni ninyi,hivi mnajua hata maana ya conspiracy kweli.Maana ya conspiracy ni "a secret plan by a group to do something unlawful or harmful." Sasa mimi kwa kuleta barua hii addressed to Cyril Ramaphosa nimefanya kipi unlawful or harmful. NWO or the Deep State ndio wanaotufanyia vitu unlawful and harmful au conspiracies,sasa waka-coin concept ya conspiracies,ili siri zao zinapofunuliwa wa-ridicule the revelation by saying ni conspiracies!Amka,jitambue mkuu.By calling the contents of this letter a conspiracy,you are helping the NWO to committ evil against humanity.
Ukimpiga kenge ili akimbie mpaka aone damu zinatoka puani.
Madhara yatakapoonekana ndiyo watu Hawa Hawa wavivu watakuja humu kulaumu.
Bill Gates hayuko ktk utani yuko siriaz kutupukutisha hasa waafrika.
 
Hivi ulitegemea wakitaka kutufanyia depopulation watuambie haya tunawafanyia depopulation tumia akili mpingaji ,kufa kupo sio kwamba wanatupenda sana wanataka wafute kizazi cheusi wabaki wao tu
 
Nilijua tu utakuja kwenye hadithi zako za kitaahira kama hizi😂😂😂.

Kwa taarifa yako nilijaribu tu kucheza na akili yako nione, umejaa kama nilivyotegemea.

Kwamba all natural disasters ni matokeo ya new world order chini ya shetani, sasa huyo mungu kazi yake ni nini, ameshindwa shetani hadi shetani afanye dunia anavyotaka?

Kwamba shetani anaweza kuamua atengeneze tetemeko la ardhi mungu yupo ametoa tu macho, shetani anaweza kuamua alete gonjwa mungu yupo tu anamchekea, shetani akiamua analeta njaa huyo mungu yupo tu amebung'aa.

Huu ujinga alianza kuuleta Ellen G White toka mwaka 1800s akatabiri mwisho wa Dunia kila mara nyingi tu haijawahi kutokea.

Hadith hizi za kutunga, kuunganisha matukio ni watu wasio na akili tu wanaweza kununua hizi ngonjera.

Uko shallow sana kuhusiana na Mungu kwa huu ujinga umeandika, Kama huelewi mambo ya Mungu usiIaImishe kuyaandika au kuyaeIezea!
 
Uko shallow sana kuhusiana na Mungu kwa huu ujinga umeandika, Kama huelewi mambo ya Mungu usiIaImishe kuyaandika au kuyaeIezea!
Wewe unae elewa mambo ya mungu unaweza kuniambia yuko wapi na anafanya nini? Umewahi kumuona? Umewahi kuongeanae? Anafananaje?

Mungu na shetani ni hadithi tu za kutunga zisizo na uhalisia wowote.

Kwa kukusaidia ni kwamba ufahamu wangu kuhusu mambo ya mungu na shetani umepita ufahamu wako kwa kiwango kikubwa sana. Wewe huna cha kunielimisha kuhus mungu.
 
Wewe unae elewa mambo ya mungu unaweza kuniambia yuko wapi na anafanya nini? Umewahi kumuona? Umewahi kuongeanae? Anafananaje?

Mungu na shetani ni hadithi tu za kutunga zisizo na uhalisia wowote.

Kwa kukusaidia ni kwamba ufahamu wangu kuhusu mambo ya mungu na shetani umepita ufahamu wako kwa kiwango kikubwa sana. Wewe huna cha kunielimisha kuhus mungu.

Huu bado ujinga na sina mda wa kukuelezea
 
Mungu na shetani ni nadharia tu ndugu ambazo hazijawahi kuwepo.

Ni vile watu wengi wanaogopa kifo sasa wanatengeneza nadharia ambazo hazipo.

Biblia ni kitambu cha hadithi ambazo hazina ukweli wowote.

Mungu na shetani ni nadharia tu ndugu ambazo hazijawahi kuwepo.

Ni vile watu wengi wanaogopa kifo sasa wanatengeneza nadharia ambazo hazipo.

Biblia ni kitambu cha hadithi ambazo hazina ukweli wowote.
Kwa namna hii wewe hatuko pamoja.Ila ushauri wangu wa bure ni huu,"afadhali umuamini Mungu halafu,ukute hayupo,kuliko usimuamini halafu ukute yupo,itakuwa kilio na kusaga meno."
 
