Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Nikajua upo kwenye kamati ya makaribisho kwa mgeni kumbe umenisikia mamiiπππUchokozi huu sasa Ses. πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua upo kwenye kamati ya makaribisho kwa mgeni kumbe umenisikia mamiiπππUchokozi huu sasa Ses. πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Hahaha naona unajihami na mzee wa chura;;Hahaaa poa tununuu nani kibonge sasa[emoji16] ,habari yako mkuu.
π π π π Sawa tu.Nikajua upo kwenye kamati ya makaribisho kwa mgeni kumbe umenisikia mamiiπππ
Basi chukua zawadi ya msosi, usinuneπ π π π Sawa tu.
Lakini nasikia pm kafunga, au kwako ni tofauti.Mkuu wa mabaharia [emoji125][emoji125][emoji125] Safari ya PM hii
πππ πππBasi chukua zawadi ya msosi, usinune
Wewe mtoto umeingia choo cha kiume bila kujua. Hapa siyo FB. Soon members who are not careful will send her their no. Hapo sasa!!Hellow wana Jamii Forum mie ni mgen tuu naomben ushirikiano wenu na mapokez mazur,,nawapendaView attachment 1209465
Dah! Mbona hatari hiiWewe mtoto umeingia choo cha kiume bila kujua. Hapa siyo FB. Soon members who are not careful will send her their no. Hapo sasa!!
Hajafunga ni wewe 2.. Saivi ndio yupo humo...Lakini nasikia pm kafunga, au kwako ni tofauti.
Hahahakammmmma nawaona mabaaharia dah! sio honeyport kweli hii
Sijui kakuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi nikikupa sweta lililoandikwa tanzania kwa kifuani utafurahi? Halafu vipi nikikupa 7800 utaweza kufika iringa?
Kumuacha HapanaKazeeka yule mchaga bahili achana naye
Msimamo thabiti kabisa huo, raha sanaKumuacha Hapana
Sawa mkuuMsimamo thabiti kabisa huo, raha sana
Kweli. Acha mabaharia wamkarinishe. Wammege kiseraJackline ndio jina lake halisi... We ulitaka tumuite kisasa?
Halafu unaweza jikuta unamfundisha kumbe mwenzako alijiunga Jf kabla ya Maxence melo ila kaamua tu kuja na ID mpya ili kujiweka karibu na mabaharia
Hahaaa, si ningeringa kama ingekua hivo[emoji1] [emoji1] , tena akikuskia utamtafutia ndugu yako mwenye chura shauri yakooHahaha naona unajihami na mzee wa chura;;