Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
[emoji38][emoji38][emoji38] we hutaki nikuunge?Jinga wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38] we hutaki nikuunge?Jinga wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijaelewa Mkuu sijui ndio sina hizo akili 😎😎 Huyu ana maanisha nini kwani?Pitia na hapa,soma. Kama una akili utajua anamaanisha nini? Na jinsi namma utakavyokumbukwa namna uliivyoingia
Mkuu acha wivu hajavunja Sheria ya Nchi wala ya JF.Wewe umetokea wapi wewe unatuabisha watu wa mbeya?. Nani amekuambia humu mnaletwa picha? Hii sio sehemu ya kujitangaza. Hayo mambo nenda huko Fb. Unajirengasha na picha ili upate nini?. Humu watu wanajadiri vitu vya msingi. Unasanifiwa ulete picha na wewe unakuja mbio na lipicha lako. Hujui tu hizi dakika chache ulizotumia hapa Jf kuweka weka mapicha picha yako inaweza kuwa ndio majuto yako ya mbele. Hapo tu umejitangaza ni mwanamke wa aina gani? Wameshakusoma tayari
Naaam mbona hujamwita sosten...Baada ya kuona hayo mapicha picha nimejikuta namkumbuka Husna the boss Lady. Teh teh teh.
All in all karibu mdada.
Ile ilikua dhahama, jamaa wanatongoza dume lenye ndevu.Baada ya kuona hayo mapicha picha nimejikuta namkumbuka Husna the boss Lady. Teh teh teh.
All in all karibu mdada.
Jackline ndio jina lake halisi... We ulitaka tumuite kisasa?Check mnavyom-call,kienyeji kabisa. Nae anakuja kiboya kabisa na miguu yake
Hahaaa!!! Sesten Zakazaka nitamuhadithia tu na sio kumwita jirani. 😅😅😅Naaam mbona hujamwita sosten...
Kuoneshana fursa. Kwema??
Mkuu waeza kuta hii ndio dhahama mara mbili. 😀😀😀Ile ilikua dhahama, jamaa wanatongoza dume lenye ndevu.
Weka picha ukiwa umesimama..Waishi wapi?
Weka namba ya simu ili member wenzio wakujulie hali..
Pia uweke picha ukiwa umesimama
We ushakua trouble maker hahahahaaaaaaVipi mtu akihitaji kukuoa?
[emoji23][emoji23]Pia ukitoa namba unaungwa kwenye group la WhatsApp la members wa jf, huko kuna mambo mazuri usijepitwa bibie
Asalaaam..[emoji113]Baada ya kuona hayo mapicha picha nimejikuta namkumbuka Husna the boss Lady. Teh teh teh.
All in all karibu mdada.
Waoh umerudi..We ushakua trouble maker hahahahaaaaaa
Sikiliza kila kitu uje kunihadithia mamii, mimi nitachelewa kupita hukoHahaaa!!! Sesten Zakazaka nitamuhadithia tu na sio kumwita jirani. 😅😅😅
Jirani hivi hii nayo ni fursa eee? Kwema kabisa jirani. Upo?
Hii ni fursa kwetu sisi ambao sio mabaharia.Hahaaa!!! Sesten Zakazaka nitamuhadithia tu na sio kumwita jirani. [emoji28][emoji28][emoji28]
Jirani hivi hii nayo ni fursa eee? Kwema kabisa jirani. Upo?