Ukimpiga kenge ili akimbie mpaka aone damu zinatoka puani.
Madhara yatakapoonekana ndiyo watu Hawa Hawa wavivu watakuja humu kulaumu.
Bill Gates hayuko ktk utani yuko siriaz kutupukutisha hasa waafrika.
Hongera mkuu,ni wajanja tu na wadadisi wanaoliona hili,wengi wamelala usingizi wa pono.Na yuko serious kweli kweli,hatanii.
 
Kwa namna hii wewe hatuko pamoja.Ila ushauri wangu wa bure ni huu,"afadhali umuamini Mungu halafu,ukute hayupo,kuliko usimuamini halafu ukute yupo,itakuwa kilio na kusaga meno."
Unajua maana ya kuamini hasa jambo ambalo huna uhakika nalo? Ni kukiri kwamba wewe ni mjinga, uko tayari kudanganywa.

Mimi sitaki kuamini.
 
Unajua maana ya kuamini hasa jambo ambalo huna uhakika nalo? Ni kukiri kwamba wewe ni mjinga, uko tayari kudanganywa.

Mimi sitaki kuamini.
But you do not loose anything by believing! Isn't it just commonsense that you should believe?Any way,you have a choice.
 
But you do not loose anything by believing! Isn't it just commonsense that you should believe?Any way,you have a choice.
Unaonekana umeenda shule, rational and reasoned person.

Wakija hapa wafia dini wanaanza kudondosha vitisho, ujinga mwingi.

Nashukuru mkuu.
 
Huyu anafikiria kinachoweza kufanya na hiyo technology ambayo iligunduliwa 1994. Mbona wangelifanya toka miaka hiyo? Conspiracy theories

mNeonGreen: a yellow-green fluorescent protein​

mNeonGreen is a yellow-green fluorescent protein that was derived from the tetrameric yellow fluorescent protein (LanYFP) from the marine invertebrate Branchiostoma lanceolatum in 2012. Using structural modeling and structure-guided direct evolution, Nathan Shaner and colleagues from The Scintillon Institute, Allele Biotechnology, Florida State University, Indiana University, and the Karolinska Institute developed mNeonGreen via 21 substitutions to LanYFP and the addition of the enhanced GFP (EGFP)-type termini.

mNeonGreen was reported as the brightest monomeric green or yellow fluorescent protein at the time. It is 1.5 to 3 times brighter than the most commonly used GFPs and YFPs. Its excitation maxima is at 506 nm and its emission maxima is at 517 nm. Because mNeonGreen wavelengths lie between the green and yellow fluorescent protein wavelengths, it can be imaged either with standard green fluorescent protein filters or yellow fluorescent protein filters, with no or minimal reduction in emission readout, respectively.
So kwa kuwa hawakufanya wakati huo,hawawezi kufanya sasa!Kwa lolote kuweza kufanikiwa,timing is very important,timing kwa maana kwamba lazima kuwe na the right circumstances na conditions.Haya hayakuwepo wakati huo,yapo sasa!
 
Unaonekana umeenda shule, rational and reasoned person.

Wakija hapa wafia dini wanaanza kudondosha vitisho, ujinga mwingi.

Nashukuru mkuu.
Nadhani huelewi concept ya kufia dini,even though thankyou for sharing.
 
Hiyo chanjo ni ya kwanza ambayo inaingizwa na ku alter DNA chanjo zingine zote huwa haziendi kwenye DNA .HAO WALIOANDIKA BARUA WAKO SAHIHI
 
Nilijua tu utakuja kwenye hadithi zako za kitaahira kama hizi😂😂😂.

Kwa taarifa yako nilijaribu tu kucheza na akili yako nione, umejaa kama nilivyotegemea.

Kwamba all natural disasters ni matokeo ya new world order chini ya shetani, sasa huyo mungu kazi yake ni nini, ameshindwa shetani hadi shetani afanye dunia anavyotaka?

Kwamba shetani anaweza kuamua atengeneze tetemeko la ardhi mungu yupo ametoa tu macho, shetani anaweza kuamua alete gonjwa mungu yupo tu anamchekea, shetani akiamua analeta njaa huyo mungu yupo tu amebung'aa.

Huu ujinga alianza kuuleta Ellen G White toka mwaka 1800s akatabiri mwisho wa Dunia kila mara nyingi tu haijawahi kutokea.

Hadith hizi za kutunga, kuunganisha matukio ni watu wasio na akili tu wanaweza kununua hizi ngonjera.
Mungu haandikwi kwa herufi ndogo.sio mungu Ni Mungu
 
Back
Top Bottom