Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mkuu mbona umekaa ki facebooker?Hellow wana Jamii Forum mie ni mgen tuu naomben ushirikiano wenu na mapokez mazur,,nawapendaView attachment 1209465
Hahahaa hapa wanga wengi.... ngoja nijisogeze chumbaniHakuna kujiongeza hapa ,lete unachotaka kumwambia,otherwise achana naye[emoji1] [emoji1] kwanza niambie Mimi badala yake au sababu sijatuma picha[emoji30]
Hahaha..Hahahaaa mwanaume ni mwanaume tu.. bro chukua fursa hyo, Au unaogopa coz sister yuko Rada..?
Mimi mzima hupatikani kabisa mdogo wangu..Uzima upo Kaka. Za kuadimika? [emoji85][emoji85][emoji85]
Jaq pm yangu toka asubuhi huioni au?
Hahahaaa washanipeperushia huyu ndege...!Naona unakomaa master..
Test radha za kyela mkuuHahaha..
Nitachukua wangapi mkuu..?
Nilio nao wanatosha kabisa.
Hahaha kulikuwa hamna wabibi ni wazee na vijana kadhaa jamaa aliniuza kweli[emoji1] [emoji1] [emoji1] , mbele za watu ? Aisee uliuaaa kama nawaona wabibi Wa kinyakyusa walivyobaki midomo wazi[emoji30]
KwaKwanini jamaniNdio
Tunaumbwa tofautiK
KwaKwanini jamani
Duuu umenifungua sana asee! Serikali kishindana nayo ni haiwezekaniUsiogope mkuu,hivi vitu kawaida sana na inatakiwa uvizoee...cha msingi usimuamini mtu kwa mara ya kwanza eti kwasababu tu anajiweka kinamna flanii
View attachment 1210100
Na sio kuzaliwa kutoka yai kuwa kijusi na kuwa binadamu kamili mwenye sifa zakeTunaumbwa tofauti
Aisee[emoji30] aibu nimeona mimiiHahaha kulikuwa hamna wabibi ni wazee na vijana kadhaa jamaa aliniuza kweli
[emoji1] [emoji1] ,hutaniwagi kwani mkuuHahahaa hapa wanga wengi.... ngoja nijisogeze chumbani
Aisee[emoji30] aibu nimeona mimii
Nimeimagine ndyo utaja hilo neno Kwa sauti mbele za watu, huo mshangao[emoji1] [emoji1]Hahaha kwanini?
Hahahhaa mkuuu si ndio ata mie nmekutania[emoji1] [emoji1] ,hutaniwagi kwani mkuu
Bibie Shadeeya umegoma kabisa kujibu salamu zangu Pm[emoji52][emoji52][emoji52][emoji848]Ewaa jirani. Yaani tutawapindulia meza kibabe.
Haha alafu nilikuwa naagiza kinywaji maana tulikuwa bar ndio jamaa akaniambia mwambie yule dada mbako indutu akiwa na maana niletee kinywaji kumbe kanidanganya yule dada alicheka akakimbia si nikajua hapa nishaharibu na jamaa huku anacheka hana mbavuNimeimagine ndyo utaja hilo neno Kwa sauti mbele za watu, huo mshangao[emoji1] [emoji1]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,alikuuza vibayaa mbavu zangu kwahiyo ulitaka kuinywa hiyo Ind....tu[emoji1] [emoji1] [emoji1]Haha alafu nilikuwa naagiza kinywaji maana tulikuwa bar ndio jamaa akaniambia mwambie yule dada mbako indutu akiwa na maana niletee kinywaji kumbe kanidanganya yule dada alicheka akakimbia si nikajua hapa nishaharibu na jamaa huku anacheka hana mbavu