financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
[emoji1] [emoji1] ,haya bana mi sitaniwagi lakini ukuje tuuHahahhaa mkuuu si ndio ata mie nmekutania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] ,haya bana mi sitaniwagi lakini ukuje tuuHahahhaa mkuuu si ndio ata mie nmekutania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa sijui maana yake[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,alikuuza vibayaa mbavu zangu kwahiyo ulitaka kuinywa hiyo Ind....tu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nalondoga gwise ukute karumbuHeee, mshipa ifiki[emoji15] [emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha alafu nilikuwa naagiza kinywaji maana tulikuwa bar ndio jamaa akaniambia mwambie yule dada mbako indutu akiwa na maana niletee kinywaji kumbe kanidanganya yule dada alicheka akakimbia si nikajua hapa nishaharibu na jamaa huku anacheka hana mbavu
Utamuuza mwenzakoPia ukitoa namba unaungwa kwenye group la WhatsApp la members wa jf, huko kuna mambo mazuri usijepitwa bibie
Mimi nimepeana nae pmkaribu bibie ila nakusihi usiweke hapa namba yako ya simu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pia ukitoa namba unaungwa kwenye group la WhatsApp la members wa jf, huko kuna mambo mazuri usijepitwa bibie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah mabaaharia mshajazana inbox ya watuNimekuchek pm ila imefungwa.
Nani kakufundisha kufunga PM ungali mgeni jf
Nnyomwike fijo gwee[emoji1]Nalondoga gwise ukute karumbu
Hahaaa, ungedundwa wewee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa sijui maana yake
Hata wewe unataka kucheki nyuma![emoji23][emoji23]Aweke ile aliyogeuka nyuma kidogo
NdioHata wewe unataka kucheki nyuma!
Mie siko tayari kwa huyo ndugu yako😂😂😂, maana sio muda ataweka hadi namba hapaYaani ameshaanza kuingia shimo la kwanza Kwa kutuma picha na jina halisi[emoji30] ,ila yuko vizuri ngoja niongee na Broo angu kama vipi tuchukue jiko, vipi wewe ushaoa?[emoji1]
usikute wewe ni Diwani Athumani.